redio
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 5,813
- 12,921
Kama uandishi Kama wako ndio akili, Mimi sihitaji akili Kama zako.Hujawahi kuwa na Akili hapa JamiiForums.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama uandishi Kama wako ndio akili, Mimi sihitaji akili Kama zako.Hujawahi kuwa na Akili hapa JamiiForums.
Mkuu kama hawataki kuguswa si wakacheze Karata aua DRAFT!1. Mbona hawa Viongozi Wanafiki na wenye Uyanga 100% akina Ally Hapi ( Mkuu wa Mkoa wa Mara ) na Mbunge wa Dodoma Mjini Antony Mavunde Biashara United FC na Dodoma Jiji FC zikicheza na Timu zingine huwa hawatoi Ahadi zao kama Vilabu hivi vikicheza na Simba SC?
2. Sikatai kutoa Motisha ila ukitoa Motisha huku ukihimiza Wachezaji wa Simba SC waumizwe ndiyo unatimiza Kauli Mbiu ya FIFA ya Fair Play?
3. Ahadi kwa Timu zinazocheza tu na Simba SC zinazoambata na Kuumizwa kwa Wachezaji wake Muhimu zina Tija kwa Soka la Tanzania?
4. Wachezaji wa Simba SC ambao Wanaumizwa kwa Makusudi na Kimkakati wasipocheza na Simba SC kufanya vibaya Kimataifa Aibu itabakia tu kwa Simba SC au na kwa Tanzania kama Taifa?
5. Mnaoshangilia hadi Kushadadia Rafu Mbaya ( Mpira wa Fujo ) wanazofanyiwa Wachezaji wa Simba SC hivi Siku ikitokea nanyi Wachezaji wenu Muhimu kama Khalid Aucho, Shabaan Djuma, Yanick Bangala, Dickson Job na Feisal Salum mtashangilia kama mnavyoshangilia wa Simba SC Kuumizwa?
6. Hivi mnajua kuwa endapo Simba SC itatolewa mapema CAF CL kutokana na kuwakosa Wachezaji wake Waandamizi ( Muhimu ) Taifa litapoteza zile nafasi Nne ( 4 ) lakini pia hata Kiuchumi na Kiutalii nchi itaathirika kwa namna moja au nyingine?
7. Je, ikitokea hii Mbinu ya Kimkakati ya Kuwaumiza ( Kuwajeruhi ) Kimakusudi Wachezaji wa Simba SC isopofanikiwa na Simba SC kuendelea Kushinda hamtaamua sasa Kupanga Mikakati ya kuwawekea Sumu Wachezaji wa Simba SC ili Wafe kabisa na Ubingwa wa Ligi Kuu mnaoutafuta kwa Tochi ndani ya miaka Minne ( 4 ) mfululizo mtawazwe nyie kama Makaimu Bingwa?
Tumeshaamua Kumshtakia Baba Mola!!
Hela ya bashite haikuwa na maagizo ya kuvunja watu miguu wala pua, kmc haikuwahi ku struggle pesa ya nauli kwenda Rwanda shirikisho, kmc haijawahi kucheza kwenye uwanja uliopauka kama ngozi ya tako la msemaji fulaniWenyewe wanasema kipindi hiko wala hawakulalamika!
Aliyekuwa Mlezi wa Timu yetu ya Simba akitoa zawadi kwa timu ya KMC ilipoifunga Utopolo
View attachment 1959878
Makonda alitanga hadharani mara moja tu kwa kuwahamasisha KMC kama timu ya Mkoa wake.Wenyewe wanasema kipindi hiko wala hawakulalamika!
Aliyekuwa Mlezi wa Timu yetu ya Simba akitoa zawadi kwa timu ya KMC ilipoifunga Utopolo
View attachment 1959878
Yanga ni timu ya Mkoa gani?Makonda alitanga hadharani mara moja tu kwa kuwahamasisha KMC kama timu ya Mkoa wake.
Nanyinyi basi tangazeni basi hadharani.
Na isiwe ndio mpira wa visasi hadi vya kuwaumiza wachezaji. Mechi na Dodoma Jiji wameumizwa wachezaji watatu. Sakho, Kennedi na Lwanga.
Hivi hamjui kuwa Simba wanawakilisha Kimataifa ?
Dawa yenu ipo Jikoni inachemka
Yanga ni timu ya watu binafsi (wanachama)Yanga ni timu ya Mkoa gani?
Na ndio wanachowez sasa ,ila uto kombe hawatobeba waendelee kugawa noti mikoani1. Mbona hawa Viongozi Wanafiki na wenye Uyanga 100% akina Ally Hapi ( Mkuu wa Mkoa wa Mara ) na Mbunge wa Dodoma Mjini Antony Mavunde Biashara United FC na Dodoma Jiji FC zikicheza na Timu zingine huwa hawatoi Ahadi zao kama Vilabu hivi vikicheza na Simba SC?
2. Sikatai kutoa Motisha ila ukitoa Motisha huku ukihimiza Wachezaji wa Simba SC waumizwe ndiyo unatimiza Kauli Mbiu ya FIFA ya Fair Play?
3. Ahadi kwa Timu zinazocheza tu na Simba SC zinazoambata na Kuumizwa kwa Wachezaji wake Muhimu zina Tija kwa Soka la Tanzania?
4. Wachezaji wa Simba SC ambao Wanaumizwa kwa Makusudi na Kimkakati wasipocheza na Simba SC kufanya vibaya Kimataifa Aibu itabakia tu kwa Simba SC au na kwa Tanzania kama Taifa?
5. Mnaoshangilia hadi Kushadadia Rafu Mbaya ( Mpira wa Fujo ) wanazofanyiwa Wachezaji wa Simba SC hivi Siku ikitokea nanyi Wachezaji wenu Muhimu kama Khalid Aucho, Shabaan Djuma, Yanick Bangala, Dickson Job na Feisal Salum mtashangilia kama mnavyoshangilia wa Simba SC Kuumizwa?
6. Hivi mnajua kuwa endapo Simba SC itatolewa mapema CAF CL kutokana na kuwakosa Wachezaji wake Waandamizi ( Muhimu ) Taifa litapoteza zile nafasi Nne ( 4 ) lakini pia hata Kiuchumi na Kiutalii nchi itaathirika kwa namna moja au nyingine?
7. Je, ikitokea hii Mbinu ya Kimkakati ya Kuwaumiza ( Kuwajeruhi ) Kimakusudi Wachezaji wa Simba SC isopofanikiwa na Simba SC kuendelea Kushinda hamtaamua sasa Kupanga Mikakati ya kuwawekea Sumu Wachezaji wa Simba SC ili Wafe kabisa na Ubingwa wa Ligi Kuu mnaoutafuta kwa Tochi ndani ya miaka Minne ( 4 ) mfululizo mtawazwe nyie kama Makaimu Bingwa?
Tumeshaamua Kumshtakia Baba Mola!!
2016 nikiwa chawa wa aliekua mjumbe wa kamati ya utendaji ya Yanga kwa wakati but now he is back,Yanga tulicheza match 2 mbeya ndani ya wiki na tukazoa point zote 6,wakati huo makalla mkuu wa mkoa wa mbeya,figisu lake lilikua si la kitoto huyu makala alihaidi atuondoki na point hata 1 mbeya,watu waliwekwa mpaka rumande pambavu,leo hii mikia mnalia lia,hii miaka 4 Yanga imefanyiwa umafia wa kinyama1. Mbona hawa Viongozi Wanafiki na wenye Uyanga 100% akina Ally Hapi ( Mkuu wa Mkoa wa Mara ) na Mbunge wa Dodoma Mjini Antony Mavunde Biashara United FC na Dodoma Jiji FC zikicheza na Timu zingine huwa hawatoi Ahadi zao kama Vilabu hivi vikicheza na Simba SC?
2. Sikatai kutoa Motisha ila ukitoa Motisha huku ukihimiza Wachezaji wa Simba SC waumizwe ndiyo unatimiza Kauli Mbiu ya FIFA ya Fair Play?
3. Ahadi kwa Timu zinazocheza tu na Simba SC zinazoambata na Kuumizwa kwa Wachezaji wake Muhimu zina Tija kwa Soka la Tanzania?
4. Wachezaji wa Simba SC ambao Wanaumizwa kwa Makusudi na Kimkakati wasipocheza na Simba SC kufanya vibaya Kimataifa Aibu itabakia tu kwa Simba SC au na kwa Tanzania kama Taifa?
5. Mnaoshangilia hadi Kushadadia Rafu Mbaya ( Mpira wa Fujo ) wanazofanyiwa Wachezaji wa Simba SC hivi Siku ikitokea nanyi Wachezaji wenu Muhimu kama Khalid Aucho, Shabaan Djuma, Yanick Bangala, Dickson Job na Feisal Salum mtashangilia kama mnavyoshangilia wa Simba SC Kuumizwa?
6. Hivi mnajua kuwa endapo Simba SC itatolewa mapema CAF CL kutokana na kuwakosa Wachezaji wake Waandamizi ( Muhimu ) Taifa litapoteza zile nafasi Nne ( 4 ) lakini pia hata Kiuchumi na Kiutalii nchi itaathirika kwa namna moja au nyingine?
7. Je, ikitokea hii Mbinu ya Kimkakati ya Kuwaumiza ( Kuwajeruhi ) Kimakusudi Wachezaji wa Simba SC isopofanikiwa na Simba SC kuendelea Kushinda hamtaamua sasa Kupanga Mikakati ya kuwawekea Sumu Wachezaji wa Simba SC ili Wafe kabisa na Ubingwa wa Ligi Kuu mnaoutafuta kwa Tochi ndani ya miaka Minne ( 4 ) mfululizo mtawazwe nyie kama Makaimu Bingwa?
Tumeshaamua Kumshtakia Baba Mola!!
Uzi zako zinaonesha kabsa unakatwa tena kwa style ya hovyoTafadhali naitwa Mightier na siyo huyo.
Sasa kwanini mlie mlie wakati Biashara ni timu ya Mara na Mkuu wa Mkoa katoa kitita kuwapa hamasa,bila kusahau mbunge wa Dodoma kuwapa hamasa Dodoma Jiji,tatizo lipo wapi?Yanga ni timu ya watu binafsi (wanachama)
KMC ni timu ya Serikali chini ya Halmashauri ya Kinondoni.
Biashara fc. ni timu binafsi ya wanachama kama Yanga fc, na sio ya serikali kama KMC.Sasa kwanini mlie mlie wakati Biashara ni timu ya Mara na Mkuu wa Mkoa katoa kitita kuwapa hamasa,bila kusahau mbunge wa Dodoma kuwapa hamasa Dodoma Jiji,tatizo lipo wapi?