Hivi nyie wanaume wa hivi mnawaza nini?

Hivi nyie wanaume wa hivi mnawaza nini?

Bado anakuwa kwenye gombania goli mpaka pale atakapoolewa.
 
Unaona kabisa mtu amevaa engagement ring alafu bado unamtongoza. Hivi mnawazaga nini? Mnakua mnajaribu tu au kuna kingine mnawagazaga?
Mchungaji Daniel mgogo aliwahi Kusema;wanaume ni watu wa ajabu sana,hasa linapokuja swala la kumtongoza mwanamke

Akasema,ukivunja ungo na kuanza kuwa na mvuto watamiminika wengi sn kukutongoza

Siku ukipata mchumba na kuvalishwa Pete watapungua pengine Hadi kufikia 10.wengine watakata tamaa

Siku unaolewa kuna wengine watano watakata tamaa watabaki watano wanaendelea kukuimbisha uwape mzigo.

Umefunga harusi,upo ndani ya ndoa wanabaki wawili ambao wao kazi Yao ni kuendelea kukukumbusha ombi la miaka yote hiyo na Kwa nn unakuwa mgumu kiasi hiko,wakati yeye yupo tayari hata kuwa kidumu(mchepuko)

Sasa hawa wawili waliobaki ndy hao unaozungumzia wewe mleta mada..Hawa watu labda wasikie umekufa ndy wataacha kukusumbua,wao hawajali umevalishwa Pete,Una ujauzito wa mumeo,umezaa sijui Umefunga ndoa,watakutongoza Tu hata ufanyaje wao hawajali..kiufupi wewe wavumilie Tu watu dizaini hii maana hata ufanyaje hawaelewagi naving'ang'anizi km Luba
 
K
Mchungaji Daniel mgogo aliwahi Kusema;wanaume ni watu wa ajabu sana,hasa linapokuja swala la kumtongoza mwanamke

Akasema,ukivunja ungo na kuanza kuwa na mvuto watamiminika wengi sn kukutongoza

Siku ukipata mchumba na kuvalishwa Pete watapungua pengine Hadi kufikia 10.wengine watakata tamaa

Siku unaolewa kuna wengine watano watakata tamaa watabaki watano wanaendelea kukuimbisha uwape mzigo.

Umefunga harusi,upo ndani ya ndoa wanabaki wawili ambao wao kazi Yao ni kuendelea kukukumbusha ombi la miaka yote hiyo na Kwa nn unakuwa mgumu kiasi hiko,wakati yeye yupo tayari hata kuwa kidumu(mchepuko)

Sasa hawa wawili waliobaki ndy hao unaozungumzia wewe mleta mada..Hawa watu labda wasikie umekufa ndy wataacha kukusumbua,wao hawajali umevalishwa Pete,Una ujauzito wa mumeo,umezaa sijui Umefunga ndoa,watakutongoza Tu hata ufanyaje wao hawajali..kiufupi wewe wavumilie Tu watu dizaini hii maana hata ufanyaje hawaelewagi naving'ang'anizi km Luba
Kazi kwerikweri
 
Shetani lazima afanye kazi yake mkuu

Maana hata nyie wanamke ni wafausi wake

Unakuta mwanamke ana ring tena kavalishwa kwa sherehe na gharma kibao afu anampanga mshikaji amuweke Cha mwisho kabla ya ndoa

Kwani mnaelewekaga nyie
 
Mchungaji Daniel mgogo aliwahi Kusema;wanaume ni watu wa ajabu sana,hasa linapokuja swala la kumtongoza mwanamke

Akasema,ukivunja ungo na kuanza kuwa na mvuto watamiminika wengi sn kukutongoza

Siku ukipata mchumba na kuvalishwa Pete watapungua pengine Hadi kufikia 10.wengine watakata tamaa

Siku unaolewa kuna wengine watano watakata tamaa watabaki watano wanaendelea kukuimbisha uwape mzigo.

Umefunga harusi,upo ndani ya ndoa wanabaki wawili ambao wao kazi Yao ni kuendelea kukukumbusha ombi la miaka yote hiyo na Kwa nn unakuwa mgumu kiasi hiko,wakati yeye yupo tayari hata kuwa kidumu(mchepuko)

Sasa hawa wawili waliobaki ndy hao unaozungumzia wewe mleta mada..Hawa watu labda wasikie umekufa ndy wataacha kukusumbua,wao hawajali umevalishwa Pete,Una ujauzito wa mumeo,umezaa sijui Umefunga ndoa,watakutongoza Tu hata ufanyaje wao hawajali..kiufupi wewe wavumilie Tu watu dizaini hii maana hata ufanyaje hawaelewagi naving'ang'anizi km Luba
Na hata ukifa kama ni pisi, kule mochwari yule mlinzi atakupiga miti kama kawaida.
 
Back
Top Bottom