my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,016
- 2,397
Unaona kabisa mtu amevaa engagement ring alafu bado unamtongoza. Hivi mnawazaga nini? Mnakua mnajaribu tu au kuna kingine mnawagazaga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Atakaebanwa,atatoka....."Unaona kabisa mtu amevaa engagement ring alafu bado unamtongoza. Hivi mnawazaga nini? Mnakua mnajaribu tu au kuna kingine mnawagazaga?
Unaona kabisa mtu amevaa engagement ring alafu bado unamtongoza. Hivi mnawazaga nini? Mnakua mnajaribu tu au kuna kingine mnawagazaga?
Watu waneshindikana hahaUnaona kabisa mtu amevaa engagement ring alafu bado unamtongoza. Hivi mnawazaga nini? Mnakua mnajaribu tu au kuna kingine mnawagazaga?
Tatizo hamkataagi ndo maana hatuoni maana yake.Unaona kabisa mtu amevaa engagement ring alafu bado unamtongoza. Hivi mnawazaga nini? Mnakua mnajaribu tu au kuna kingine mnawagazaga?
Mchungaji Daniel mgogo aliwahi Kusema;wanaume ni watu wa ajabu sana,hasa linapokuja swala la kumtongoza mwanamkeUnaona kabisa mtu amevaa engagement ring alafu bado unamtongoza. Hivi mnawazaga nini? Mnakua mnajaribu tu au kuna kingine mnawagazaga?
Hata akiolewa tunamtomb* kama kawaida.Bado anakuwa kwenye gombania goli mpaka pale atakapoolewa.
Kazi kwerikweriMchungaji Daniel mgogo aliwahi Kusema;wanaume ni watu wa ajabu sana,hasa linapokuja swala la kumtongoza mwanamke
Akasema,ukivunja ungo na kuanza kuwa na mvuto watamiminika wengi sn kukutongoza
Siku ukipata mchumba na kuvalishwa Pete watapungua pengine Hadi kufikia 10.wengine watakata tamaa
Siku unaolewa kuna wengine watano watakata tamaa watabaki watano wanaendelea kukuimbisha uwape mzigo.
Umefunga harusi,upo ndani ya ndoa wanabaki wawili ambao wao kazi Yao ni kuendelea kukukumbusha ombi la miaka yote hiyo na Kwa nn unakuwa mgumu kiasi hiko,wakati yeye yupo tayari hata kuwa kidumu(mchepuko)
Sasa hawa wawili waliobaki ndy hao unaozungumzia wewe mleta mada..Hawa watu labda wasikie umekufa ndy wataacha kukusumbua,wao hawajali umevalishwa Pete,Una ujauzito wa mumeo,umezaa sijui Umefunga ndoa,watakutongoza Tu hata ufanyaje wao hawajali..kiufupi wewe wavumilie Tu watu dizaini hii maana hata ufanyaje hawaelewagi naving'ang'anizi km Luba
Na hata ukifa kama ni pisi, kule mochwari yule mlinzi atakupiga miti kama kawaida.Mchungaji Daniel mgogo aliwahi Kusema;wanaume ni watu wa ajabu sana,hasa linapokuja swala la kumtongoza mwanamke
Akasema,ukivunja ungo na kuanza kuwa na mvuto watamiminika wengi sn kukutongoza
Siku ukipata mchumba na kuvalishwa Pete watapungua pengine Hadi kufikia 10.wengine watakata tamaa
Siku unaolewa kuna wengine watano watakata tamaa watabaki watano wanaendelea kukuimbisha uwape mzigo.
Umefunga harusi,upo ndani ya ndoa wanabaki wawili ambao wao kazi Yao ni kuendelea kukukumbusha ombi la miaka yote hiyo na Kwa nn unakuwa mgumu kiasi hiko,wakati yeye yupo tayari hata kuwa kidumu(mchepuko)
Sasa hawa wawili waliobaki ndy hao unaozungumzia wewe mleta mada..Hawa watu labda wasikie umekufa ndy wataacha kukusumbua,wao hawajali umevalishwa Pete,Una ujauzito wa mumeo,umezaa sijui Umefunga ndoa,watakutongoza Tu hata ufanyaje wao hawajali..kiufupi wewe wavumilie Tu watu dizaini hii maana hata ufanyaje hawaelewagi naving'ang'anizi km Luba
Watu wanatongoza mjamzito sembuse kuvaa ringUnaona kabisa mtu amevaa engagement ring alafu bado unamtongoza. Hivi mnawazaga nini? Mnakua mnajaribu tu au kuna kingine mnawagazaga?
Tunawaza kumpigia huyo mchumba wakoUnaona kabisa mtu amevaa engagement ring alafu bado unamtongoza. Hivi mnawazaga nini? Mnakua mnajaribu tu au kuna kingine mnawagazaga?
Wanatest Zari🤣🤣🤣Unaona kabisa mtu amevaa engagement ring alafu bado unamtongoza. Hivi mnawazaga nini? Mnakua mnajaribu tu au kuna kingine mnawagazaga?