Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wanatongoza mpaka wake za watu sembuse mchumba tu!!Unaona kabisa mtu amevaa engagement ring alafu bado unamtongoza. Hivi mnawazaga nini? Mnakua mnajaribu tu au kuna kingine mnawagazaga?
Wewe nitakutoa bure umenishindaa[emoji23][emoji23][emoji23]Toka lini ring inazuia kitu kuzama?
Mleta mada anazinguaWewe nitakutoa bure umenishindaa[emoji23][emoji23][emoji23]
Mda huu namtafuna nalibangili lake.Unaona kabisa mtu amevaa engagement ring alafu bado unamtongoza. Hivi mnawazaga nini? Mnakua mnajaribu tu au kuna kingine mnawagazaga?
Mbona jambo la kawaida kutongoza wenye pete kwani hana mbususu,watu wanatongoza wajawazitoUnaona kabisa mtu amevaa engagement ring alafu bado unamtongoza. Hivi mnawazaga nini? Mnakua mnajaribu tu au kuna kingine mnawagazaga?
Inaandikwa wapi kuwa ni engagement ringUnaona kabisa mtu amevaa engagement ring alafu bado unamtongoza. Hivi mnawazaga nini? Mnakua mnajaribu tu au kuna kingine mnawagazaga?
Wanawazaga huko chini tu[emoji16][emoji39]Unaona kabisa mtu amevaa engagement ring alafu bado unamtongoza. Hivi mnawazaga nini? Mnakua mnajaribu tu au kuna kingine mnawagazaga?
Lengo n kukuvua chupi ,wala.sio hiyo ring ..Unaona kabisa mtu amevaa engagement ring alafu bado unamtongoza. Hivi mnawazaga nini? Mnakua mnajaribu tu au kuna kingine mnawagazaga?
Hatsa sisi wanaume tunaovaa ring za ndoa tunapendwa na wanawake tukitongoza tu imoo. Ni uamuzi tu kuzika au kusafirishaUnaona kabisa mtu amevaa engagement ring alafu bado unamtongoza. Hivi mnawazaga nini? Mnakua mnajaribu tu au kuna kingine mnawagazaga?
Aaah mkuu acha mambo yako bana hizo story tu unamegaje maiti kwa mfano na anavotishaNa hata ukifa kama ni pisi, kule mochwari yule mlinzi atakupiga miti kama kawaida.
Kwani hao walio kuja walikuambia wanataka nini....?Unaona kabisa mtu amevaa engagement ring alafu bado unamtongoza. Hivi mnawazaga nini? Mnakua mnajaribu tu au kuna kingine mnawagazaga?