Ukiona hivyo jua wewe mwenyewe hujiheshim, umekaa kimtongozo tongozo, either kwa mavaza,vimini, au shobo.
Mfano:
Wewe mwenyewe hapo ulipo nadhan ni mchumba wa mtu, au umeolewa kabisa, ila juzi umesifia mwanaume mwingine kuwa ni handsome, unadhan kwa style hiyo ukionana na ma hb utaacha kuwapa, kwa kauli zako zile wataacha kukutongoza[emoji23]
Mfano:
Wewe mwenyewe hapo ulipo nadhan ni mchumba wa mtu, au umeolewa kabisa, ila juzi umesifia mwanaume mwingine kuwa ni handsome, unadhan kwa style hiyo ukionana na ma hb utaacha kuwapa, kwa kauli zako zile wataacha kukutongoza[emoji23]