Hivi nyie wanaume wa hivi mnawaza nini?

Tushaingia hadi vyoo vilivyoandikwa staff only sembuse engagement ring. Tena ndo watamu hao
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Kweli tupu mkuu.

Achana na hao ruba sasa, kuna wengine akishamtuona mwanamke na akamtamani atamtongoza hata awe anatembea na shela lake achilia mbali hako kapete kadogo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…