Hivi nyie wanawake, hakunaga option nyingine zaidi ya madera

Hivi nyie wanawake, hakunaga option nyingine zaidi ya madera

kuna wale wanavaa chupi na kanga tu, au akijistiri sana amevaa taiti na kanga kaikaza sijui huwa wanataka nini
 
Mie huyo ila inategemea na hali ya hewa
kwanini uvae hivyo mtaani, tuanze na wewe, maana kuna mwingine kila siku amebana yako, juu amevaa kisinglet cha Mikanda myembamba bila hata brazia yaani vile vya kulalia Chuchu zimechongoka, huku chini kaibana kanga ramani za chupi zinaonekana huwa inakuwa kwa ajili gani au ndio matangazo?
 
kwanini uvae hivyo mtaani, tuanze na wewe, maana kuna mwingine kila siku amebana yako, juu amevaa kisinglet cha Mikanda myembamba bila hata brazia yaani vile vya kulalia Chuchu zimechongoka, huku chini kaibana kanga ramani za chupi zinaonekana huwa inakuwa kwa ajili gani au ndio matangazo?
Mie navaa ndani sio njee ,nje navaa trouser au skintight
 
Mie navaa ndani sio njee ,nje navaa trouser au skintight
Kama ndani sawa, sasa hawa wanaotembea mpka nje, kuna kadada kameolewa na kama mtoto ndio mavazi yake, akivaa dera ndani kuna mtetemo unajua tu hapa limetunguliwa dera na kuvaliwa hivyo hivyo na anatembea umbali mrefu na ear phone zake
 
Back
Top Bottom