Hivi nyie wanawake, hakunaga option nyingine zaidi ya madera

Hivi nyie wanawake, hakunaga option nyingine zaidi ya madera

Wanavaa madera maana inakuwa rahisi kuwapiga baltzary's style,yaani ni kuliiunua tu na kuinamba tofauti na jinsi kazi sana kulivua linapoteza muda.

Sababu ya pili ni bei rahisi kijora/dera elfu 6 hadi 10.
 
Madera ni mbadala wa khanga sikuiz unaona wanawake wana vaa khanga?
 
Habari la jioni dada zangu wapendwa.

Mada hii inawahusu wanawake ambao asubuhi mchana jioni madera tu.

Unakuta mtu siku nzima anashinda na dera halafu ndani amevaa ribukta la man united au Yanga.

Halafu hayo yote sijawahi ona masaki wala ostabay utakuta ni huku kwetu Buguruni, Mbagala na Buza.

NB; Vijana na wafanyabiashara wa buguruni nimefungua BUGURUNI BUSINESS POINT chini ya kampuni yangu pendwa ya SHALOOM AFRICA ENTERPRISES ipo hapa bugurunì sheli na hizi ndio huduma zetu

Ahsante
"Kigodoro mwasiti kalivalia dera" by chidi benz
 
Nyumbani kwangu hapavaliki Dera Wala kijora. Nguo ya ovyo mno kuwahi kubuniwa. Wavaaji wake wengi ni mashangingi watikisa mataQo na kumwaga radhi kwenye sherehe hasa za vigodoro na uzazi
 
kuna uzi wake humu alishazungumziwa, anaishi uswahilini nadhani mbagala
Hivi si ni huyu pia
msambda.jpg
 
Back
Top Bottom