makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Mapenzj mubashara.. Malavi davi 😀Kwakweli acha nijishikilie haswa🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mapenzj mubashara.. Malavi davi 😀Kwakweli acha nijishikilie haswa🤣🤣
Bado ni K hiyo mkuu
Ndo maana nakupenda sana mme wangu.Huyoo wa mishe mishe ......... ....
Ndo me hapa aaan
Oya Bichwa zile chupi za Batiki Bado zipo shemeji etu ?Ndo maana nakupenda sana mme wangu.
Lakini yale mashati yako ya vitenge nitayachoma moto
tatizo hakukukuta na bikira ko hakuamini hatak kucheza mbali.....akikuboa sana omba talakaKuna raha fulani wanawake hupenda kuona mwanaume akiwa na mishe mishe nyingi. Yaani, kaingilia mlango huu, katokea huku, kisha kafika nyumbani, kakaa lisaa limoja, na kuendelea na misele yake. Mwanaume anarudi na mazaga mkononi, mnapiga stori, mnataniana, mnafurahi na kucheka. Kwa kifupi, mwanaume asiye poa ni furaha ya nyumba.
Lakini kuna majanaume fulani sijui kama yamekulia vijijini huko. Yenyewe yanazubaa tu, hayana mishe. Yanategemea mishahara pekee na yakitoka kazini ni moja kwa moja nyumbani, mpaka yanaboa. Wanaume hawa wanafuatilia tamthilia kwenye Azam TV, hawanywi hata wine, na gubu ndio usipime! Kununa kwa vitu vya kipuuzi ni kawaida. Kuvaa, hawajui; wanajua tu kuvaa manguo ya vitenge kama wacheza sindimba.
Jamani, wenzangu, mnawezaje kuishi na wanaume wazubaa hivyo?
Siumuache mpuuzi wew 😫Kuna raha fulani wanawake hupenda kuona mwanaume akiwa na mishe mishe nyingi. Yaani, kaingilia mlango huu, katokea huku, kisha kafika nyumbani, kakaa lisaa limoja, na kuendelea na misele yake. Mwanaume anarudi na mazaga mkononi, mnapiga stori, mnataniana, mnafurahi na kucheka. Kwa kifupi, mwanaume asiye poa ni furaha ya nyumba.
Lakini kuna majanaume fulani sijui kama yamekulia vijijini huko. Yenyewe yanazubaa tu, hayana mishe. Yanategemea mishahara pekee na yakitoka kazini ni moja kwa moja nyumbani, mpaka yanaboa. Wanaume hawa wanafuatilia tamthilia kwenye Azam TV, hawanywi hata wine, na gubu ndio usipime! Kununa kwa vitu vya kipuuzi ni kawaida. Kuvaa, hawajui; wanajua tu kuvaa manguo ya vitenge kama wacheza sindimba.
Jamani, wenzangu, mnawezaje kuishi na wanaume wazubaa hivyo?
🤣🤣🤣🤣 ninazo bado shemOya Bichwa zile chupi za Batiki Bado zipo shemeji etu ?
Changamoto; Mwanamke anataka kitu ambacho hapati, huwezi mridhisha mwanamke kamwe, wengine wanalalama Waume zao wanazurura, huyu anataka wazurure!
sikilizeni hii:
“No matter what you do, your Woman is Mad at you”
& the number one reason is:
“You we’re not her first Choice”
View: https://youtu.be/RIJavth0a9c?feature=shared
Ebu kwanza tujuze una k mnato au ndo bwawa la mtera Hydroelectric power megawatt 7000 per majiKuna raha fulani wanawake hupenda kuona mwanaume akiwa na mishe mishe nyingi. Yaani, kaingilia mlango huu, katokea huku, kisha kafika nyumbani, kakaa lisaa limoja, na kuendelea na misele yake. Mwanaume anarudi na mazaga mkononi, mnapiga stori, mnataniana, mnafurahi na kucheka. Kwa kifupi, mwanaume asiye poa ni furaha ya nyumba.
Lakini kuna majanaume fulani sijui kama yamekulia vijijini huko. Yenyewe yanazubaa tu, hayana mishe. Yanategemea mishahara pekee na yakitoka kazini ni moja kwa moja nyumbani, mpaka yanaboa. Wanaume hawa wanafuatilia tamthilia kwenye Azam TV, hawanywi hata wine, na gubu ndio usipime! Kununa kwa vitu vya kipuuzi ni kawaida. Kuvaa, hawajui; wanajua tu kuvaa manguo ya vitenge kama wacheza sindimba.
Jamani, wenzangu, mnawezaje kuishi na wanaume wazubaa hivyo?
Mbona nishaacha hayo mashart...Ndo maana nakupenda sana mme wangu.
Lakini yale mashati yako ya vitenge nitayachoma moto
Changamoto; Mwanamke anataka kitu ambacho hapati, huwezi mridhisha mwanamke kamwe, wengine wanalalama Waume zao wanazurura, huyu anataka wazurure!
sikilizeni hii:
“No matter what you do, your Woman is Mad at you”
& the number one reason is:
“You we’re not her first Choice”
View: https://youtu.be/RIJavth0a9c?feature=shared
Tuseme amezubaa Kote mpaka chumbani?
Wenye mboo wanapita nayo mkuu
ngekuwa mimi ningekuwasha mangumi na mateke kila siku! Kenge wewe 😬😬😬Kuna raha fulani wanawake hupenda kuona mwanaume akiwa na mishe mishe nyingi. Yaani, kaingilia mlango huu, katokea huku, kisha kafika nyumbani, kakaa lisaa limoja, na kuendelea na misele yake. Mwanaume anarudi na mazaga mkononi, mnapiga stori, mnataniana, mnafurahi na kucheka. Kwa kifupi, mwanaume asiye poa ni furaha ya nyumba.
Lakini kuna majanaume fulani sijui kama yamekulia vijijini huko. Yenyewe yanazubaa tu, hayana mishe. Yanategemea mishahara pekee na yakitoka kazini ni moja kwa moja nyumbani, mpaka yanaboa. Wanaume hawa wanafuatilia tamthilia kwenye Azam TV, hawanywi hata wine, na gubu ndio usipime! Kununa kwa vitu vya kipuuzi ni kawaida. Kuvaa, hawajui; wanajua tu kuvaa manguo ya vitenge kama wacheza sindimba.
Jamani, wenzangu, mnawezaje kuishi na wanaume wazubaa hivyo?
Goma limechambuka kama khamusi Nani apige .Wenye mboo wanapita nayo mkuu