Hivi nyie wenzangu mnawezaje kuishi na wanaume wazubaifu?

Hivi nyie wenzangu mnawezaje kuishi na wanaume wazubaifu?

Bado ni K hiyo mkuu
FB_IMG_17294111567589309.jpg

Hiviiiii kabisaa.
Aaah c'mon kuwa serious bhasi.😂
 
Kuna raha fulani wanawake hupenda kuona mwanaume akiwa na mishe mishe nyingi. Yaani, kaingilia mlango huu, katokea huku, kisha kafika nyumbani, kakaa lisaa limoja, na kuendelea na misele yake. Mwanaume anarudi na mazaga mkononi, mnapiga stori, mnataniana, mnafurahi na kucheka. Kwa kifupi, mwanaume asiye poa ni furaha ya nyumba.

Lakini kuna majanaume fulani sijui kama yamekulia vijijini huko. Yenyewe yanazubaa tu, hayana mishe. Yanategemea mishahara pekee na yakitoka kazini ni moja kwa moja nyumbani, mpaka yanaboa. Wanaume hawa wanafuatilia tamthilia kwenye Azam TV, hawanywi hata wine, na gubu ndio usipime! Kununa kwa vitu vya kipuuzi ni kawaida. Kuvaa, hawajui; wanajua tu kuvaa manguo ya vitenge kama wacheza sindimba.

Jamani, wenzangu, mnawezaje kuishi na wanaume wazubaa hivyo?
tatizo hakukukuta na bikira ko hakuamini hatak kucheza mbali.....akikuboa sana omba talaka
 
Kuna raha fulani wanawake hupenda kuona mwanaume akiwa na mishe mishe nyingi. Yaani, kaingilia mlango huu, katokea huku, kisha kafika nyumbani, kakaa lisaa limoja, na kuendelea na misele yake. Mwanaume anarudi na mazaga mkononi, mnapiga stori, mnataniana, mnafurahi na kucheka. Kwa kifupi, mwanaume asiye poa ni furaha ya nyumba.

Lakini kuna majanaume fulani sijui kama yamekulia vijijini huko. Yenyewe yanazubaa tu, hayana mishe. Yanategemea mishahara pekee na yakitoka kazini ni moja kwa moja nyumbani, mpaka yanaboa. Wanaume hawa wanafuatilia tamthilia kwenye Azam TV, hawanywi hata wine, na gubu ndio usipime! Kununa kwa vitu vya kipuuzi ni kawaida. Kuvaa, hawajui; wanajua tu kuvaa manguo ya vitenge kama wacheza sindimba.

Jamani, wenzangu, mnawezaje kuishi na wanaume wazubaa hivyo?
Siumuache mpuuzi wew 😫
 
Tukiwahi shida, tukichelewa shida, tukilala nje shida...
...tukiwa sober shida, tukinywa kidogo shida...

Wanaume waishi wanavyotaka, tusipangiwe...
 
Kuna raha fulani wanawake hupenda kuona mwanaume akiwa na mishe mishe nyingi. Yaani, kaingilia mlango huu, katokea huku, kisha kafika nyumbani, kakaa lisaa limoja, na kuendelea na misele yake. Mwanaume anarudi na mazaga mkononi, mnapiga stori, mnataniana, mnafurahi na kucheka. Kwa kifupi, mwanaume asiye poa ni furaha ya nyumba.

Lakini kuna majanaume fulani sijui kama yamekulia vijijini huko. Yenyewe yanazubaa tu, hayana mishe. Yanategemea mishahara pekee na yakitoka kazini ni moja kwa moja nyumbani, mpaka yanaboa. Wanaume hawa wanafuatilia tamthilia kwenye Azam TV, hawanywi hata wine, na gubu ndio usipime! Kununa kwa vitu vya kipuuzi ni kawaida. Kuvaa, hawajui; wanajua tu kuvaa manguo ya vitenge kama wacheza sindimba.

Jamani, wenzangu, mnawezaje kuishi na wanaume wazubaa hivyo?
Ebu kwanza tujuze una k mnato au ndo bwawa la mtera Hydroelectric power megawatt 7000 per maji
 
Changamoto; Mwanamke anataka kitu ambacho hapati, huwezi mridhisha mwanamke kamwe, wengine wanalalama Waume zao wanazurura, huyu anataka wazurure!

sikilizeni hii:

“No matter what you do, your Woman is Mad at you”

& the number one reason is:

“You we’re not her first Choice”


View: https://youtu.be/RIJavth0a9c?feature=shared

Tuseme amezubaa Kote mpaka chumbani?
 
Ni
Kuna raha fulani wanawake hupenda kuona mwanaume akiwa na mishe mishe nyingi. Yaani, kaingilia mlango huu, katokea huku, kisha kafika nyumbani, kakaa lisaa limoja, na kuendelea na misele yake. Mwanaume anarudi na mazaga mkononi, mnapiga stori, mnataniana, mnafurahi na kucheka. Kwa kifupi, mwanaume asiye poa ni furaha ya nyumba.

Lakini kuna majanaume fulani sijui kama yamekulia vijijini huko. Yenyewe yanazubaa tu, hayana mishe. Yanategemea mishahara pekee na yakitoka kazini ni moja kwa moja nyumbani, mpaka yanaboa. Wanaume hawa wanafuatilia tamthilia kwenye Azam TV, hawanywi hata wine, na gubu ndio usipime! Kununa kwa vitu vya kipuuzi ni kawaida. Kuvaa, hawajui; wanajua tu kuvaa manguo ya vitenge kama wacheza sindimba.

Jamani, wenzangu, mnawezaje kuishi na wanaume wazubaa hivyo?
ngekuwa mimi ningekuwasha mangumi na mateke kila siku! Kenge wewe 😬😬😬
 
Back
Top Bottom