Uchaguzi 2020 Hivi pamoja na "promo" yote ya mabango yaliyotapakaa nchi nzima, ni kwanini CCM inapelekwa mchamchaka na Tundu Lissu?

Namkataa shetani, na kazi zake zote na mambo yake yote........... Najitoa kwa mtu wa watu ili nimpigie kura na kumuombea kwa Mungu amlinde hadi atakapoingia Ikulu ila akasafishe nyumba yetu iliyogeuka pango la wanyangányi.
Hakika katika awamu hii, Ikulu imegeuka kuwa pango la wanyang'anyi
 
Pumba tupu, unadhani watanzania wajinga. Utaona muziki wake Oct 28.
 
LISSU (NA VIONGOZI WA CHADEMA) ASIACHE KUWAOMBA WANANCHI KWENYE MIKUTANO YAKE, KUREKODI MATUKIO YOTE YA UVUNJIFU AMANI YATAYOFANYWA NA VYOMBO VYA DOLA AU VIKUNDI VYOVYOTE. WANANCHI WAREKODI TUKIO NA SURA ZA WAHUSIKA. TUTAJUA MBELE KWA MBELE HIZO VIDEOS ZITATUSAIDIA WAPI.

cc CHADEMA
 
Hakika ni lazima matukio yarekodiwe kwa ajili ya kumbukumbu, vile vile kwa ajili ya kuwaburuza kwenye mahakama ya kimataifa ya uhalifu ya The Hague
 
Ccm Haikujiandaa Kwa Uchaguzi Mkuu Mgumu Namna Hii
Ndiyo Maana Unaona Imekata Pumzi Muda Mrefu
 
Nasubiri kusikia tumeibiwa kura...

Viva Magu 2020 to 2030
Ccm imezidiwa sana na chadema kimkakati ndo maana ccm wameamka kuomba msaada toka polis ili kubambikizia kesi wapinzani na kuvamia ngome zao na kuwabambikizia kesi zisizo na dhamana kama walivyofanya kwa heche.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…