edwayne
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 8,919
- 9,797
Mkajifunze uchawiKwa hyo sie tusio na mamilion tufanyejd ili tupate hzo ajira?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkajifunze uchawiKwa hyo sie tusio na mamilion tufanyejd ili tupate hzo ajira?
Ooh mkuu...... mbona maneno makali hivi u know,kila mtu anahobbies zake meenzako labda kushusha nyuzi JF za kulalamika ndio hobbies zake asa why unamjia juu kiasi hiki??Mpuuzi sana,kulialia tu sijui anataka nini!!!inaonekana ni MLALAMISHI tangu akiwa mchanga
Wanasubiri Ikama. Tutaitwa tuu.Kuweni na subira wakuu, maadam wametangaza kazi hadharani ni swala la muda tu wataita watu kwenye hizo saili.
Kwa hyo sie tusio na mamilion tufanyejd ili tupate hzo ajira?
Ningependa kukushauri kitu mzee mwenzangu.unawapangia kazi PSRS eti wanangoja nini kuwaita kwenye Interview[emoji1787][emoji1787][emoji1787]uchoko wako ni wa kiwango cha juu sana
We nae achaga ushamba. Mwanaume gani unajisifia kiajiriwa?Wanaume wapo kimya,Interview ya kwanza tu nikamaliza kazi,endelea kulialia JF na uchoko wakoView attachment 2356176View attachment 2356177
kama ambavyo KYAGATA analilia kuajiriwa[emoji3]We nae achaga ushamba.
Mwanaume gani unajisifia kiajiriwa?
Ficha ujinga wako
Ushauri wangu mimi ni huo tu mzee mwenzangu.kuendelea kujibizana na watu walio desperate ni kujishushia heshima tu.Nimekupata Mkuu nashukuru,nilimueleza muanzisha Uzi kwamba awe na subira na asiwe na jazba kukimbilia kuanzisha nyuzi za kulalamika kuhusu PSRS kila siku,ile ni Taasisi inafanya kazi kwa taratibu,sasa kui-attack kila siku sijui inachelewa kuita watu,sijui inapendelea si sahihi!!!ndio maana nikamtolea mfano kwamba kuna kijana wangu alifanya Interview Taasisi moja ya Elimu ya Serikali mwezi wa pili mwaka huu,juzi wiki iliyopita(baada ya miezi Saba kupita ndio kaitwa kazini)hivyo subira siku zote yavuta heri,hakuna haha ya kulaumu Mitandaoni kila siku haisaidii,sijajua kwake jema ni lipi maana akiitwa kwenye Interview akitoka tu anakuja JF kuanzisha Uzi Mtihani Mgumu,asipoitwa kazini oohh PSRS wana UPENDELEO,wakichelewa kuita watu oohh wanangoja nini khaaa!!!hatuwezi kuvumilia upuuzi wake
Duhkama Usaili wa Bunge tu maswali rahisi yale ulikutoa USHUZI usitegemee hizo Taasisi nyingine kutoboa iwe jua iwe mvua,wewe ni KILAZA tu kama VILAZA wengine,PSRS hawafanyi kazi JF endelea kulialia pimbi wewe,kwa taarifa yako tu kwamba Usaili wangu wa kwanza kuitwa na PSRS(written tulifanyia DUCE tukiwa 45 nilitoboa,na Oral tulipita 8 tukafanyia Maktaba Kuu pale zilipokuwa Ofisi za PSRS nilitoboa na kazi nikapata(ukitaka barua ya placement nitaweka hapa senge wewe),endelea kulialia JF kila siku nyuzi tu za kulalamika,ukiitwa unalalamika Mtihani mgumu wakati wewe ndio kichwa maji,usipoitwa unalalamika UPENDELEO,mara wanachelewa kuita khaa!!!
Wise answer sasa hebu ishia hapa ili amani na upendo vitawale.kwa kukusaidia tu ni heri ukiitwa kwenye Interview kwenye Taasisi fulani,anzisha Uzi kuuliza kama kuna Mwana JF anafahamiana na yeyote kwenye Taasisi hiyo,mfano Bunge pale nina marafiki zangu nilisoma nao First Degree ni Maofisa wakubwa tu Bunge pale achilia mbali Wabunge wenyewe niliosoma nao darasa moja mfano kina Mavunde nk,mtu anaweza kukusaidia A,B,C D's na connection if possible badala ya kuanzisha nyuzi kulialia JF kila siku haikusaidii,mimi mwenyewe 2025 panapo uzima nitagombea Ubunge kijijini kwetu huko baada ya hawa marafiki zangu Wabunge kunishauri nijaribu,zaidi ya hapo endelea kuishutumu PSRS Mitandaoni kama unaona shutuma zako zitakusaidia kupata kazi
[emoji122]Wise answer sasa hebu ishia hapa ili amani na upendo vitawale.
kwa kukusaidia tu ni heri ukiitwa kwenye Interview kwenye Taasisi fulani,anzisha Uzi kuuliza kama kuna Mwana JF anafahamiana na yeyote kwenye Taasisi hiyo,mfano Bunge pale nina marafiki zangu nilisoma nao First Degree ni Maofisa wakubwa tu Bunge pale achilia mbali Wabunge wenyewe niliosoma nao darasa moja mfano kina Mavunde nk,mtu anaweza kukusaidia A,B,C D's na connection if possible badala ya kuanzisha nyuzi kulialia JF kila siku haikusaidii,mimi mwenyewe 2025 panapo uzima nitagombea Ubunge kijijini kwetu huko baada ya hawa marafiki zangu Wabunge kunishauri nijaribu,zaidi ya hapo endelea kuishutumu PSRS Mitandaoni kama unaona shutuma zako zitakusaidia kupata kazi
Huu ushauri ungeutoa mwanzo tusingetukanana.ila ulianza kwa madharau na kashfa.kwa kukusaidia tu ni heri ukiitwa kwenye Interview kwenye Taasisi fulani,anzisha Uzi kuuliza kama kuna Mwana JF anafahamiana na yeyote kwenye Taasisi hiyo,mfano Bunge pale nina marafiki zangu nilisoma nao First Degree ni Maofisa wakubwa tu Bunge pale achilia mbali Wabunge wenyewe niliosoma nao darasa moja mfano kina Mavunde nk,mtu anaweza kukusaidia A,B,C D's na connection if possible badala ya kuanzisha nyuzi kulialia JF kila siku haikusaidii,mimi mwenyewe 2025 panapo uzima nitagombea Ubunge kijijini kwetu huko baada ya hawa marafiki zangu Wabunge kunishauri nijaribu,zaidi ya hapo endelea kuishutumu PSRS Mitandaoni kama unaona shutuma zako zitakusaidia kupata kazi
[emoji122][emoji122][emoji122]Huu ushauri ungeutoa mwanzo tusingetukanana.ila ulianza kwa madharau na kashfa.
Yaishe na tusameheane
mimi nilidhani ni placement ya kada ya juu kumbe kada ya kizembe tu, na kitengo cha kizembe.kama ambavyo KYAGATA analilia kuajiriwa[emoji3]
Amethibitisha kuwa bunge letu na psrs hawatendi haki.Huu ushauri ungeutoa mwanzo tusingetukanana.ila ulianza kwa madharau na kashfa.
Yaishe na tusameheane