Hivi PSRS mnasubiri nini kutoa shortlists ya hizi taasisi TRA, NAOT, HESLB na MDs & Local government?

Hivi PSRS mnasubiri nini kutoa shortlists ya hizi taasisi TRA, NAOT, HESLB na MDs & Local government?

Umeongea maneno makali sna mkuu, katika maisha ya kufanikiwa si uwezo wa kufaulu mitihani tu ndio kigezo. Niamini mimi kuna uwezekano mkubwa sna wa huyu jamaa kupata kazi nzuri kabisa hadi ww ukashangaa.
Nakumbuka tukiwa chuo kuna jamaa alikuwa kilaza sana na alirudia hadi mara 3 na ukimuona unaweza fikiri dishi limeyumba. Lakini sasa tulivyomaliza tu chuo akapata shavu Auditing firm na mpk sasa yupo na amekuwa smart sna kichwani.

Somo: Usimdharau mtu kwa mwonekano wake, madhaifu yake, uelewa wake. Vyote hivyo vinaweza badilika kwa muda mfupi tu na pengine kuwa hata Boss wako, mifano ipo.
Halafu huyo hana uwezo wowote, hebu muulize kasomea nini ndio utajua kuwa hajasoma kozi ngumu, hawezi kujilinganisha na kyyaagata ambaye kasomea B.com tena ya udsm.
 
-Halafu anasema anataka kugombea Ubunge, bila shaka litakuwa liCCM hilo ndio ambao wengi wao hawawezi kujenga hoja.
- Kaona Ubunge ni kazi ya heshima wakati wala sio kazi ya heshima ni kujua kusoma na kuandika tu, Ubunge wa kenya ndio una heshima.
 
Kwema wakuu,

Yapata miezi 4 sasa tangu watu tutume applications za taasisi tajwa hapo juu lakini wahusika ni wako kimya tu hawaiti watu kwenye usaili.

Hivi karibuni zimeibuka tuhuma mbalimbali kutoka kwa wadau kuwa kuna watu kutoka hizo taasisi tajwa hapo juu wameajiriwa kimya kimya bila hata kufanya interview kama ilivyozoeleka.

Pamoja na ukimya wa PSRS mtu unapata mashaka maana hii bongo lolote linawezekana.kwa hiyo tunawataka na wala sio kuwaomba nyie PSRS mtoe majina haraka sana watu wafanyiwe usaili kwa nafasi walizoomba katika fair grounds na wala sio kwa kuvujisha mitihani kama mfanyavyo sasa hivi.
Dah ili ni balaa boss unasema imepita miezi 4 , sio minne hapo TRA ni miezi mi 5, wasenge wanatangaza ajira kisiasa sijui kama vipi wakaushe milele tu wasiwe wanatangaza vitu vya uongo , interview zishakuwa kama BSS tu😀😀😀
 
Kwema wakuu,

Yapata miezi 4 sasa tangu watu tutume applications za taasisi tajwa hapo juu lakini wahusika ni wako kimya tu hawaiti watu kwenye usaili.

Hivi karibuni zimeibuka tuhuma mbalimbali kutoka kwa wadau kuwa kuna watu kutoka hizo taasisi tajwa hapo juu wameajiriwa kimya kimya bila hata kufanya interview kama ilivyozoeleka.

Pamoja na ukimya wa PSRS mtu unapata mashaka maana hii bongo lolote linawezekana.kwa hiyo tunawataka na wala sio kuwaomba nyie PSRS mtoe majina haraka sana watu wafanyiwe usaili kwa nafasi walizoomba katika fair grounds na wala sio kwa kuvujisha mitihani kama mfanyavyo sasa hivi.
Eh! Umepania kiongozi vipi una uhakika??

Kesho usije toa uzi mwingine ukisema jamaa hawako fair!!

Usiwe na haraka kila kitu kitaenda sawa bhana.

We endelea na mishe zingine huku ukisubiria hzo shortlists
 
Eh! Umepania kiongozi vipi una uhakika??

Kesho usije toa uzi mwingine ukisema jamaa hawako fair!!

Usiwe na haraka kila kitu kitaenda sawa bhana.

We endelea na mishe zingine huku ukisubiria hzo shortlists
Tunawakumbusha mkuu,muda mrefu umepita.
 
Back
Top Bottom