Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Mkuu,first of all you have to receive my bravo!Watu wajifunze kwa ulichoandika badala ya kuishi kwa propagations!ππππNadharia za kuwachukia wazungu zilipandikizwa na waumini wa ujamaa.Mfumo wa ujamaa umekazia kwenye kulaumu tatizo kuliko ufumbuzi wa tatizo.Wajamaa waliwaaminisha watu kupitia masomo tuliyopoteza mda wetu kuyasoma mashuleni kupitia mitaala iliyotengenezwa na watawala walioshindwa Kama sehemu ya kuwatupia lawama wengine juu ya kushindwa kwao.
Huna kila kitu ambacho hata wazungu hawana bado unawalaumu juu ya kushindwa kwako.
Jamaa is a joga for sure!Anaogopa watamtapisha urais waliomsukumiza. Tunamuangalia tu.Mzee Kikwete tutolee huyu mnyamulenge aso na huruma kwa wananchi. Get the hell out of the system that hec of a fula pigmy!ππππWafanyakazi hewa na vyeti feki ajagusa kabisa majeshini isipokuwa kwa watumishi wengine hizi si ndo dabo standard zenyewe hizi.
Hawezi ongoza Jamii za watu walioelimika na kustaarabika kiongozi dhaifu ni yule anategemea kubebwa na dola na si hoja.Kiongozi makini usimama mwenyewe na Wala ategemei kukamilishwa na dolaKipimo cha utimamu wa akili na mwili wa mtu anaitwa mtanzania blla kujari nafasi yake kwenye nchi hii ni October 2020. Yaani Magufuli kwa watu wenye akili timamu na uhai si tu hatakiwi kuchaguliwa bali hata ile kuonesha Nia tu ya kugombea Tena anatakiwa apigwe vita
Kada zipo nyingi zaidi ya utumishi wa umma. Wewe ukilia awamu hii kuna wenye kucheka mpaka jino la mwisho likaonekana.
Yeyeto asiyejiandaa lzm aborongeJamaa is a joga for sure!Anaogopa watamtapisha urais waliomsukumiza.Tunamuangalia tu.Mzee Kikwete tutolee huyu mnyamulenge aso na huruma kwa wananchi.Get the hell out of the system that hec of a fula pigmy!ππππ
Yaani kuna "abuse of power" inayofanyika katika utawala huu wa awamu ya tano, ambao haujawahi kufanywa na Rais mwingine yeyote hapo kablaYaTE="Moisemusajiografii, post: 35112042, member: 180323"]
Zitto anapong'ang'ani sheria itungwe ili Rais ashtakiwe huwa anamaanisha jambo muhimu sana.Huyu jamaa atakapotoka madarakani ni vema akashtakiwa kwa uvunjaji wa sheria.The old boy is a savage!ππππππ
Huyu kiumbe ni vema akitoka tu adakwe na kushtakiwa!Anawadharau waliomtangulia.Anawadharau wana wa nchi.Anajimwambafai!Hana adabu kwa ujumla.He has to go to hell!πππYaani kuna "abuse of power" inayofanyika katika utawala huu wa awamu ya tano, ambao haujawahi kufanywa na Rais mwingine yeyote hapo kabla
[emoji23][emoji23]hivi why kwenye mifano ya hovyo hutumika sana kingwenduKinachonishangaza hatujui nia ya huyu jamaa ktk nchi yetu anaonekana kbsa hayuko fit kua president alaf watu kama TISS wanaangalia tu,kweli unaeza mpa uraisi hata kingwendu na Tiss wakaufyata tu.
Watanzania wanapenda furaha kila nyakati.Sasa unataka watolee mfano wa "plopesa" Kabudi?It won't match at allππππ[emoji23][emoji23]hivi why kwenye mifano ya hovyo hutumika sana kingwendu
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi mfurahisha kila mtu ukiwa rais. Cha muhimu simamia kile unachokiamini haswa kilichoandikwa ndani ya ilani ya uchaguzi.Ni wapambe na wanufaika walio mezani lkn wengi wako hoi.No nyongeza,no motisha,no kupanda madaraja Hadi miradi ikamilike ambayo haujulikani lini even 20 yrs.Vipi Hawa wanaostaafu leo si umewanyima haki zao za kikatiba
Ikiwa dhamana ya kwanza ya Serikali yoyote ni kulinda uhai wa Raia wake, Watanzania tuna haja ya kuwatathmini tuliowakabidhi dhamana hii - JamiiForumsKipimo cha utimamu wa akili na mwili wa mtu anaitwa mtanzania blla kujari nafasi yake kwenye nchi hii ni October 2020. Yaani Magufuli kwa watu wenye akili timamu na uhai si tu hatakiwi kuchaguliwa bali hata ile kuonesha Nia tu ya kugombea Tena anatakiwa apigwe vita
Kwenda zako usalama gani??Hivi unajua kuwa ndani ya Janga fulani usipokuwa makini na Usalama wako kama Nchi unaweza kutoa mwanya kwa Maadui?