Hivi Rais Samia amewahi kuandika Makala au Paper ya utatuzi wa changamoto za jamii?

Hivi Rais Samia amewahi kuandika Makala au Paper ya utatuzi wa changamoto za jamii?

Huyo Mtei si alikuwa kibaraka wa Wazungu!
Kilichoua Uchumi wetu ni uwizi na uvivu wa Watanzania, Mwalimu Nyerere alifanya kwa nafasi yake ila alizungukwa na wezi kama ambavyo ata sasa Rais kazungukwa na Wahuni!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app

..Mtei alikuwa mzalendo, na ataendelea kukumbukwa hivyo.

..Ushauri wake ungezingatiwa kwa wakati tungeweza kupata ahueni ya kiuchumi.
 
Majina ya vitabu mkuu

" A Knight in Africa. A Journey from Bekene " -- By Andy Chande.

" From Goatherd to Governor " - By Edwin Mtei.


..pia tafuta mijadala iliyohusu kitabu cha Edwin Mtei hapa JF.

..Yeye mwenyewe Mzee Mtei alishiriki mijadala hiyo.


..JF ilikuwa jukwaa lenye heshima sana kabla CCM haijatuma vijana wake kuharibu na kuvuruga mijadala.
 

Wafuasi wa Samia mkubali tu you have been cornered .

Hakuna jibu mtakalotupa la kuridhisha kuhusu tasnifu ya Samia.

Mbona vingine tukiuliza mnajibu haraka ila hili mnakwepa ? Kama Samia alipiga shule why iwe kizungumkuti kusema tu hii hapa tasnifu yake mjisomee sio mtupe viswahili vya sijui muende wapi mtaikuta?

Samia hana tofauti na huyo mama anachoulizwa na ndio wapambe wake hamjui tasnifu yake inahusu nini mkubali uwezo wake wa kielimu ni duni bila kubebwa asingefika hapo na mimi sio muumini wa watu wa kubebwa .

Ingependeza akigombea next tie iwepo presidential debate yenye maswali ya papo kwa papo ndio mtaujua uwezo wake ulivyo mdogo.
 
" A Knight in Africa. A Journey from Bekene " -- By Andy Chande.

" From Goatherd to Governor " - By Edwin Mtei.


..pia tafuta mijadala iliyohusu kitabu cha Edwin Mtei hapa JF.

..Yeye mwenyewe Mzee Mtei alishiriki mijadala hiyo.


..JF ilikuwa jukwaa lenye heshima sana kabla CCM haijatuma vijana wake kuharibu na kuvuruga mijadala.
Asante uncle ,nimechelewa kuijua JF nimeanza kuifatilia mwaka 2013 nikiwa mwanafunzi wa diploma... Najua hapo ilikua tayari imevurugika lakini si kama sasa..asante na ubarikiwe na screen shot reply yako nitatafuta hivi vitabu Hardcopy...
 
Magufuli alifoji Elimu kivipi wakati ata andiko lake alilopatia PhD lilitangazwa adharani?
Wekeni ushahidi wa kutosha,alifoji kivipi ili na sisi maamuma tuelewe!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Sidhani kama napaswa kuleta ushahidi naana sijasema amifoji, binafsi nimeunga mkono kwamba mtu mwenye elimu ya kweli, inapohojiwa huwa hatetereki, tena anafurahi maana anapata nafasi ya kuukumbusha umma kwamba alisoma!
 
Back
Top Bottom