Hivi Rais Samia anashikwa na "kigugumizi" gani kutoamuru Kesi ya Ugaidi inayowakabili kina Mbowe ifutwe bila masharti yoyote?

Wanaogopa uchaguzi 2025
 
Kama nimekuelewa vizuri ni kwamba hata wewe unaamini kwamba Mbowe alibambikiwa kesi kwasabau ya kuisumbua serikali, right?
 
Mbowe ni tishio la kisiasa tanzania,ili amani iendelee kutamalaki kwa tafsili yao ni Mbowe afungwe hata kama hana hatia.
 
Kama nimekuelewa vizuri ni kwamba hata wewe unaamini kwamba Mbowe alibambikiwa kesi kwasabau ya kuisumbua serikali, right?

Tuko Africa, shida yenu mnajifanya kama mnaishi ulaya

Hata ww leo unaweza kupewa kesi ya kubaka na ukafungwa ukapotea kabisa hii ndio africa and I can't change it

Ndio maana uwa nawashangaa watu ambao wanalilia katiba mpya, hakuna rais wa Africa anataka katiba mpya unless hiyo katiba iwe upande wake

Hata ww Leo ungekuwa ni rais katiba mpya usingekubali
 
Umepotoka
 
Mimi sijakataa; ninacho kisema ni kwamba, kumbe ni kweli kwamba Mbowe kabambikiwa kesi sio?
 
Muhimili mmoja hauwezi kuingilia muhimili mwingine.

Au siku hizi mmeacha kuhubiri demokrasia?

Yaani unakurupuka na thread ya utetezi JF?mawakili wenu wameshawajulisha kuwa maji yamemfika shingoni sasa mnasaka public sympathy.
Huna akili
 
Samia yawezekana alitaka maovu ya mtangulizi wake yaanikwe.
 
Ipo haja ya wote waliobumba kesi hii ya uongo wachukuliwe hatua. Wakiwemo siro, kingai, mahita jumanne gudlack majaji na mahakimu wote waliojiingizia pesa haramu kama posho mbalimbali za kushiriki kesi ya uongo na kuitia hasara kodi yetu.
Hio gharama ya kuendesha kesi si ingenunua hata madawati.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…