Hivi Rais wa Tanzania anasafiri tu hata kama kuna hatari ya vita muda wowote?

Hivi Rais wa Tanzania anasafiri tu hata kama kuna hatari ya vita muda wowote?

Haofii hata usalama wake tu kwanza achilia mbali wa nchi ? I mean, kwa hali ilivyo kwa sasa muda wowote dunia inaweza kuwa nyingine kabisa, ila Rais yuko Uarabuni, hii ni sawa kweli?
Acha kulialia wewe. Vita ipo Ukraine yeye yupo umangani, ni mbali sana.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Wewe umeacha kufanya kazi zako za kila siku?Yaani vita vya Ukraine na Urusi ndio vifanye Rais asiende Dubai? Safari za ndege duniani zimesimamishwa?
Unajua geografia ya dunia kweli?
Au upo kwenye blame gang ya kulaumu kila kitu?
Hawa ndio watanzania na akili zao za malalamiko mwaka mzima.
 
Haofii hata usalama wake tu kwanza achilia mbali wa nchi ? I mean, kwa hali ilivyo kwa sasa muda wowote dunia inaweza kuwa nyingine kabisa, ila Rais yuko Uarabuni, hii ni sawa kweli?
Acha WiVuu.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Acha WiVuu.

1645956332166.jpeg
 
Mifumo ya ulinzi wa rais iko imara na Ina taarifa zote za kiusalama
Wwe jiongope tu,ngoja wenye Dunia yao waipige Dunia yote lockdown ya hewa nzito aangani,na kila Mtu abaki hapo alipo hadi hapo hali ya hewa itakapo tulia! Lazima tumuapishe Mpango faster aendelee na kazi huku Nyumbani!! Ya Mungu mengi huwezi jua!!
 
Haofii hata usalama wake tu kwanza achilia mbali wa nchi ? I mean, kwa hali ilivyo kwa sasa muda wowote dunia inaweza kuwa nyingine kabisa, ila Rais yuko Uarabuni, hii ni sawa kweli?

Hakuna mtu anayemjua rais wa Tanzania, au ukiona zile mbwembwe za kulindwa na watu wa usalama ili wapige imprest unaamini rais wa Tanzania ni wa muhimu kwa hivyo? Kwa taarifa yako ni watu wachache sana duniani wanafahamu kuwa kuna nchi inaaitwa Tanzania na mahali ilipo.
 
Hakuna mtu anayemjua rais wa Tanzania, au ukiona zile mbwembwe za kulindwa na watu wa usalama ili wapige imprest unaamini rais wa Tanzania ni wa muhimu kwa hivyo? Kwa taarifa yako ni watu wachache sana duniani wanafahamu kuwa kuna nchi inaaitwa Tanzania na mahali ilipo.

Sicho nilichomaanisha, kama mambo yakibadilika ghafla na yanaweza who knows ? nchi zinaweza hata kufunga anga zao, atasafiri vipi kurudi kwa mfano ?
 
Sicho nilichomaanisha, kama mambo yakibadilika ghafla na yanaweza who knows ? nchi zinaweza hata kufunga anga zao, atasafiri vipi kurudi kwa mfano ?

Ataruhisiwa tu maana hana madhara yoyote. Inshort hana umuhimu huo unaodhani anao kwenye dunia hii.
 
Ataruhisiwa tu maana hana madhara yoyote. Inshort hana umuhimu huo unaodhani anao kwenye dunia hii.

Ataruhusiwa na nani kama anga ikifungwa ? Unaelewa maana yake anga ikifungwa ? Ndo maana Viongozi huwa hawasafiri hovyo bila ya sababu maalumu has a wakati wa vita usiotabirika kama huu !
 
Haofii hata usalama wake tu kwanza achilia mbali wa nchi ? I mean, kwa hali ilivyo kwa sasa muda wowote dunia inaweza kuwa nyingine kabisa, ila Rais yuko Uarabuni, hii ni sawa kweli?
Raisi wa nchi lazima asafiri
 
Haofii hata usalama wake tu kwanza achilia mbali wa nchi ? I mean, kwa hali ilivyo kwa sasa muda wowote dunia inaweza kuwa nyingine kabisa, ila Rais yuko Uarabuni, hii ni sawa kweli?
Nadhani umejiongiza vibaya ndugu. Rethink. Vita ya watu inatuhusu nini sisi? Kama kungekuwa na threat kiasi hicho hata hiyo EXPO ingekuwa cancelled. Na ujue hizi Dunia ya tatu hawana option kwenye world peace keeping, wao wanapokea maelekezo tu, kwa hiyo hata Rais wetu akomae bado hana la kutatua katika kulinda mipaka ya nchi yake dhidi ya first world.
 
Ataruhusiwa na nani kama anga ikifungwa ? Unaelewa maana yake anga ikifungwa ? Ndo maana Viongozi huwa hawasafiri hovyo bila ya sababu maalumu has a wakati wa vita usiotabirika kama huu !

Hata asiporudi ni sawa tu, sioni chochote kama nchi itapoteza.
 
Hata hivyo Dunia ilipoa sana,aliyekuwa anaichangamsha alikuwa Osama ,alipokufa tu ikapoa kabisa at least kwa sasa inaanza kuchangamka
 
Back
Top Bottom