Hivi Rais wa Tanzania anasafiri tu hata kama kuna hatari ya vita muda wowote?

Hivi Rais wa Tanzania anasafiri tu hata kama kuna hatari ya vita muda wowote?

Picha usalama wa rais wetu ni mbovu sana tunaenda kwa mazoea,kujuana,n.k mfano ni watz wangapi wapo ukraine wameblokiwa na marekani wao walishaona mbali na wakawatahadharisha raia wao.
 
Inavyoonekana awamu hii imeamua kufanya kazi kwa kusafiri nje ya nchi.

Ila bado hali ya uchumi ni mbaya na hakuna ajira kabisa.
Awamu ya 5 uchumi ulikua vizuri?

Pro-Jiwe ndio mmegundua hali ni tete saa hizi wakati kile kipindi mlisifia propaganda.
 
Msiogope. Siku hizi kuna Zoom na mtandao. Hata Rais akiwa safarini anaweza kufanya kazi.
 
Haofii hata usalama wake tu kwanza achilia mbali wa nchi ? I mean, kwa hali ilivyo kwa sasa muda wowote dunia inaweza kuwa nyingine kabisa, ila Rais yuko Uarabuni, hii ni sawa kweli?
Rais anafungua nchi
 
Angekuwa bwana yule sasa hivi tungeona taarifa za Msigwa kutoka "Ikulu Chattle"
 
Back
Top Bottom