Napokea๐ค๐ค๐คSijawahi kutana na post ambayo haina like yako mkuu pamoja na raraa reree chukueni maua yenu [emoji259][emoji259]
yule mwamba alinigonga dislike 13 kwa siku, kuja kushtuka kafunguliwa uzi kumbe kagawa dislike kwa kila mtuNgoja nimrudishe yule jamaa aliekua anatoa dislike kwenye kila comment..
Mtake radhi bhana utamuitaje roboti bhana,huyu ni mtu muhimu sana hapa jf
Wee usiniambie๐๐... raraa reree kumbe ni robot na hausemi my friend ๐๐๐งMtake radhi bhana utamuitaje roboti bhana,huyu ni mtu muhimu sana hapa jf
Majina ya kila aina duh ๐โโ๏ธWee usiniambie๐๐... raraa reree kumbe ni robot na hausemi my friend ๐๐๐ง
Ndo utuambie sasa who are you๐๐๐Majina ya kila aina duh ๐โโ๏ธ
Wewe kwani ni nani ๐ embu ๐ธ kwanza ๐คNdo utuambie sasa who are you๐๐๐
wewe ndo umefunguliwa hadi na uzi๐๐Wewe kwani ni nani ๐ embu ๐ธ kwanza ๐ค
Amenionea ๐wewe ndo umefunguliwa hadi na uzi๐๐
Wewe ni mtu lakini,, si ndio๐๐๐Amenionea ๐
Kwan wewe ni nani ๐Wewe ni mtu lakini,, si ndio๐๐๐
Mimi ni mtu๐๐Kwan wewe ni nani ๐
Embu tukuonee ๐๐๐ถโ๐ซ๏ธMimi ni mtu๐๐
Muone ๐๐๐งEmbu tukuonee ๐๐๐ถโ๐ซ๏ธ
Wacha weee๐
Acha hizo mambo yasije kuwa mengi ๐
bw. na bi. likes๐Wacha weee๐
Fanya namna bossAcha hizo mambo yasije kuwa mengi ๐
Yasiwe mengi kama yalivyotokea kuleeeeeee ๐Fanya namna boss