The Eric
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 6,446
- 10,976
Hii nakosaje mimiNa kuna wengine tunanyandua show bao 3 daily
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii nakosaje mimiNa kuna wengine tunanyandua show bao 3 daily
Usisahau Tenzi za Rohoni, mafuta na maji ya upako...Nakuja na rozari pia
Sure...🤣🤣 Inabidi muda mwingine watu wajifunze kumind their business maana la sivyo wanaweza onekana wao ndo shule haijawasaidia kimtindo
👊Sure...
Mafuta tena 😅😅😅😅Usisahau Tenzi za Rohoni na mafuta na maji ya upako...
Na chumvi pia nataka nikutoe pepo[emoji23][emoji23]Mafuta tena [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Pepo tokaaaaaa 😅😅😅😅Na chumvi pia nataka nikutoe pepo[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]Pepo tokaaaaaa [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Kumbe aseeeNi roboti
Unataka twende wapi wakati huku tulipo hakuna wa kucheza nao?Salaam!
Nauliza japo sio kwa ubaya wanajukwaa na mods msinielewe vibaya kwa hilo swali.....
Ni mimi nina notice reactions za member raraa reree kwenye almost 80% ya post zangu au kuna na wengine, he/she is so active.
Kuna haka kamsemo kakina ngosha eti (in voice of ngosha) "shureni kwani urisomea ujinga" kananivutia sana 😅😅😅 basi member huyu alisomea kureact kwani 😅
Nisiwachoshe sana wasomaji najiuliza how much time ana spent Jamii forum na anawezaje aisee to view kila thread.
With reference to this, moderators shall have to pay for his presence, I think he/she deserves an accolaide for greatness of his responding🏆🏆🏆🏆🏅🏅🏅 🤑🤑🤑🤑
KabisaAnafurahisha zaidi kwenye utaalam wa ku LIKE.
Una hakika anareact kwa kila thread? Anyway sio kazi ila angereact kwa kila comment labdaSalaam!
Nauliza japo sio kwa ubaya wanajukwaa na mods msinielewe vibaya kwa hilo swali.....
Ni mimi nina notice reactions za member raraa reree kwenye almost 80% ya post zangu au kuna na wengine, he/she is so active.
Kuna haka kamsemo kakina ngosha eti (in voice of ngosha) "shureni kwani urisomea ujinga" kananivutia sana [emoji28][emoji28][emoji28] basi member huyu alisomea kureact kwani [emoji28]
Nisiwachoshe sana wasomaji najiuliza how much time ana spent Jamii forum na anawezaje aisee to view kila thread.
With reference to this, moderators shall have to pay for his presence, I think he/she deserves an accolaide for greatness of his responding[emoji471][emoji471][emoji471][emoji471][emoji966][emoji966][emoji966] [emoji857][emoji857][emoji857][emoji857]
Sifahamu ukweli wa hili mkuu, heshima yako kiongozi, wewe ni member wa muda sana na umekuwa mchangiaji mzuri humu hususani kutoa ushauri mbalimbali.Mkuu kuna ID huwa zinamilikiwa na watu zaidi ya mmoja ,rejea Juma pinto alivyokua anaeleza kwamba walikuwa wanatumia ID moja Jambo Forums na hata gogoki2014 nayo ilikuwa inamilikiwa na mtu zaidi ya mmoja ,kwahiyo inawezekana pia hiyo ID nayo inamilikiwa na mtu zaidi ya mmoja.
raraa reree upewe maua yako broSalaam!
Nauliza japo sio kwa ubaya wanajukwaa na mods msinielewe vibaya kwa hilo swali.....
Ni mimi nina notice reactions za member raraa reree kwenye almost 80% ya post zangu au kuna na wengine, he/she is so active.
Kuna haka kamsemo kakina ngosha eti (in voice of ngosha) "shureni kwani urisomea ujinga" kananivutia sana 😅😅😅 basi member huyu alisomea kureact kwani 😅
Nisiwachoshe sana wasomaji najiuliza how much time ana spent Jamii forum na anawezaje aisee to view kila thread.
With reference to this, moderators shall have to pay for his presence, I think he/she deserves an accolaide for greatness of his responding🏆🏆🏆🏆🏅🏅🏅 🤑🤑🤑🤑
Sio kila thread 80% approximately.Una hakika anareact kwa kila thread? Anyway sio kazi ila angereact kwa kila comment labda
Jambo anajitahidi sana kwa kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo ni robot/ program sio mtuSalaam!
Nauliza japo sio kwa ubaya wanajukwaa na mods msinielewe vibaya kwa hilo swali.....
Ni mimi nina notice reactions za member raraa reree kwenye almost 80% ya post zangu au kuna na wengine, he/she is so active.
Kuna haka kamsemo kakina ngosha eti (in voice of ngosha) "shureni kwani urisomea ujinga" kananivutia sana 😅😅😅 basi member huyu alisomea kureact kwani 😅
Nisiwachoshe sana wasomaji najiuliza how much time ana spent Jamii forum na anawezaje aisee to view kila thread.
With reference to this, moderators shall have to pay for his presence, I think he/she deserves an accolaide for greatness of his responding🏆🏆🏆🏆🏅🏅🏅 🤑🤑🤑🤑