Hivi raraa reree hizi likes unazogawaga uzi mzima unatumia BOT au nini?

Hivi raraa reree hizi likes unazogawaga uzi mzima unatumia BOT au nini?

Salaam!

Nauliza japo sio kwa ubaya wanajukwaa na mods msinielewe vibaya kwa hilo swali.....

Ni mimi nina notice reactions za member raraa reree kwenye almost 80% ya post zangu au kuna na wengine, he/she is so active.

Kuna haka kamsemo kakina ngosha eti (in voice of ngosha) "shureni kwani urisomea ujinga" kananivutia sana 😅😅😅 basi member huyu alisomea kureact kwani 😅

Nisiwachoshe sana wasomaji najiuliza how much time ana spent Jamii forum na anawezaje aisee to view kila thread.

With reference to this, moderators shall have to pay for his presence, I think he/she deserves an accolaide for greatness of his responding🏆🏆🏆🏆🏅🏅🏅 🤑🤑🤑🤑
Unataka twende wapi wakati huku tulipo hakuna wa kucheza nao?
 
Mkuu kuna ID huwa zinamilikiwa na watu zaidi ya mmoja ,rejea Juma pinto alivyokua anaeleza kwamba walikuwa wanatumia ID moja Jambo Forums na hata gogoki2014 nayo ilikuwa inamilikiwa na mtu zaidi ya mmoja ,kwahiyo inawezekana pia hiyo ID nayo inamilikiwa na mtu zaidi ya mmoja.
 
Salaam!

Nauliza japo sio kwa ubaya wanajukwaa na mods msinielewe vibaya kwa hilo swali.....

Ni mimi nina notice reactions za member raraa reree kwenye almost 80% ya post zangu au kuna na wengine, he/she is so active.

Kuna haka kamsemo kakina ngosha eti (in voice of ngosha) "shureni kwani urisomea ujinga" kananivutia sana [emoji28][emoji28][emoji28] basi member huyu alisomea kureact kwani [emoji28]

Nisiwachoshe sana wasomaji najiuliza how much time ana spent Jamii forum na anawezaje aisee to view kila thread.

With reference to this, moderators shall have to pay for his presence, I think he/she deserves an accolaide for greatness of his responding[emoji471][emoji471][emoji471][emoji471][emoji966][emoji966][emoji966] [emoji857][emoji857][emoji857][emoji857]
Una hakika anareact kwa kila thread? Anyway sio kazi ila angereact kwa kila comment labda

Japo anajitahidi sana kwa kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kuna ID huwa zinamilikiwa na watu zaidi ya mmoja ,rejea Juma pinto alivyokua anaeleza kwamba walikuwa wanatumia ID moja Jambo Forums na hata gogoki2014 nayo ilikuwa inamilikiwa na mtu zaidi ya mmoja ,kwahiyo inawezekana pia hiyo ID nayo inamilikiwa na mtu zaidi ya mmoja.
Sifahamu ukweli wa hili mkuu, heshima yako kiongozi, wewe ni member wa muda sana na umekuwa mchangiaji mzuri humu hususani kutoa ushauri mbalimbali.
 
Salaam!

Nauliza japo sio kwa ubaya wanajukwaa na mods msinielewe vibaya kwa hilo swali.....

Ni mimi nina notice reactions za member raraa reree kwenye almost 80% ya post zangu au kuna na wengine, he/she is so active.

Kuna haka kamsemo kakina ngosha eti (in voice of ngosha) "shureni kwani urisomea ujinga" kananivutia sana 😅😅😅 basi member huyu alisomea kureact kwani 😅

Nisiwachoshe sana wasomaji najiuliza how much time ana spent Jamii forum na anawezaje aisee to view kila thread.

With reference to this, moderators shall have to pay for his presence, I think he/she deserves an accolaide for greatness of his responding🏆🏆🏆🏆🏅🏅🏅 🤑🤑🤑🤑
raraa reree upewe maua yako bro
 
Salaam!

Nauliza japo sio kwa ubaya wanajukwaa na mods msinielewe vibaya kwa hilo swali.....

Ni mimi nina notice reactions za member raraa reree kwenye almost 80% ya post zangu au kuna na wengine, he/she is so active.

Kuna haka kamsemo kakina ngosha eti (in voice of ngosha) "shureni kwani urisomea ujinga" kananivutia sana 😅😅😅 basi member huyu alisomea kureact kwani 😅

Nisiwachoshe sana wasomaji najiuliza how much time ana spent Jamii forum na anawezaje aisee to view kila thread.

With reference to this, moderators shall have to pay for his presence, I think he/she deserves an accolaide for greatness of his responding🏆🏆🏆🏆🏅🏅🏅 🤑🤑🤑🤑
Huyo ni robot/ program sio mtu
 
Back
Top Bottom