Sambinyakwe kitololo
JF-Expert Member
- Nov 15, 2022
- 2,419
- 2,940
Kuna yule wa dislike akichoka anaacha mwenyewewapo/walikuwepo wengine wengi ni masuala ya mpito.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna yule wa dislike akichoka anaacha mwenyewewapo/walikuwepo wengine wengi ni masuala ya mpito.
ItakuwaHuyo Ni robot wa jf wanamtumia
Ni nani alianzisha huu msemo 😅😅😅🤣🤣Huo msemo "huko shuleni mlisomea ujinga"..mmeshampora alieanzisha huo usemi?mmewapa kina ngosha?😅
Huyo ni wewe hapa kwenye IDTatizo nyota kaka [emoji23][emoji23]
Watakuja watu kukujibu hapa sasa hivi 😅Ni nani alianzisha huu msemo 😅😅😅🤣🤣
Nimefurahi The Boss karudi.Huo msemo "huko shuleni mlisomea ujinga"..mmeshampora alieanzisha huo usemi?mmewapa kina ngosha?😅
Njoo na Biblia kabisa tujifunze...Basi sawa donatila afu naja Pm
That's it👊👊🥳Sio kila mtu lazima afanye kazi 😄
Sio kwa ubaya lakn ni maoni tu 🍻
Upo mitaa gani sasa hiviDuh aiseee
Upo mitaa gani sasa hivi
Nakuja na rozari piaNjoo na Biblia kabisa tujifunze...
Siamini ila kama upo fresh basi ni jambo zuri maana wanadamu tuna maswaibu mengi sana.Jf nzima tu
Na kuna wengine tunanyandua show bao 3 dailySalaam!
Nauliza japo sio kwa ubaya wanajukwaa na mods msinielewe vibaya kwa hilo swali.....
Ni mimi nina notice reactions za member raraa reree kwenye almost 80% ya post zangu au kuna na wengine, he/she is so active.
Kuna haka kamsemo kakina ngosha eti (in voice of ngosha) "shureni kwani urisomea ujinga" kananivutia sana 😅😅😅 basi member huyu alisomea kureact kwani 😅
Nisiwachoshe sana wasomaji najiuliza how much time ana spent Jamii forum na anawezaje aisee to view kila thread.
With reference to this, moderators shall have to pay for his presence, I think he/she deserves an accolaide for greatness of his responding🏆🏆🏆🏆🏅🏅🏅 🤑🤑🤑🤑
Siamini ila kama upo fresh basi ni jambo zuri maana wanadamu tuna maswaibu mengi sana.