Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni yeye kama atahitaji kazi na ana willing ya kufanya kazi Jamii forum ni sawa, lakini kwa issue ya zawadi ni muhimu ๐ ๐ ๐[emoji23][emoji23][emoji23]
Apewe kazi huku sio
Aseee kumbe ๐๐๐wapo/walikuwepo wengine wengi ni masuala ya mpito.
Salaam!
Nauliza japo sio kwa ubaya wanajukwaa na mods msinielewe vibaya kwa hilo swali.....
Ni mimi nina notice reactions za member raraa reree kwenye almost 80% ya post zangu au kuna na wengine, he/she is so active.
Kuna haka kamsemo kakina ngosha eti (in voice of ngosha) "shureni kwani urisomea ujinga" kananivutia sana ๐ ๐ ๐ basi member huyu alisomea kureact kwani ๐
Nisiwachoshe sana wasomaji najiuliza how much time ana spent Jamii forum na anawezaje aisee to view kila thread.
With reference to this, moderators shall have to pay for his presence, I think he/she deserves an accolaide for greatness of his responding๐๐๐๐๐ ๐ ๐ ๐ค๐ค๐ค๐ค
Subiri anakuja ku reactSalaam!
Nauliza japo sio kwa ubaya wanajukwaa na mods msinielewe vibaya kwa hilo swali.....
Ni mimi nina notice reactions za member raraa reree kwenye almost 80% ya post zangu au kuna na wengine, he/she is so active.
Kuna haka kamsemo kakina ngosha eti (in voice of ngosha) "shureni kwani urisomea ujinga" kananivutia sana ๐ ๐ ๐ basi member huyu alisomea kureact kwani ๐
Nisiwachoshe sana wasomaji najiuliza how much time ana spent Jamii forum na anawezaje aisee to view kila thread.
With reference to this, moderators shall have to pay for his presence, I think he/she deserves an accolaide for greatness of his responding๐๐๐๐๐ ๐ ๐ ๐ค๐ค๐ค๐ค
Wewe ni noma kaka hivi hujawahi chelewa kazini kisa jamii forum, tupe uzoefu ๐๐๐Kama mimi kazi zangu zote ni online, na naweza kaa online up to 14 hours a day, acha kuamka kwa alarm, jamii forum ni kama break yangu nikiwa natafakari.
๐ ๐คฃ๐ ๐Subiri anakuja ku react
Wewe ni noma kaka hivi hujawahi chelewa kazini kisa jamii forum, tupe uzoefu ๐๐๐
Jf mongers Tupo wengi๐ค๐ค๐คSalaam!
Nauliza japo sio kwa ubaya wanajukwaa na mods msinielewe vibaya kwa hilo swali.....
Ni mimi nina notice reactions za member raraa reree kwenye almost 80% ya post zangu au kuna na wengine, he/she is so active.
Kuna haka kamsemo kakina ngosha eti (in voice of ngosha) "shureni kwani urisomea ujinga" kananivutia sana ๐ ๐ ๐ basi member huyu alisomea kureact kwani ๐
Nisiwachoshe sana wasomaji najiuliza how much time ana spent Jamii forum na anawezaje aisee to view kila thread.
With reference to this, moderators shall have to pay for his presence, I think he/she deserves an accolaide for greatness of his responding๐๐๐๐๐ ๐ ๐ ๐ค๐ค๐ค๐ค
Nice oneNiligraduate chuo, nikaa nikapata CPA nikafanya kazi 8 months, sijawahi rudi kwenye ajira mpaka leo nina 55 years.
Ila kuna wakati naweza spend mda mwingi sana kwenye kazi kama ni eneo ugumu, wakati mwingine nachat huku napiga kazi.
๐๐๐๐ ๐ wale wale kina nani sijui Smart bila kumsahauMambo yao waachie wenyewe
๐๐๐ ๐ hatimaye yametia nilitaka ukomenti.Sio kila mtu lazima afanye kazi ๐
Sio kwa ubaya lakn ni maoni tu ๐ป
Watumishi wanakula pisi za jf kiulani maana member wote wanawajua ๐ ๐ ๐Nafikiri wengine ni watumishi jf ๐๐maana ukirejea kuna post za miaka minne nyuma mtu ana"react karibu zote mpaka leo na hata kesho ๐ณ๐ณ๐ณ
Kwani shureni urisomea ujinga ๐ ๐ ๐Unampelekea ugali kwake?