Hivi raraa reree hizi likes unazogawaga uzi mzima unatumia BOT au nini?

Mkuu watadai ni mimi nimejipakulia minyama😁😁 , ila apo umenipa sifa nisizo stahili , umenivisha kilemba cha okoka.
Katika watu ambao sio wa hovyo huku ww ni miongoni mwao..

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Sema tu kuna mda kama unajichanganyaga hivi unataka kuwa wa hovyo ila naona bado maombi yanafanya kazi
 
Katika watu ambao sio wa hovyo huku ww ni miongoni mwao..

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Sema tu kuna mda kama unajichanganyaga hivi unataka kuwa wa hovyo ila naona bado maombi yanafanya kazi
Mkuu unajua unapo sema hivyo unakua umeshanifanya mtumwa automatically 😁😁 maana yake nitakua najifanyisha kutokuwa wa ovyo kumbe ni wa ovyo😁😁.
 
Nyie mnasema jamaa rararereee et hanaga comment..

Nendeni kwa ule uzi wa dada poa wamekamatwa...
Uwone watu wanavomtukana yule mkuu wa wilaya... Miongoni mwao ni hii jamaa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…