Hivi raraa reree hizi likes unazogawaga uzi mzima unatumia BOT au nini?

Hivi raraa reree hizi likes unazogawaga uzi mzima unatumia BOT au nini?

Katika watu ambao sio wa hovyo huku ww ni miongoni mwao..

😂😂😂😂 Sema tu kuna mda kama unajichanganyaga hivi unataka kuwa wa hovyo ila naona bado maombi yanafanya kazi
Mkuu unajua unapo sema hivyo unakua umeshanifanya mtumwa automatically 😁😁 maana yake nitakua najifanyisha kutokuwa wa ovyo kumbe ni wa ovyo😁😁.
 
Nyie mnasema jamaa rararereee et hanaga comment..

Nendeni kwa ule uzi wa dada poa wamekamatwa...
Uwone watu wanavomtukana yule mkuu wa wilaya... Miongoni mwao ni hii jamaa 😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌
 
Back
Top Bottom