raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Hao mabikra 150 nawataka nikiwa hapa hapa duniani nimalizane nao inamankusweke 😄Aishi miaka 150,ufalme wa milele apate bikira atakao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao mabikra 150 nawataka nikiwa hapa hapa duniani nimalizane nao inamankusweke 😄Aishi miaka 150,ufalme wa milele apate bikira atakao
😁😁😁 tulia mangi umeshazeekaAisee hii JF ya Gen Z hakuna kitu!
Weekend,legeza akili,ukikaza siku zote 24/7 utadata Kama kidataAisee hii JF ya Gen Z hakuna kitu!
Njoo kimanzichana baada ya wiki,watakua wametimia,Kuna sita wa kuanziaHao mabikra 150 nawataka nikiwa hapa hapa duniani nimalizane nao inamankusweke 😄
Mangi kakaza ubongo😁😁Weekend,legeza akili,ukikaza siku zote 24/7 utadata Kama kidata
kuna watu wawili hua wanaitana kwenye comentWakuu,ni muda Sasa nimekua nikipata likes za bwana raraa reree,Kuna faraja Fulani kupata like,kwamba umeandika kitu chenye maana,lakini raraa reree hu-like comment yoyote hata ya hovyo,na zaidi hu-like comment zote kwenye nyuzi zote,hili ni gumu kwa kawaida
Isije kuwa raraa reree ni mtu Fulani wa kitengo mwenye software inayomsaidia kupata taarifa zetu kwa ku-like kila comment kwenye kila Uzi,maana huko nyuma palikua na madai kwamba mtu akikutumia msg private kule,ukijibu basi ana uwezo wa kukufahamu wewe ni nani
Mwisho,sijawahi ona comment yake huyu bwana
Wewe upo wapi Mkuu? Usione km nimenena kwa lughaLugha ya wapi hii
Anakua siriazi Kama bismini kule posta, dailyMangi kakaza ubongo😁😁
Mambo ndio hayo sasa mimi huko peponi ni kupumzika tuuNjoo kimanzichana baada ya wiki,watakua wametimia,Kuna sita wa kuanzia
Wewe jinga sana bwana gaza the Islamic state😁😁😁😁😁Anakua siriazi Kama bismini kule posta, daily
Mahondaw siku hizi simuoni Sana,Kuna kombinesheni ya mtuhumiwa wa Uzi huu na min-me,balaa hiyo
Ukinywa smart gin mpaka masikio ya sungura yalaleMambo ndio hayo sasa mimi huko peponi ni kupumzika tuu
@raraa reree kuna maombi maalum kwa ajili yako hapa.Aishi miaka 150,ufalme wa milele apate bikira atakao
Kwa nini yesu anakuja?😁😁😁si ukute sio mtu, ni jini, wewe muda wa kusoma comment zoote unapata wapi, haun akazi? humu ndani kuna mashetani pia manake kuna wengien wakicomment unaona huyu ni jini kabisa, sio binadamu.
Aaaaaaaah hiyo kitu hapana aiseeeUkinywa smart gin mpaka masikio ya sungura yalale
Ni mutu na mupenziwe hao. Wanapendana kama Njiwa.
Peponi maini hayaungui,hakuna dokta kule,acha wogaAaaaaaaah hiyo kitu hapana aiseee
Mbona sisi ndo tunaendaKwa nini yesu anakuja?😁😁😁