min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
ππππ si jumapili mbona hauendi kanisani?Basi nikimkuta kijana maji ya kunde
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππππ si jumapili mbona hauendi kanisani?Basi nikimkuta kijana maji ya kunde
Tokea mwaka uanze sijaenda kanisaniππππ si jumapili mbona hauendi kanisani?
Duh kwa nini sasa?Tokea mwaka uanze sijaenda kanisani
Hapana nasaligi nyumbani baby wangu πJana hujaenda kwa mwamposa love??
Sadaka yako unakula mwenyewe sio? Me I had a rough day moyo wangu unaumwa Niko hospHapana nasaligi nyumbani baby wangu π
Ooooow sorry dogo homa ipo juu mwambie dady anampa pole πSadaka yako unakula mwenyewe sio? Me I had a rough day moyo wangu unaumwa Niko hosp
Eheeee dady kama dady sio.babake muhindi amenikimbia.ata nikipata Baba mwingine anaonekana WA mchongoOoooow sorry dogo homa ipo juu mwambie dady anampa pole π
Ebhanaeeeeeee π₯Eheeee dady kama dady sio.babake muhindi amenikimbia.ata nikipata Baba mwingine anaonekana WA mchongo
Nimetania bwana .tuna a loving dady bonge la Baba yaaaniEbhanaeeeeeee π₯
AahaaaUyo ni bideni a.k.a robot la jf
Mwambieni kuwa wengine huko alikoamkia Yeye leo Sisi akina GENTAMYCINE tulishalala Siku nyingi sana na tunamchora tu.raraa reree Ni tiss mchovu anataka awajue watu kiundani zaidi.
Akija pm usimjibu.
Mimi ni mnyonge tuu wa kawaida wala sipo hukoraraa reree Ni tiss mchovu anataka awajue watu kiundani zaidi.
Akija pm usimjibu.
Huyu jamaa bado kidogo nimpe block πππ.Kuwa off wiki ambazo walevi wenzio ndo wamebananika kazini shida sana.
Ngoja nipoteze muda kuongelea hili swala la raraa reree
Huyu ndugu yetu ana kiwanda cha likes, hebu nipe siri na mm niwe natoa likes hvo, au jamaa ni BOT?
πNa hii ata likeHuyu jamaa sio binadamu ni somesort of machine inayolike kila kitu humu jf iwe usiku asubuhibau machana kiufupi raraa reree ni roboti kama yunus.