Sawa.The Best Of All Time uwe unatumia vi emoji mtoto alegeze😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa.The Best Of All Time uwe unatumia vi emoji mtoto alegeze😂
Aisee 😥😥Hapo juu mshamba_hachekwi huyu hua ananisagia kunguni always so ya nini mie
Nmeachia (kama Steve nyerere)
Sawa my. Usiogope, Niko serious kwa wanaonichokoza.Sema yuko serious sana...mwambie naogopa😊🙈
Bora umenisaidia mdogo wangu...hua nahisigi huenda ni robot labda 😌😌, ila mimi akili zangu 🤦♀️🤦♀️The Best Of All Time uwe unatumia vi emoji mtoto alegeze😂
Bora leo umeniita my😊🤗Sawa my. Usiogope, Niko serious kwa wanaonichokoza.
Nini kinakufanya unihisi kama Roboti?Bora umenisaidia mdogo wangu...hua nahisigi huenda ni robot labda 😌😌, ila mimi akili zangu 🤦♀️🤦♀️
Basi tu eti 😊🙈Nini kinakufanya unihisi kama Roboti?
Jibu zuri.Basi tu eti 😊🙈
Nina hisia pia. Siwezi kuwa Roboti sema ni confidence iliopitiliza.Basi tu eti 😊🙈
Haya bhana 😊Jibu zuri.
Basi vizuri kama ni hivyo,, huna baya🤗🤗Nina hisia pia. Siwezi kuwa Roboti sema ni confidence iliopitiliza.
Sema Leo usikeshe. Lala, sawa my.Haya bhana 😊
Mwenyewe nakuelewa kinyama aniii Leejay49nawakubali sana raraa reree na Extrovert 😊🤗
Me mbona sikeshagi 😃😃, yani hapa nipo kuusubiri usingizi uje😄😄Sema Leo usikeshe. Lala, sawa my.
Pamoja sanaThank you 🥰😍,, vizuri tuendelee kusambaza upendo na kwa wengine 😊🤗
Thank you [emoji3059][emoji7],, vizuri tuendelee kusambaza upendo na kwa wengine [emoji4][emoji847]
Au unasubiri neno "Goodnight"?Me mbona sikeshagi 😃😃, yani hapa nipo kuusubiri usingizi uje😄😄