Hivi raraa reree hizi likes unazogawaga uzi mzima unatumia BOT au nini?

Hivi raraa reree hizi likes unazogawaga uzi mzima unatumia BOT au nini?

kua tu mvumilivu boss inachukua mda kujaza folder😂 sema nahisi Bantu Lady ata upload soon huu ukimya si bure😂
Si nimewasahau eti kule🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️ 😂😂😂😂😂😂😂 ngoja nicheck check kama kuna chochote. Sema unapenda mifupa sana dogo.
 
Back
Top Bottom