Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Hapa umekuja na ID yako nyingine kuji promote ujuliakane.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa umekuja na ID yako nyingine kuji promote ujuliakane.
Anajifungulia kwa kutumua IDs zake nyingine.... Ni kutafuta attention.raraa reree ndiye mwanaume anayeongoza kwa kufunguliwa nyuzi
Kajipakulia minyama😂Hapa umekuja na ID yako nyingine kuji promote ujuliakane.
Hana huo muda wa kutafuta attention! Attention zinatafutwa na hao wanaofungua nyuzi tena hawajiamini na ndio maana wanatumia ids zao nyingine kumfungulia mtu uzi kwa kuogopa mapovu ya wajaAnajifungulia kwa kutumua IDs zake nyingine.... Ni kutafuta attention.
😂😂😂Acha bwana wewkumbe kuna kulimwa tena!! kwaherini...😂
Mnaongoza kwa kulikeKwa nini?
Inaonekana unamfahamu sana... Wewe hapo unatumia ID ipi nyingine?Hana huo muda wa kutafuta attention! Attention zinatafutwa na hao wanaofungua nyuzi tena hawajiamini na ndio maana wanatumia ids zao nyingine kumfungulia mtu uzi kwa kuogopa mapovu ya waja
ushanitisha nyie bakini msubiri kulimwa mimi nauma kona namna hii😂😂😂Acha bwana wew
Zamu yangu lnraraa reree ndiye mwanaume anayeongoza kwa kufunguliwa nyuzi
Hawa madogo wana ujinga sana. Hapo ana IDs nne zote zinajichangia. Anajipakulia tu minyama.Kajipakulia minyama😂
😁Mnaongoza kwa kulike
Mkuu hii ID yako huyu kwa picha ni nani...?raraa reree ni robot. Anyways am joking, raraa reree ni jamaa ambae anajua maisha ni nini? Maisha sio ku complicate. Maisha ni kufurahia.
Nimalizie kwa kuuliza swali, mwenye uzoefu na wanawake wa kimatumbi hasa upande wa kitandani? Wakoje kitandani?
Namfahamu humu jf kama id isiyokua na makuu, mcheshi na sio mtu wa ugomviInaonekana unamfahamu sana... Wewe hapo unatumia ID ipi nyingine?