Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usalama huyo 😊 kuwa makini.Huyu jamaa,kila ninachocomment humu jf lazima alike.na mbaya zaidi sijawahi kuona amecomment popote wala kuanzisha uzi.
Huyu jamaa ni nani wakuu?
Ana post 8,887 ,Huwa ana post😀😀😀Huyu jamaa,kila ninachocomment humu jf lazima alike.na mbaya zaidi sijawahi kuona amecomment popote wala kuanzisha uzi.
Huyu jamaa ni nani wakuu?
na mimi hapo ndipo ninapomshangaa,Ninachompenda hata ukitoa ushuzi anakupa like.
Cha ajabu ame like na hii comment yako. Na yangu ata like muda si mrefu 😅😅Anajifungulia kwa kutumua IDs zake nyingine.... Ni kutafuta attention.
Duuh mwanangu raraa reree kumbe mtu mkubwa hivi kwenye hiyo NGO hamuuzi hisa nije kununua nina 2B hapa hazina kaziraraa reree anamiliki NGO moja pale masaki, na ni mwalimu wa chuo kikuu MUHAS. Kuna kampun moja ya forwarding na clearence iko mnaz mmoja ya kwake. Na ile dul monte pale toangoma ana hisa nayo.
Raraa reree ni mtu makini sana hata mke wake ananijua
Huyu mwamba yeye hajui kukoment, yy n mwendo wa like tuKuwa off wiki ambazo walevi wenzio ndo wamebananika kazini shida sana.
Ngoja nipoteze muda kuongelea hili swala la raraa reree
Huyu ndugu yetu ana kiwanda cha likes, hebu nipe siri na mm niwe natoa likes hvo, au jamaa ni BOT?
Hizo mkuu nikuelekz pa kuwekeza tupoge hela?Duuh mwanangu raraa reree kumbe mtu mkubwa hivi kwenye hiyo NGO hamuuzi hisa nije kununua nina 2B hapa hazina kazi
Hapa pia anatia like sasa hiviraraa reree au masharti ya mganga mwana,,,,,,.....
Hehe keshapita nayoHapa pia anatia like sasa hivi
Yawezekana kabisa huyo ni mtu wa Internet Surveillances wa wale jamaa wavaa Kaunda suti. Atakuwa anatumia Spyware for Internet Surveillance, and Social Engineering. Spyware Kama PEGASUS (Teknolojia ya mu-Israel ) itakuwa inafahya kazi yake.Huyu mwamba yeye hajui kukoment, yy n mwendo wa like tu
Dah itabidi nijitafakari aiseeNaona anatoa 'like' kwa kila comment atakayosoma.
Ila huwa anareact kwa 😂 ama 🥰 kwa zile ambazo zimemfurahisha na kuzipenda.
Kama hujawahi kupata hizo reaction kutoka kwa raraa reree na Extrovert basi jitafakari.
Anakuja na hiii ana-like 😂🌝Kuwa off wiki ambazo walevi wenzio ndo wamebananika kazini shida sana.
Ngoja nipoteze muda kuongelea hili swala la raraa reree
Huyu ndugu yetu ana kiwanda cha likes, hebu nipe siri na mm niwe natoa likes hvo, au jamaa ni BOT?