The Lastdream
JF-Expert Member
- Jan 23, 2024
- 1,970
- 4,616
sitaki kuamini kwamba mwezi unazidi kuyoyoma na umeahidiwa tuzo, ngoja nianze kuwa farisayo nikakuchongee kwa pilato😂 Mwnyw nakukubali sana mwanawane
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sitaki kuamini kwamba mwezi unazidi kuyoyoma na umeahidiwa tuzo, ngoja nianze kuwa farisayo nikakuchongee kwa pilato😂 Mwnyw nakukubali sana mwanawane
Min-me ni toleo jipya la raraa reree,ni yuleyulemin -me mwamba mwingine huyu apa 😁
We jamaa na hiyo avatar yako!!..😂 Mwnyw nakukubali sana mwanawane
Nyie Jamaa mnaenda sakotubako kabisa akitoka huyu anaingia huyu yaan JF ifikirie namna ya kuwatunuku tunzo ya heshima kiukweliraraa reree sistahili hata kufunga gidamu za viatu vyake huyu ni mwamba sana🙏 .
Yes raraa reree ana chati sana ila siyo mtu mwenye hard feelings. Habishani sana wala hana lugha ya kukeraMboni tunachat nae daily na min -me
Hii "Inama nikusweke" Nilikuwa sijaizingatia mpaka kuna mtu ndo kasoma akanishtua 😂😂😂We jamaa na hiyo avatar yako!!..
Mtuhumiwa ni mhalifu sugu ndugu inamankusweke the gaza man.Tabia zako na mtuhumiwa zinafanana,tofauti yako hu-comment
Dah ila huu mwezi mrefu sana aisee, ety leo ndio kwanza trh 6 mpaka ikifika 31 c ntakuwa nimechoka sana 😂sitaki kuamini kwamba mwezi unazidi kuyoyoma na umeahidiwa tuzo, ngoja nianze kuwa farisayo nikakuchongee kwa pilato
Jamaa Hana hizo kabisa hizo kazi zetu Sisi wazee wa hisia za MoyoniYes raraa reree ana chati sana ila siyo mtu mwenye hard feelings. Habishani sana wala hana lugha ya kukera
Unyama 😂We jamaa na hiyo avatar yako!!..
Acha uchawaJamaa Hana hizo kabisa hizo kazi zetu Sisi wazee wa hisia za Moyoni
Ni jina moja,halitenganishwi,ukitenganisha utaleta ukakasiHii "Inama nikusweke" Nilikuwa sijaizingatia mpaka kuna mtu ndo kasoma akanishtua 😂😂😂
Mimi nakera mkuu😁😁😁Yes raraa reree ana chati sana ila siyo mtu mwenye hard feelings. Habishani sana wala hana lugha ya kukera
Unashangaa avatar ya wenzio, vipi na wewe hilo jina lako? Huoni kuwa ni kero? inamankusweke ?We jamaa na hiyo avatar yako!!..
Na wewe pia ni mwamba huna baya☺️raraa reree sistahili hata kufunga gidamu za viatu vyake huyu ni mwamba sana🙏 .
Not a Gaza man,mi nipo upande wa yeyote atayewanyoosha NATO na USA,wanavuruga Sana duniaMtuhumiwa ni mhalifu sugu ndugu inamankusweke the gaza man.
Jamaa kavaa taiti ya mapovuUnyama 😂