Chachasteven
JF-Expert Member
- Jul 4, 2014
- 1,941
- 2,044
π You took this straight out of my head. Ungechelewa tu, ningejibu hivyo pia.yuko kwake(karantini), hujui kwamba kuna corona unataka azurule bila sababu ya msingi?
Sijajitolea me mfano cos bado ninasoma.Na wewe unaishi wapi mbona una sifu vya baba sifu vyako mkuu kuwa sina gari ila na mjengo mkali sana
Sent using Jamii Forums mobile app
enhee, aje mpigane mkuu, kataa dharau [emoji23][emoji23][emoji23]Kama una hasira njoo tupigane. Tatizo huwa unadhani huyo diamond atakutafuta kwa kuwa shabiki wake. Hujiulizi kwnn umenikasirikia kisa nimemtaja diamond hapo. Akitajwa alikiba ama babu seya sawa tu (huitwa mtoa maoni) akitajwa huyo diamond unahisi ni haters ndio wanamkosesha.
Sibishani na kula kulala. Ukikua utajua. Nyumba nimejenga na imenigharimu zaidi ya milioni 300 sasa hapo hivyo vi mark X vyako si ningefungua yard kabisammmmh weeeee
Mbona unadanganya mbele ya watu wengi hvyooo
bati ya alafu million 25 vyumba vinne
Nimeongelea yale yenye chenga chenga kama kigae sio hizi za migongo mipanga wanazojengea wasio na helammmmh weeeee
Mbona unadanganya mbele ya watu wengi hvyooo
bati ya alafu million 25
Kama unaweza kumiliki mark x unashindwa vipi kuwa na mjengo mkali hapa town
Sibishani na kula kulala. Ukikua utajua. Nyumba nimejenga na imenigharimu zaidi ya milioni 300 sasa hapo hivyo vi mark X vyako si ningefungua yard kabisa
Unajua bei ya mark x bwana mdogo??.utaabika bure,fanya research,,nyumba nzuri haiwezi hata kufika kwenye renta kwa hiyo bei ya mark x..Main point point yangu Kama anauwezo wa kununua mark x pia anauwezo wakujenga nyumba nzuri badala ya kununua gari la Bei mbaya nunua hata vits alafu hela zingine amishia kwenye ujenzi wa nyumba.Mzee wangu Hana uwezo hata wa kuwa na mark x lakini anaishi kwenye nyumba nzuri maisha ni kupangilia
Huyo bwana mdogo bado hajamaliza hata chuo,wala usimshangae..anadhani nyumba nzuri inajengwa kwa milioni 15Bado mtoto mark x 15m to 18m.unapata
Gharama ya jengo la chini kabisa ni 45m, low cost housing
Jengo la maana linaanzia 250m
Ushajenga?
πππππ kwa hiyo wewe una nyumba ya mil 300?Sibishani na kula kulala. Ukikua utajua. Nyumba nimejenga na imenigharimu zaidi ya milioni 300 sasa hapo hivyo vi mark X vyako si ningefungua yard kabisa
Unafikiri mimi ni kapuko mwenzako? nina nyumba ya Zaidi ya milioni 300 na pia nina nyumba nyingine za kawaida 2 ambazo sio chini ya milioni 100 kila moja.πππππ kwa hiyo wewe una nyumba ya mil 300?
Kupata vichekesho kama hivi tuma neno FUNZA MPUUZI kwenda na 0000000 π π π π π π π π π π π π π π πUnafikiri mimi ni kapuko mwenzako? nina nyumba ya Zaidi ya milioni 300 na pia nina nyumba nyingine za kawaida 2 ambazo sio chini ya milioni 100 kila moja.
Sikutaka nijieleze yote haya ila nakwambia ili ujue humu kuna watu tofauti wengine tumeanza na Darhotwire ya IPP tukahamia Jambo Forum na sasa tuko JF sio watoto kama unavyofikiri na sio makapuko kama nyie watoto wa juzi
Toka nilivyoona mnaongelea Mark X kama gari nzuri sasa V8 mtasemaje?
Mwalimu wako alipatashida kukufundisha alafu pia uwe unasoma vizuri comment ya mtu kuliko kucomment bila kuelewa sijasema kwamba hela ya mark x unaweza kununua nyumba au kujenga nyumba nilichomaanisha Mimi kwanini ununue Toyota mark x ambayo ni 25m why don't you buy vits alafu hela inayobakiwa ukawekeza kwenye ujenzi wa nyumba?Mtu Kama ununua gari la 25m means unajiweza unanunuaje gari la Bei ya juu wakati hata nyumba huna?This is my pointHuyo bwana mdogo bado hajamaliza hata chuo,wala usimshangae..anadhani nyumba nzuri inajengwa kwa milioni 15
Sent using Jamii Forums mobile app
Wajameni rich mavoko yuko wapi?
Simsomi siku nyingi.