kampelewele
JF-Expert Member
- Oct 13, 2014
- 2,975
- 2,370
Huyo Kaka angu hawezi kukubali niliwe kimasihara....dili lishabuma🤣🤣🤣L
🤣🤣🤣🤣Ngoja nikuulize Kwa dalali flani hivi huwa anajua mambo ya wa NEC Countrywide eti msaidie Many K
Kwani huyo Rita ni bii kizee? Kwa sasaApate mirathi kwani alikua mke?
Huu uzi umekaa kichochezi sana..... hebu mwacheni rita atulie na familia yake
Wanawake sisi mume akiwa na cheo nasi tunaona hiko cheo Cha mume ni chetu simply anampa uroda😂🤣Pole sana, wakati mwingine ukali huwa ni hulka ya mtu binafsi.
Hata kama una cheo/wadhifa Mkubwa lakini haikuondolei kufuata utaratibu.
Kuna kazi moja ilihusisha kukutana na Mzee Pinda wakati fulani, though ilikuwa baada ya kustaafu.
Lakini Mzee wa watu alikuwa peace ✌️ tu wakati anasubiri nimuhudumie.
Na alikuwa anapenda ucheshi kidogo, japo Walinzi wake walikuwa kama hawapendi Mzee aendelee kukaa muda mrefu pale.
BM na Wachaga!!
Faiza foxy upo?Rafiki yangu?Ahsante kwa taarifa, tutaifanyia kazi.
Na wewe fanyia kazi hizo "lita".
Connection jamani🤣🤣🤣Mpe mwenezi makondakta upate shavu fastaa😂
Kwa kuwa ni kutoka kwa wewe Jaji Mfawidhi,hiyo ruling halali na ni binding.WAtoto wa 1990's hawajui Rita ni nani!
Rita ni mama wa Kichaga na Mbunge mkorofi.
Kawa wa CCM na Tajiri fulani wa Dar es salaam.
Alizaa na aliyetajwa na pia ni mtu mtulivu ukiongea naye.
Hajapewa kitu kwenye miradhi ya MAMA ANNA kwakuwa ile hakuwa na ndoa bali ni concubine na INDIA SUCCESSION ACT , haitambui masuria[vimada] kama warithi. Unaweza ukarejea kesi ya In the matter of the Estate of the Late Dr. Servacius Beda Likwelile And in the Matter of Application for the Letters of Administration without Will by Raymond Babu Likwelile And In the Matter of Caveat by Vicky Paschal Kamata (Probate And Administration Cause No. 50 of 2021) [2023] TZHC 21069 (15 September 2023).
In the matter of the Estate of the Late Augustino Lyatonga Mrema And In the Matter of Application for Letters of Administration without Will by Peter Augustino Mrema And In the Matter of Caveat by Doris Agness Augustin Mkandala (Probate And Administration Cause No. 263 of 2022) [2023] TZHC 21960 (20 October 2023)
Huo urafiki tulianza lini?Faiza foxy upo?Rafiki yangu?
Nimekumiss shost
Umeongea sahihi kabisaWanawake sisi mume akiwa na cheo nasi tunaona hiko cheo Cha mume ni chetu simply anampa uroda😂🤣
Ikafikia kumpa bill alipie akachukua,tukampa na gharama ya kukamilisha kazi laki 2,kwakua ni mkubwa boss alinambia punguza,akasema kijana wake ataileta hiyo 200k,kesho yake kijana kaja akaomba akaunti namba,nikachoka🤣🤣nikampa kishingo upande manake ilitakiwa iletwe cash🤣😂
I'm waiting for reply from her[emoji3][emoji3][emoji119]Faiza foxy upo?Rafiki yangu?
Nimekumiss shost
😂🤣😂🤣Unanikana?Huo urafiki tulianza lini?
Sina rafiki kipepeo mimi. Mambo ya rangi rangi hayo na mimi tofauti, kama ardhi na mbingu. Nituwe.
Ni shideerUmeongea sahihi kabisa
Unakumbuka issue ya Mke wa Marehemu Balozi Augustino Mahiga?
Wanawake hata mkipewa madaraka, huwa mnataka kila mtu akuheshimu kwa Lazima
Wanaume tuko Peace ✌️ sana, Unakumbuka Mzee Nyerere alikuwa baada ya kazi anaenda kucheza Bao na Wazee wa DSM bila kujali yeye ni Rais wa Nchi
Ha haaa haaa,uhuni umeko costHuyo Kaka angu hawezi kukubali niliwe kimasihara....dili lishabuma🤣🤣🤣
BM ana watoto wawili kama sijakosea alizaa na naniBaada ya hapo kwa shinikizo la Mchonga BM na Anna wakarudiana, lakini kiukweli BM hakuwa na upendo tena na Anna.
Viongozi wengi nchi hii wana wachagga, siju kwanini hawachukui akina HadijBM na Wachaga!!
Ashanishushua huko🤣😂I'm waiting for reply from her[emoji3][emoji3][emoji119]
Shule na userious kwenye pesa na malezi ya watoto 🙏Viongozi wengi nchi hii wana wachagga, siju kwanini hawachukui akina Hadij
Kanumba RIP,kwa umri wako wa 25 years ulikula kila pisi nzuri Dar.
Ulimla Lulu akiwa na 13 years