Hivi Rita L alipewa Mirathi baada ya Jemedari kuitwa na Mungu au alichinjiwa baharini?

Hivi Rita L alipewa Mirathi baada ya Jemedari kuitwa na Mungu au alichinjiwa baharini?

Kumbe amezeeka sasa.

Lakini mbona Juzi alitoa thread akitaka Wanaume wamtongoze.

Sasa akitongozwa na Kumkubalia Kijana wa miaka 30 hadi 40 si atamuua Bibi wa Watu?[emoji2957]
Nnni anamtongoza kigagula huyo kachawi kashirikina kadini ngozi kavu nani akatake

Alikuwa anajipa promo tu.

Ila hakuna MTU mwenye time huko PM.

Hata magaidi wenzie hawana habari nae
 
Wakamsahaulisha kujenga kwao Masasi.
Akaona Bora awafuate karibu na kwao akajenga TANGA WAJA LEO WARUDI ....
Masasi walikuwa wanamwita Mchawi. Kumbuka mama yake na dada zake waliuawa kwa kuvamiwa na wanakijiji kwa tuhuma za uchawi kwamba wanazuia mvua isinyeshe. Poa ya Ben ni kwamba alikuwa boarding shule kwa wakatoliki kule Ndanda. Angekuwa home siyo ile na yeye angeuawa na wanakijiji. SASA KATIKA MAZINGIRA HAYO UNEJENGA KWELI NYUMBANI? Ben amejitahidi angalau kujenga hata kale ka nyumba ka mzee wake pale LUPASO. Mimi nisingejenga hata banda la kuku karibu na watu wasiokuwa wakitupenda.
 
Nnni anamtongoza kigagula huyo kachawi kashirikina kadini ngozi kavu nani akatake

Alikuwa anajipa promo tu.

Ila hakuna MTU mwenye time huko PM.

Hata magaidi wenzie hawana habari nae
Hahaha..............inabidi apate mtu wa kumpa Kampani ili kumuondoa na upweke....... ila vyema awe Mzee mwenzie, akijiroga amchukue Kijana atapata tabu sana maana Vijana ni wataalamu wa Vumbi la Kongo 😅😅
 
🤣😂aliambulia mafao yake toka kwa Ben kabla hajafa
Anna hajampa hata thumni
Kwanza anaanzaje kumface Anna?
Ana ni mkali aiseeh alikujaga ofisini enzi hizo Niko junior, boss akanambia kalete jalada lake, sasa si mke wa Rais mstaafu, kwahiyo wakijaga maofisini hao, afisa unageuzwa secretary na masjala ghafla. Sasa nimefika masjala, dada wa masjala ananizingua, nikasubiri kama dk 10, ndo napeleka jalada, alooh aliniwashia Moto, kidogo Nilie, boss akampoza, akamwambia ndo anaanza kazi, katoka chuo juzi msamehe tu🤣
Alikosea Sana Basi wanamheshimu, waliotakiwa kukwambia huu uzembe ulitakiwa kuondolewa na mme wake akiwa madarakani
 
Hahaha..............inabidi apate mtu wa kumpa Kampani ili kumuondoa na upweke....... ila vyema awe Mzee mwenzie, akijiroga amchukue Kijana atapata tabu sana maana Vijana ni wataalamu wa Vumbi la Kongo [emoji28][emoji28]
Wanawake ambao hawana wa kuwakuna Huwa visirani muda wote ulaya wanaitwa "KAREN"

This witch is typical "AFRICAN KAREN"
 
Inaonekana suala la Sisi Wanaume kuridhika na Mwanamke mmoja limekuwa changamoto sana.

Ni vile wengine we keep our Profile low, zikija kuwekwa wazi itakuwa balaa 😅

Hata Mwendazake naye alikuwa mpenzi wa hayo Mambo, ukikutana na ile cycle ya Ikulu huwa wanasema.

Huyo Msoga naye ilikuwa ni vile vile

Wanaume tukakanyage mafuta tu huenda ikasaidia, maana hadi kuna Wazee wa miaka 70+ lakini bado wanahangaika na pussy cat tu 😆
Mimi nina miaka 38 ila majuzi kazaliwa mdogo wangu. Mwanangu wa mwaka 2016 atakuwa anamwita huyu baba mdogo. Imagine baba mdogo kazidiwa miaka 7 na mwanae. Mtoto wa Dada yangu aliyezaliwa mwaka 2002 naye atamwita mjomba. Yaani sisi madingi tunazingua kinyama.
 
Back
Top Bottom