Bora angelimfananisha na marcos AlonsoRoberto carlos ni bora zaid. Carlos alikuwa mzuri katika kushambulua na kukaba pia, alikuwa ni beki mgumu ama tuseme kisiki..
Marcelo ni mzur zaidi katika kushambulia kuliko kukaba, si beki mgumu.
Kwangu carlos ni beki bora zaidi.
Marcelo wake ni kina ashley cole.. hapo ndio pakuwashindanisha.Bora angelimfananisha na marcos Alonso
A cole unamkosea sana ,yupo juu ya huyu jamaaMarcelo wake ni kina ashley cole.. hapo ndio pakuwashindanisha.
Kwangu mimi hata felipe luiz katika ubora wake huwa namuona ni beki mzuri zaid kuliko marcelo.
Naungana na wwUmeshawahi kumsikia beki anaitwa Paulo maldini,huyu ndie beki bora wa kushoto kuwahi kutokea duniani
Ha ha ha haBora angelimfananisha na marcos Alonso
Apigwe risasi tatu za kichwaKwa dharau uliyoionesha kwa Roberto Carlos embu jichagulie adhabu aisee.
Pia alikuwa anacheza mpaka Central deffenderUmeshawahi kumsikia beki anaitwa Paulo maldini,huyu ndie beki bora wa kushoto kuwahi kutokea duniani
Hahaa kumbe alishamgeuza beki Bora wa kushoto, sasa kina marcelo kumbe anawaonea tu [emoji23]Messi vs Carlos
Hapo Messi ana miaka 19 tuHahaa kumbe alishamgeuza beki Bora wa kushoto, sasa kina marcelo kumbe anawaonea tu [emoji23]
Mkuu IFRS achana na Roberto Carlos kabisaaaNaomba wadau nisaidie nani ni beki bora kati ya hawa wachezaji wawili