Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,287
We unadhani kwanini Taiwan haitambuliki kama nchi, tangu 1949?China hawezi vamia taiwan hata iweje
China ilishasema, siku Taiwan ikijitangazia uhuru, china military inaingia Taiwan,,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We unadhani kwanini Taiwan haitambuliki kama nchi, tangu 1949?China hawezi vamia taiwan hata iweje
Ni vile Russia amejidai sana baada kuona kweli akaanza kuchemkaKwenye hili mimi ni "tabular rasa" kabisa lakini nanachoweza kusema ni kuwa wewe utakuwa ni mmojawapo wa watu waliokuwa wanasababisha watoto wa shule ya msingi wanatoana ngeo mashuleni
Wewe unataka wapigane? yaani una hamu wapigane? Kitu ambacha watu wote dunia nzima wanaomba Mungu kisitokee, wewe ndiyo unatamani kitokee?
Huo ni utani Sasa!Hukutotokea vita kuu ya 3 kitakachotokea ni mrussi kufundishwa adabu for once and for all .. itakuwa vita ya ulaya tuu maana wazungu hawana makoloni tena
afighastan hamna mtu aliyewahi ivamua akashinda zaidi ya genghis khan hata russia alivaia afighanstan chamoto alikionaHuo ni utani Sasa!
Russia siyo Afghanistan au Iraq! Hata Marekani na NATO wanajua hilo kuwa Russia ni habari nyingine.
Sasa kama US na NATO wamekimbia Afghanistan,kwa Russia Ndiyo wataweza?
India juzi tu kanyooshwa na mchina,hawana hamu.....Japan hawezi lolote hadi bwana yake amsaidie maana alibakiza vikosi vichache sana baada ya kutandikwa vita ya 2 nae hafagilii vita kama mjerumani......korea ndo kila siku analialia kama mjapan kiduku akiwajambishaChina hawezi pigana vita yoyote![]()
wazungu watamtumia india kumchachafya mchina huku kuna korea na japan zinapinga vurugu za china. China yeye alichofanikiwa kuishika masikio afrika![]()
Vietnam jeafighastan hamna mtu aliyewahi ivamua akashinda zaidi ya genghis khan hata russia alivaia afighanstan chamoto alikiona
Basi kama ni hivyo ikiwa Russia na US walishindwa Afghanistan wana nguvu sawa kijeshi!afighastan hamna mtu aliyewahi ivamua akashinda zaidi ya genghis khan hata russia alivaia afighanstan chamoto alikiona
kama ingekua pesa ndio vita SAUDIA wangekua washawachapa wahouth zamani sana ila mwaka wasaba huu kama sijakoseaSasa russia iingie vitani ina pesa vita ni pesa sio bunduki
Russia ilikuwa kwa siku mbili haijaingiza jeshi lake kubwa yaani mainforce...waliingiza ndani ya Ukraine special forces tu..hiyo ni strategy kamambe...ila walikuwa wanapiga kwa kutumia makombora ya mbali...Jana au Leo ndiyo main force inaingia Kiev na miji mingine yote...hapo shughuli ndipo itaishaNimeona nije na hili wadau wenzangu, dunia inaelewa malengo na mahitaji ya Russia kwa nchi ya Ukraine yapo wazi sana swali ni kwanini amebaki mpakani???
Sasa takriban mwezi., NATO wamekuwa wa wazi sana na hawapepesi kauli zao ni kwamba wanasubiri Russia waivamie Ukraine ndio na wao lile lengo lao litatimia kwa nilivyofahamu mimi.
Lakini kuna maswali najiuliza hasa kwa Russia., Ivi baada ya Marekani na NATO kuwahi kuingia Ukraine ki-ulinzi na kuwa tayari kujibu mara Urusi ikivamia Ukraine Na hata jana Biden amesema watajibu thabiti kama Russia akijaribu kuvamia tu- Ivi Russia ndio imekuwa na hofu kubwa kukamilisha adhma yake?
Tuseme ni sahihi kusema Russia analiogopa Jeshi la NATO lakini na Marekani licha ya majivuno mbali mbali ya Putini? mara nyingi nikiangalia Televisheni CNN naona bado Russia wanailalamikia Marekani kutokuwa tayari kwa mazungumzo,
Na Kremlin mara kadhaa namsikia akisema hawana nia ya kuvamia Ukraine ivi ni kwanini hasa kauli hizi? Kuna nini nyuma ya Pazia la Russia?
Kama hawana nia ya kuvamia wao wanafanya nini mpakani mwa Ukraine? au Tuseme wanalinda mpaka wao tu.
Earlier Russia walisema ni vita vita vita tu lakini kwa nini wamebaki mpakani wansubiri nini?
Nafkiri wadau hemu tujikiteni hapa kidogo tupate dondoo zenu katika hili
Ukraine wametosa sigh za mitaa Unaambiwa wana jeshi wanawauliza ukraine njia Hii ya wapi .Nimeona nije na hili wadau wenzangu, dunia inaelewa malengo na mahitaji ya Russia kwa nchi ya Ukraine yapo wazi sana swali ni kwanini amebaki mpakani???
Sasa takriban mwezi., NATO wamekuwa wa wazi sana na hawapepesi kauli zao ni kwamba wanasubiri Russia waivamie Ukraine ndio na wao lile lengo lao litatimia kwa nilivyofahamu mimi.
Lakini kuna maswali najiuliza hasa kwa Russia., Ivi baada ya Marekani na NATO kuwahi kuingia Ukraine ki-ulinzi na kuwa tayari kujibu mara Urusi ikivamia Ukraine Na hata jana Biden amesema watajibu thabiti kama Russia akijaribu kuvamia tu- Ivi Russia ndio imekuwa na hofu kubwa kukamilisha adhma yake?
Tuseme ni sahihi kusema Russia analiogopa Jeshi la NATO lakini na Marekani licha ya majivuno mbali mbali ya Putini? mara nyingi nikiangalia Televisheni CNN naona bado Russia wanailalamikia Marekani kutokuwa tayari kwa mazungumzo,
Na Kremlin mara kadhaa namsikia akisema hawana nia ya kuvamia Ukraine ivi ni kwanini hasa kauli hizi? Kuna nini nyuma ya Pazia la Russia?
Kama hawana nia ya kuvamia wao wanafanya nini mpakani mwa Ukraine? au Tuseme wanalinda mpaka wao tu.
Earlier Russia walisema ni vita vita vita tu lakini kwa nini wamebaki mpakani wansubiri nini?
Nafkiri wadau hemu tujikiteni hapa kidogo tupate dondoo zenu katika hili
Kwema kamandaHamna vita hapo ni maneno tu