Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,287
Gesi Russia atauza yote china , juzi wamesign ku supply gesi kwenda china kwa miaka 30Alitakiwa kujitathmini kabla, Gesi yake atamuuzia nani?
Marekani sio ya kuishtukizia kwenye mapambano, marekani alijaribu na kufanikiwa kwa kiwango kikubwa kuitawala dunia kiuchumi muda mrefu sana