Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
aungwe sasa ndio ujue kama upuuzi ama sio upuuzi[emoji16][emoji16][emoji16]Yap sio kosa.kosa ni kutoa demqnd za kipuuzi kama hizi kwa nchi huru kama hizi[emoji116]View attachment 2110342
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aungwe sasa ndio ujue kama upuuzi ama sio upuuzi[emoji16][emoji16][emoji16]Yap sio kosa.kosa ni kutoa demqnd za kipuuzi kama hizi kwa nchi huru kama hizi[emoji116]View attachment 2110342
yamekataliwa wakati UKRAINE sio mwana NATO au yamekataliwaje[emoji1][emoji1][emoji1]Mkuu mbona mbona hayo madai yasha kataliwa na N.A.T.O russia analembua tu mpakan.
suala lakusema kwamba GERMAN wategemee tena kufungua nyuklia sio rahisi kama unavyodhaniaHuenda ulidanganywa Sana na Akili zako zikadanganyika kweli. Kwahiyo unataka kusema Kwamba Japo Urusi ina Gasi Nyingi mbona haifungi Vinu vyake vya Nyuklia zaidi ya 60 vya kufua umeme? Kwani Uchina haijawahi hata kufunga kinu kimoja Cha Nyuklia Wala Makaa ya Mawe?
Kinachozigharimu nchi za Ulaya na hata Marekani ni Upuuzi unaoitwa Demokrasia. Yaani wameharibikiwa Mambo wengi mpaka wanakuja kupitwa na Urusi na China.
1.Kitendo Cha Trump kushindwa kwenye Uchaguzi wa Marekani mwaka 2020 na Kuingia JOE BIDEN kiliifanya Marekani ionekane kituko mbele ya Walimwengu kwamba imeshindwa Vita Afghanistan baada ya Biden kutoa Oda waondoke haraka Sana. Hili lilitafusiliwa kwamba Marekani imeshindwa na Taaliban. Upuuzi huu asingeufanya Trump.
Bashal Al Asad ni Rais wa Syria. au unasemaje?Asad rais wa wapi hadi sasa?
Ingekuwa rahisi hivyo, NATO wangekuwa wameshampoteza Putin kwenye ramani.Iyo Energy anayo mrusi dunia nzima?kama akizidi kuzingu ni Faida kina Saudia.iraqa. sababu ya kutumia ni urahisi na gharama tu mkuu.Bado Urusi ana vingi vya kupoteza.
Uko sahihi kabisa Mkuu!suala lakusema kwamba GERMAN wategemee tena kufungua nyuklia sio rahisi kama unavyodhania
nandio maana german wakabariki mradi wa nord stream two nabado wanaupambania huo mradi licha ya ghilba za US na UK
unachukulia suala lamazingira kikawaida sana nandio maana unaona German anaweza akafanya hvyo kirahisi kama unavyosem wewe ila nirahisi zaidi german kubakia na gesi ya RUSSIA kuliko kufungua hayo maviwanda MKUU nandio maana kama utakua umeufatilia sana huu mgogoro GERMAN kama hayupo saana na anapendelea sana mazungumzo kuliko vita maana anjua yeye atakua muhanga mkubwa zaidi kuliko wengine
hitimisho RUSSIA atauza gesi GERMAN na EU nzima cjui UK maaana ndio njia rahisi nasalama nanafuu kuliko nyengine hao US QATAR wasahu kupeleka gesi GERAM tena wasahu hasa kwakupitia baharini zitaripuliwa meli kama anavyozifanya IRAN
kuhusiana na DT na TALEBAN na BIDEN kwani alosema maji yaondoka AFGHANISTAN nani kama sio DT nadhani BIDEN kaja kutekeleza tu
View attachment 2110765
Basi upande fulani mission accomplished upande mwingine mission imefeliBashal Al Asad ni Rais wa Syria. au unasemaje?
Kwenye hili mimi ni "tabular rasa" kabisa lakini nanachoweza kusema ni kuwa wewe utakuwa ni mmojawapo wa watu waliokuwa wanasababisha watoto wa shule ya msingi wanatoana ngeo mashuleniNimeona nije na hili wadau wenzangu, dunia inaelewa malengo na mahitaji ya Russia kwa nchi ya Ukraine yapo wazi sana swali ni kwanini amebaki mpakani??? sasa takriban mwezi., NATO wamekuwa wa wazi sana na hawapepesi kauli zao ni kwamba wanasubiri Russia waivamie Ukraine ndio na wao lile lengo lao litatimia kwa nilivyofahamu mimi.
Lakini kuna maswali najiuliza hasa kwa Russia., Ivi baada ya Marekani na NATO kuwahi kuingia Ukraine ki-ulinzi na kuwa tayari kujibu mara Urusi ikivamia Ukraine Na hata jana Biden amesema watajibu thabiti kama Russia akijaribu kuvamia tu- Ivi Russia ndio imekuwa na hofu kubwa kukamilisha adhma yake?
Tuseme ni sahihi kusema Russia analiogopa Jeshi la NATO lakini na Marekani licha ya majivuno mbali mbali ya Putini? mara nyingi nikiangalia Televisheni CNN naona bado Russia wanailalamikia Marekani kutokuwa tayari kwa mazungumzo, Na Kremlin mara kadhaa namsikia akisema hawana nia ya kuvamia Ukraine ivi ni kwanini hasa kauli hizi? Kuna nini nyuma ya Pazia la Russia? Kama hawana nia ya kuvamia wao wanafanya nini mpakani mwa Ukraine? au Tuseme wanalinda mpaka wao tu.
Earlier Russia walisema ni vita vita vita tu lakini kwa nini wamebaki mpakani wansubiri nini?
Nafkiri wadau hemu tujikiteni hapa kidogo tupate dondoo zenu katika hili
Sasa russia iingie vitani ina pesa vita ni pesa sio bundukiSubiri Ukrane itangaze rasmi kujiunga na NATO ndio utaona maamuzi ya Urusi...Urusi sio nchi ya propaganda na kubweka kama nchi za magharibi...
Urusi kaweka majeshi yake mpakani ndani ya Ardhi yake Marekani na vibaraka wake NATO wanalalama hatari...
Russia hawezi ingia hiyo vita hana uchumi unaanza vita raia wanakupindua kwa ugumu wa maisha .. raia hawana uzalendo wakiwa hawana chakula na kama hawajavamiwaMbona kama Russia yuko ndani ya Ukraine akivisaidia vikosi vya waasi katika majimbo ya Donbas na Luhansik tangu 2014?
Kwa sasa anatafakari majibu ya US na NATO kwa maombi yake ya kutaka Ukrane isijiunge na NATO na kuhakikishiwa usalama wake! US na NATO wameyakataa maombi yake! Hapo ndipo dunia inasubiri Putin atafanyaje.
Palingi mtu beeRussia alikuwa anabip watu wamempigia na wamekataa mapendekezo ya Russia... Russia kabaki ana tilitili Tu oooh Mimi sijui NATO watu wazima wamemwambie kama vip vip tubwage Tu[emoji16][emoji16]
China hawezi pigana vita yoyote[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wazungu watamtumia india kumchachafya mchina huku kuna korea na japan zinapinga vurugu za china. China yeye alichofanikiwa kuishika masikio afrikaKasema anaheshimu olimpiki kwanza,,,[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]anampa msela wake china airtime kwanza wakimaliza mashindano yao na wao wanachukua airtime
Nani amekudanganya hivi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mbwembwe Tu, ENERGY, NISHATI Europe wanamtegemea Sana Mrusi,
Jamaa mrusi ana leverage kubwa!
Hakuna Vita! Kuna mieleka Tu ya kina John Cena na the Rock!
Mijitu mikubwa inapigana na huoni damu
Vita cha kwanza pesa bila pesa hiyo vita unapoteza tena kama umevamia nchi ya watu. Raia waliovamiwa wataacha tofauti zao kuungana na kukupiga tuuhiyo ukraine unayoiongelea usifikiri ni mtoto mdogo, hata kama russia ni super power lakini naye hawezi kufa kwa kipigo cha siku moja, atasumbua sana, pia NATO wana pua yao pale. ila kati ya mataifa maoga na ambayo sio ya kutegemea, la kwanza duniani ni urusi. urusi alijifanya yupo upande wa Gadafi, mwisho wa siku akakaa pembeni anaangalia tu akila za uso. urusi akajifanya yupo upande wa Asad akapeleka hadi silaha kule, mwisho wa siku Damascus imebaki magofu tu na watu wamekimbia nchi, russia hajafanya chochote. ujinga mtupu. angekuwa marekani akisema anatia mguu jua kuwa tayari ameshafika chumbani.
Hukutotokea vita kuu ya 3 kitakachotokea ni mrussi kufundishwa adabu for once and for all .. itakuwa vita ya ulaya tuu maana wazungu hawana makoloni tenaUKRAINE kama akijiunga na NATO halaf RUSSIA asimpe kichapo naachana na kutumia JF inyeshe mvua liwake jua UKRAINE haruhusiwi kujiunga na NATO itaibuka hata vita yatatu ya dunia ila UKRAINE hataruhusiwa kujiunga na NATO hata kwa sekunde
China hawezi vamia taiwan hata iwejeWe ndo huelewi , Russia walianza ku mobilise troops baada ya marekani kuanza kuleta askari jeshi ukraine kama washauri wa kijeshi, lengo ikiwa ni kutest kina cha maji kabla NATO haijawakubali Ukraine iwe member wa NATO,
Russia wakatoa onyo kuwa haitakubali Ukraine iwe NATO maana inahatarisha usalama wa Russia
US wakasema ukraine ni nchi huru hivyo ina haki kujiunga NATO.
Russia wakasema haiwezekani siku ikijiunga NATO ndo siku ukraine itaacha kuwa nchi, kwa maana ya kuwa Russia wataingia ukraine.
Hii kidogo ifanane na ishu ya Taiwan na china,,, china imeshaweka wazi siku Taiwan, ikijitangazia uhuru na kujiunga na Umoja wa mataifa,, china wataingia Taiwan, ndo maana hadi leo, Taiwani haitambuliwi na umoja wa mataifa kama nchi,
Ili kuepusha vita,,, so as long as Putin yuko hai ukraine haitaungwa NATO
Siku ikiungwa tu [emoji23],anza kuchimba handaki la nuclear
Ulaya hawatumii gas kupika[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] na kama gas itatoka algeriaWatapata, maana US kishaongea na Qatar ili i supply gesi ulaya. Lakini itakua expensive,, maana hayo yataenda kwa meli na sio kwa pipeline,,, bei ya vitu itashoot na inaweza kupelekea revolution ulaya kote,
Pia Russia wanaweza kuzihujumu meli zinazopeleka gesi ulaya,,
Wazungu hawajazoea kupikia mkaa au kuni
Labda hukusikia mwaka jana ilizuka vita kati ya china na india. ,waliweka silaha pembeni zikapigwa ngumi si mchezo ,, siku tatu ngumi zinapigwa na wahindi walikufa kama utitiri,,,,China hawezi pigana vita yoyote[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wazungu watamtumia india kumchachafya mchina huku kuna korea na japan zinapinga vurugu za china. China yeye alichofanikiwa kuishika masikio afrika
Algeria ni Russian friend,, vilevile Russia navy iko Mediterranean for reasonsUlaya hawatumii gas kupika[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] na kama gas itatoka algeria