Hivi Russia anasubiri nini kuivamia Ukraine, Kwanini amebaki mpakani tu?

Hivi Russia anasubiri nini kuivamia Ukraine, Kwanini amebaki mpakani tu?

Ni swala la muda tu takwa la Russia kwenye mazungumzo yao na USA ni katazo la Ukraine isijiunge NATO USA amekataa takwa Hilo na Russia ameambiwa wazi hivyo vitu haviwezekani Ukraine kuzuiwa kujiunga NATO.... Russia Hana jipya this time atajua kuwa hajui....hifadhi maneno yangu
Hao usa na nato hawana cha kumfanya zaid ya mikwara tu
 
Nimeona nije na hili wadau wenzangu, dunia inaelewa malengo na mahitaji ya Russia kwa nchi ya Ukraine yapo wazi sana swali ni kwanini amebaki mpakani??? sasa takriban mwezi., NATO wamekuwa wa wazi sana na hawapepesi kauli zao ni kwamba wanasubiri Russia waivamie Ukraine ndio na wao lile lengo lao litatimia kwa nilivyofahamu mimi.

Lakini kuna maswali najiuliza hasa kwa Russia., Ivi baada ya Marekani na NATO kuwahi kuingia Ukraine ki-ulinzi na kuwa tayari kujibu mara Urusi ikivamia Ukraine Na hata jana Biden amesema watajibu thabiti kama Russia akijaribu kuvamia tu- Ivi Russia ndio imekuwa na hofu kubwa kukamilisha adhma yake?

Tuseme ni sahihi kusema Russia analiogopa Jeshi la NATO lakini na Marekani licha ya majivuno mbali mbali ya Putini? mara nyingi nikiangalia Televisheni CNN naona bado Russia wanailalamikia Marekani kutokuwa tayari kwa mazungumzo, Na Kremlin mara kadhaa namsikia akisema hawana nia ya kuvamia Ukraine ivi ni kwanini hasa kauli hizi? Kuna nini nyuma ya Pazia la Russia? Kama hawana nia ya kuvamia wao wanafanya nini mpakani mwa Ukraine? au Tuseme wanalinda mpaka wao tu.

Earlier Russia walisema ni vita vita vita tu lakini kwa nini wamebaki mpakani wansubiri nini?

Nafkiri wadau hemu tujikiteni hapa kidogo tupate dondoo zenu katika hili
hiyo ukraine unayoiongelea usifikiri ni mtoto mdogo, hata kama russia ni super power lakini naye hawezi kufa kwa kipigo cha siku moja, atasumbua sana, pia NATO wana pua yao pale. ila kati ya mataifa maoga na ambayo sio ya kutegemea, la kwanza duniani ni urusi. urusi alijifanya yupo upande wa Gadafi, mwisho wa siku akakaa pembeni anaangalia tu akila za uso. urusi akajifanya yupo upande wa Asad akapeleka hadi silaha kule, mwisho wa siku Damascus imebaki magofu tu na watu wamekimbia nchi, russia hajafanya chochote. ujinga mtupu. angekuwa marekani akisema anatia mguu jua kuwa tayari ameshafika chumbani.
 
Ni swala la muda tu takwa la Russia kwenye mazungumzo yao na USA ni katazo la Ukraine isijiunge NATO USA amekataa takwa Hilo na Russia ameambiwa wazi hivyo vitu haviwezekani Ukraine kuzuiwa kujiunga NATO.... Russia Hana jipya this time atajua kuwa hajui....hifadhi maneno yangu
miaka 20 tangu aombe uwanachana lakini nato wanaiyogopa urusi mbona poland na hangury walipewa uwanachama chap chap dogo putin ni next level waulize georgia
 
Ni swala la muda tu takwa la Russia kwenye mazungumzo yao na USA ni katazo la Ukraine isijiunge NATO USA amekataa takwa Hilo na Russia ameambiwa wazi hivyo vitu haviwezekani Ukraine kuzuiwa kujiunga NATO.... Russia Hana jipya this time atajua kuwa hajui....hifadhi maneno yangu
UKRAINE kama akijiunga na NATO halaf RUSSIA asimpe kichapo naachana na kutumia JF inyeshe mvua liwake jua UKRAINE haruhusiwi kujiunga na NATO itaibuka hata vita yatatu ya dunia ila UKRAINE hataruhusiwa kujiunga na NATO hata kwa sekunde
 
Tusishabikie vita wakuu,
Vita isikie kwa mwenzako.

Kikiumana,
nyie nmmnaoshabikia Vita ndo mtakua wa kulaumu na kulaani kwa waliochochea Vita ile.

TULIKUEPO ENZI ZA VITA YA IDD AMIN,

Msoto tulopitia kabla,wakati na baada ya ile Vita hauelezeki kabisa.

Hizi sio Mambo za kushabikia kabisa[emoji3525]
 
Kwan aliyeweka jeshi mpakani mwa mwenzie ni nan? Sipo upande wa mabeberu ila Russia anazingua sana kweny Inshu za Ukraine , usalama hauwekwi vile ajifunz kwa wenzie akina Iran , USA , China na Israel , kupeleka jeshi kweny mpaka wa mwenzio huo ni ukorofi , yaan Ukraine aogope kujifanyia maamuzi ya kitaifa kisa usalama wa Russia , si ubinafsi huo ? kwan Ukraine haiko huru ? Kiufupi madai ya Russia ni ya kipuuz sana
Kiduku yeye anakwambia wee peleka jeshi lako mpakani,
Mi ntapiga bomu Moja tu kutoka nilipo watageuka majivu.

Ukiwa na teknolojia Raha sana.[emoji4]
 
Nimeona nije na hili wadau wenzangu, dunia inaelewa malengo na mahitaji ya Russia kwa nchi ya Ukraine yapo wazi sana swali ni kwanini amebaki mpakani??? sasa takriban mwezi., NATO wamekuwa wa wazi sana na hawapepesi kauli zao ni kwamba wanasubiri Russia waivamie Ukraine ndio na wao lile lengo lao litatimia kwa nilivyofahamu mimi.

Lakini kuna maswali najiuliza hasa kwa Russia., Ivi baada ya Marekani na NATO kuwahi kuingia Ukraine ki-ulinzi na kuwa tayari kujibu mara Urusi ikivamia Ukraine Na hata jana Biden amesema watajibu thabiti kama Russia akijaribu kuvamia tu- Ivi Russia ndio imekuwa na hofu kubwa kukamilisha adhma yake?

Tuseme ni sahihi kusema Russia analiogopa Jeshi la NATO lakini na Marekani licha ya majivuno mbali mbali ya Putini? mara nyingi nikiangalia Televisheni CNN naona bado Russia wanailalamikia Marekani kutokuwa tayari kwa mazungumzo, Na Kremlin mara kadhaa namsikia akisema hawana nia ya kuvamia Ukraine ivi ni kwanini hasa kauli hizi? Kuna nini nyuma ya Pazia la Russia? Kama hawana nia ya kuvamia wao wanafanya nini mpakani mwa Ukraine? au Tuseme wanalinda mpaka wao tu.

Earlier Russia walisema ni vita vita vita tu lakini kwa nini wamebaki mpakani wansubiri nini?

Nafkiri wadau hemu tujikiteni hapa kidogo tupate dondoo zenu katika hili
Unapenda sana watu wavamiwe wauawe? Wewe ukivamiwa utafurahi?
 
Kama Mrusi aliweza kumzima Hitler hakika katika hii dunia hakuna wa kumtisha, kuhusu uchumi kuna watu huwa wanaishusha sana Urusi lakini wanajifanya kwamba hawajui kuwa Urusi Ipo vizuri katika supply ya product mbalimbali dunian na yupo kwenye rank za juu kabisa Lakini kubwa kuliko yote nikwamba KUHUSU VITA RUSSIA wapo vizur na wanafaham kuwa NATO iliundwa kwa ajili ya kupambana ba NATO hivyo matayrisho yake ni ya level ya kupambana na dunia.

Kuhusu mzigo wa silaha alizonazo PUTIN magharibi wanafahamu vyema kuwa pale kuna kisiki cha mpingo
Russia ilishakua zilipendwa kwenye anga za kivita.

Ujamaa kitu kibaya Sana, anaishi Kama Yuko kisiwani[emoji4]
 
Tukuondoa ubishi tunatakiwa kujua kwamba vita ni uchumi namanisha kwamba mwenye uchumi mkubwa ndiyo Huwa anashunda vita .Sasa angalieni kati ya NATO na Russia nani mwenye uchumi mkubwa.Vita inahitaji hela kuighalamia na inaweza chukua hata miaka 10 kuisha Sasa hapo kama una uchumi legevu lazima utashindwa tu.USA ndiyo super power wa DUNIA na pia Kumbukeni kapona na nchi mbili kwa wakati mmoja kwa zaidi ya miaka 20 lakini Bado yupo vizuri kiuchumi,Iraq na Afghanistan wamepigwa na USA kwa pamoja lakini Bado jamaa wako vizuri kiuchumi.
Kwa huu Mgogoro uliopo utaisha kwa mazungumzo tu Wala hakuna vita hapo maana wanaogopa hasara za vita.
 
Nimeona nije na hili wadau wenzangu, dunia inaelewa malengo na mahitaji ya Russia kwa nchi ya Ukraine yapo wazi sana swali ni kwanini amebaki mpakani??? sasa takriban mwezi., NATO wamekuwa wa wazi sana na hawapepesi kauli zao ni kwamba wanasubiri Russia waivamie Ukraine ndio na wao lile lengo lao litatimia kwa nilivyofahamu mimi.

Lakini kuna maswali najiuliza hasa kwa Russia., Ivi baada ya Marekani na NATO kuwahi kuingia Ukraine ki-ulinzi na kuwa tayari kujibu mara Urusi ikivamia Ukraine Na hata jana Biden amesema watajibu thabiti kama Russia akijaribu kuvamia tu- Ivi Russia ndio imekuwa na hofu kubwa kukamilisha adhma yake?

Tuseme ni sahihi kusema Russia analiogopa Jeshi la NATO lakini na Marekani licha ya majivuno mbali mbali ya Putini? mara nyingi nikiangalia Televisheni CNN naona bado Russia wanailalamikia Marekani kutokuwa tayari kwa mazungumzo, Na Kremlin mara kadhaa namsikia akisema hawana nia ya kuvamia Ukraine ivi ni kwanini hasa kauli hizi? Kuna nini nyuma ya Pazia la Russia? Kama hawana nia ya kuvamia wao wanafanya nini mpakani mwa Ukraine? au Tuseme wanalinda mpaka wao tu.

Earlier Russia walisema ni vita vita vita tu lakini kwa nini wamebaki mpakani wansubiri nini?

Nafkiri wadau hemu tujikiteni hapa kidogo tupate dondoo zenu katika hili
Anaogopa moto
Rais wa Urusi Vladimir Putin ameishutumu Marekani kwa kujaribu kuisukimiza nchi yake kwenye vita na Ukraine.

Amesema lengo la Marekani lilikuwa kutumia mvutano huu kama kigezo cha kuweka vikwazo zaidi kwa Urusia.

Putin pia amesema Marekani imekuwa ikipuuzia wasiwasi uliyotolewa na Urusi kuhusu kuongezeka kwa vikosi vya NATO barani Ulaya.

Marekani na Muungano wa NATO unaishutumu Urusi kupanga kuivamia Ukraine huku Urusi ikikana mara zote.

Wakati huo huo Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky ametoa onyo kwa Urusi akisema uvamizi wowote wa nchi hiyo hautaishia kuwa vita kati ya Ukraine na Urusi bali vita kubwa na kamili ndani ya bara lote la Ulaya.
 
Binafsi naona ugunduzi wa silaha za nyuklia ndio umesaidia kwa kiasi kikubwa kuzuia vita kuu ya tatu ya Dunia. Hii ni kwa sababu, kila nchi kubwa ina silaha za nyuklia, hivyo kila nchi kubwa inaogopa kuanzisha vita, kwani madhara yake yanaweza kuwa makubwa pale silaha za nyuklia zitakapotumika.

Lakini, kama silaha za nyuklia zisingekuwepo Duniani, inawezekana tayari vita ya tatu ya Dunia ingekuwa imeishatokea
 
Tukuondoa ubishi tunatakiwa kujua kwamba vita ni uchumi namanisha kwamba mwenye uchumi mkubwa ndiyo Huwa anashunda vita .Sasa angalieni kati ya NATO na Russia nani mwenye uchumi mkubwa.Vita inahitaji hela kuighalamia na inaweza chukua hata miaka 10 kuisha Sasa hapo kama una uchumi legevu lazima utashindwa tu.USA ndiyo super power wa DUNIA na pia Kumbukeni kapona na nchi mbili kwa wakati mmoja kwa zaidi ya miaka 20 lakini Bado yupo vizuri kiuchumi,Iraq na Afghanistan wamepigwa na USA kwa pamoja lakini Bado jamaa wako vizuri kiuchumi.
Kwa huu Mgogoro uliopo utaisha kwa mazungumzo tu Wala hakuna vita hapo maana wanaogopa hasara za vita.
Afghanistan ipi unayoizungumzia weee hii inayoongozwa na taleban ambayo US nashost zake wameikimbia
Vita sio uchumi imara tuu ingekua ni uchumi tu US asingekimbia SOMALIA asingekimbia VIETNAM asingelikimbia AFGHANISTAN
pia SAUDIA wangelikua washamalizana na HOUTH ila mpaka sasa mambo magumu
ukiachana nakua na chumi imara kuna zaidi yakua na chumi imara ili kushinda vita yeyote ile
nb:-hapo hamna vita ila vita itaibuka endapo UKRAINE itajiunga na NATO nanijambo ambalo halipo halijatokea ba halitatokea ama labda litokee baada ya kuiba vita kali sana na RUSSIA kuchapwa
 
Anaogopa moto
Rais wa Urusi Vladimir Putin ameishutumu Marekani kwa kujaribu kuisukimiza nchi yake kwenye vita na Ukraine.

Amesema lengo la Marekani lilikuwa kutumia mvutano huu kama kigezo cha kuweka vikwazo zaidi kwa Urusia.

Putin pia amesema Marekani imekuwa ikipuuzia wasiwasi uliyotolewa na Urusi kuhusu kuongezeka kwa vikosi vya NATO barani Ulaya.

Marekani na Muungano wa NATO unaishutumu Urusi kupanga kuivamia Ukraine huku Urusi ikikana mara zote.

Wakati huo huo Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky ametoa onyo kwa Urusi akisema uvamizi wowote wa nchi hiyo hautaishia kuwa vita kati ya Ukraine na Urusi bali vita kubwa na kamili ndani ya bara lote la Ulaya.
Alitakiwa kujitathmini kabla, Gesi yake atamuuzia nani?
Marekani sio ya kuishtukizia kwenye mapambano, marekani alijaribu na kufanikiwa kwa kiwango kikubwa kuitawala dunia kiuchumi muda mrefu sana
 
LENGO LA PUTIN LIMEANGUKIA PUA.

Putin alijua akitishia kuivamia kijeshi Ukraine Basi NATO wataogopa na kukubali matakwa ya Urusi ili asiivamie Ukraine. Malengo ya Urusi yalikuwa Kama ifuatavyo;

1.Marekani na Washirika wake wa NATO wasaini mkataba na URUS ambao utaipiga Marufuku nchi ya Ukraine kujiunga na NATO mazima.
NATO wamekataa takwa Hilo la URUS wakisema Uanachama wa Ukraine kujiunga NATO ni jukumu la uamuzi wa Mataifa 30 wanachama wa NATO. NATO imeongeza kwa kusema,URUS Haina mamlaka ya kuzuia Sera ya NATO ya OPEN DOOR POLICY hata Kidogo. Ukraine ikikidhi vigezo itajiunga na NATO.

2.Marekani na Washirika wake wa NATO waondoe Siraha zao ambazo wameipa nchi ya Ukraine tangu mwaka 2014. URUS imedai kuwa Ukraine ametumia Siraha hizo kuwapiga Washirika wa Urusi kwenye majimbo ya CRIMEA,DONBASS,LUHANSK na DONETSK.
Marekani na Washirika wake wa NATO inaonekana kabisa wamepuuza matakwa hayo badala yake Marekani na Uingereza wameongeza msaada wa Siraha kwa Ukraine hivi Karibuni.

3.Marekani na Washirika wake wa NATO wasijitanue kwa kuweka Majeshi yake na Siraha kwenye nchi za Ulaya Mashariki ambazo zilijiunga na NATO Kabla ya mwaka 1997. Hapa Urusi ilimaanisha nchi za ROMANIA,HUNGARY,LITHUANIA na LATVIA.
Marekani na Washirika wake wa NATO wamepuuza matakwa hayo. Hivi Karibuni rais wa Marekani JOE BIDEN ameiamuru wizara ya Ulinzi ya Pentagon kuwaweka Wanajeshi 8,500 tayari kupelekwa Ulaya Mashariki mda wowote ule. Tunavyoongea hivi Sasa,Wizara ya Ulinzi PENTAGON imeanza kuwapelekwa Wanajeshi 2,000 nchini Poland kutoka Marekani na Wengine 1,000 walioko Ujeruman imeanza kuwapeleka nchini ROMANIA.

Nchi za POLAND na ROMANIA zote Zina mpaka wa moja kwa moja na nchi ya Ukraine. Katibu Mkuu wa NATO Jens Stoltenberg amesema wazi kwamba NATO haitapeleka Wanajeshi wake nchini Ukraine ambayo sio wanachama lakini itatoa usaidizi wa vifaa vya kijeshi vya kujilinda kwa Ukraine.
 
Nimeona nije na hili wadau wenzangu, dunia inaelewa malengo na mahitaji ya Russia kwa nchi ya Ukraine yapo wazi sana swali ni kwanini amebaki mpakani??? sasa takriban mwezi., NATO wamekuwa wa wazi sana na hawapepesi kauli zao ni kwamba wanasubiri Russia waivamie Ukraine ndio na wao lile lengo lao litatimia kwa nilivyofahamu mimi.

Lakini kuna maswali najiuliza hasa kwa Russia., Ivi baada ya Marekani na NATO kuwahi kuingia Ukraine ki-ulinzi na kuwa tayari kujibu mara Urusi ikivamia Ukraine Na hata jana Biden amesema watajibu thabiti kama Russia akijaribu kuvamia tu- Ivi Russia ndio imekuwa na hofu kubwa kukamilisha adhma yake?

Tuseme ni sahihi kusema Russia analiogopa Jeshi la NATO lakini na Marekani licha ya majivuno mbali mbali ya Putini? mara nyingi nikiangalia Televisheni CNN naona bado Russia wanailalamikia Marekani kutokuwa tayari kwa mazungumzo, Na Kremlin mara kadhaa namsikia akisema hawana nia ya kuvamia Ukraine ivi ni kwanini hasa kauli hizi? Kuna nini nyuma ya Pazia la Russia? Kama hawana nia ya kuvamia wao wanafanya nini mpakani mwa Ukraine? au Tuseme wanalinda mpaka wao tu.

Earlier Russia walisema ni vita vita vita tu lakini kwa nini wamebaki mpakani wansubiri nini?

Nafkiri wadau hemu tujikiteni hapa kidogo tupate dondoo zenu katika hili
Urusi naona alkua anataka apewe assurances kuwa Ukraine hatakuwa NATO member, kitu ambayo USA hataweza kumpa hilo jibu,mbaya zaid kaonyesha kapeleka majesh yake mpakan na Ukraine ili awe kwenye position nzur ya kunegotiate na USA,ndio kaharibu, USA naye anapeleka wanajesh wake kwa allied nations na ana supply silaha kwa Ukraine in a broad daylight,kama Russia akikomaa kwa Ukraine hii vita itakua tofaut na zle za mwanzo.

Ukraine hatakuwa yule wa kipindi kile, wala haitakua kama ile ya Georgia.USA naona this time hatoi gepu kwa Russia.undava undava tu
 
Back
Top Bottom