kichakaa man
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 5,500
- 5,164
Hao usa na nato hawana cha kumfanya zaid ya mikwara tuNi swala la muda tu takwa la Russia kwenye mazungumzo yao na USA ni katazo la Ukraine isijiunge NATO USA amekataa takwa Hilo na Russia ameambiwa wazi hivyo vitu haviwezekani Ukraine kuzuiwa kujiunga NATO.... Russia Hana jipya this time atajua kuwa hajui....hifadhi maneno yangu