Hivi Sanchoka na Mama yake, kuna anayewaelewa na hizi picha zao?

Jipe moyo Ila ,ila wanawake mnahitaji sana ndoa (labda msagaji).

"itafikia kipindi wanawake sita watamng'ang'ania mwanaume mmoja, huku wakimwambia tutajigharamia wenyewe ila tuitwe tu kwa jina lako........"-Nabii Isaya.

Utakataa ila ukweli ndio na tunaona, hata hao wanao jifanya hawapendi ndoa ni mbele za macho ya watu, ila wakirudi makwao stress za kutosha (wanajifanya wana ngozi za chuma wakiguswa inabonyea).Ndio maana mmejazana kwa waganga na makanisa ya walokole.
 
Kwanini utusemee wanawake na wakati wewe sio mwanamke, hyo kuona ndoa ni Kwa wanawake kuliko wanaume ni hisia zako tu maana wanaume wenyewe kuridhisha wanawake hamna si bora wakoboane tu.
Hafu hyo ya wanawake 6 mume moja ni hadithi tu hizo hazina uhalisia
 
Sijakulenga personaly mkuu..ni general overview tuu n it is not personal..au sio!?? Cheers basi!!!
 
Ehehehe...mkuu kwan wanawake wenye kuridhisha wanaume WAPO??????
 
Sijajua imani yako ila hayo si maneno yangu bali ya nabii Isaya,ila kama umeamua kubisha basi sawa.
 
Ndo katika hiyo idadi wa waliokataliwa ndo mm nimoo ila sijawahi kuwa muoga, labda nilitumia njia ambazo siyo sahihi kwa wakati ambao haukuwa sahihi. Namuahidi mwanae bado ntarudi tena
Eti mwanae bado ntarudi tena πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ watu bana!!!
 
Sijui labda unawazungumzia wanaume wa huko kwenu, mwanamke mtulivu na mstaarabu ni dhahabu mbele ya mwanaume muoaji, mara chache sana wanakosa watu. Hao machakaramu wanaweza kuolewa, ila mwisho wa siku wakaishia kuachwa au wasiolewe kabisa.
Watu decent huwa wanapigwa matukio hadi huruma, angalia asilimia kubwa ya mabinti watulivu zile waifu matirio kabisa.... Wakulungwa wanapita na matukio wanaishia kuwazalisha na kusepa, akichoandika ni ukweli mtupu.
 
ila kwa bahati nzuri soul mate huwa wapo kila stage ya maisha.... tatizo huja mwanaume akijua umependa!!! mana kwenye maisha kupendana sawasawa hakupo lazima upande mmoja uzidi
Tupendeni ma soul mate πŸ˜‚ acheni janja janja
 
Watu decent huwa wanapigwa matukio hadi huruma, angalia asilimia kubwa ya mabinti watulivu zile waifu matirio kabisa.... Wakulungwa wanapita na matukio wanaishia kuwazalisha na kusepa, akichoandika ni ukweli mtupu.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…