Hivi Sanchoka na Mama yake, kuna anayewaelewa na hizi picha zao?

Hivi Sanchoka na Mama yake, kuna anayewaelewa na hizi picha zao?

Dah umeandika ukweli aisee ukimpata soul mate wako mapenzi huwa raha Sana hafu huoni makosa yake ni utii kwa kwenda mbele. Nimewahi pata soul mate moja tu basi unfortunately tuliend na sad story
Umeona sasa!!? Kwakifup nyie wenyewe hamjuagi hata mnataka nini? ..Nyie kutulia ni mungu tu na mkishachoka choka chakaa mbaya mbovu papuch mashavu yamelegea kama nyama za nyongeza yale malapu lapu buchani ndio mnajikuta kutulia huku mnasingizia et umepata soul mate...nyie hata mpate "soul-tape" nini soul mate
 
Umeona sasa!!? Kwakifup nyie wenyewe hamjuagi hata mnataka nini? ..Nyie kutulia ni mungu tu na mkishachoka choka chakaa mbaya mbovu papuch mashavu yamelegea kama nyama za nyongeza yale malapu lapu buchani ndio mnajikuta kutulia huku mnasingizia et umepata soul mate...nyie hata mpate "soul-tape" nini soul mate
Unaweza ukakuta ana vidumu vyake (havina na hata mbuni) wana msugua kimya kimya.
 
Pia wanaume wengi hufikiria ukiwa mstaarabu kwake imekufa na kuoza na huna options kumbe huwa ni kujidaganya tu, wengine wameumbwa na moyo wa upendo kwa yoyote yule Sasa wao hujiona wao ndio wao.

Naunga mkono kabisa... wengine huwa tuna upendo tu na kuacha pia tunaweza ni kama kuweka on & off
 
Umeona sasa!!? Kwakifup nyie wenyewe hamjuagi hata mnataka nini? ..Nyie kutulia ni mungu tu na mkishachoka choka chakaa mbaya mbovu papuch mashavu yamelegea kama nyama za nyongeza yale malapu lapu buchani ndio mnajikuta kutulia huku mnasingizia et umepata soul mate...nyie hata mpate "soul-tape" nini soul mate
Umetumia lugha Kali unnecessary tu bila sababu mkuu, mbona hata kabla ya huyo soulmate nilikuwaga sihangaiki wala kuruka ruka, na sasa nimenona shavu dodo ndio haswa nimekuwa st Maria sihangaiki na mtu mie nikiwa na ka hela ka mboga why naona mahusiano kichefu chefu na usumbufu.
So wanawake tunaamua tu kukuwa na tuna wahi ku mature na kuelewa dunia haina jipya hata uhangaike vipi kitu kilekile. So kutulia ni mtu akiamua moyoni baada ya kuona life ni ubatili na ukijua inner happiness is everything unaacha kutegemea watu kihisia that's all, na sio papuchi kulegea hyo ni big no
 
Sijui labda unawazungumzia wanaume wa huko kwenu, mwanamke mtulivu na mstaarabu ni dhahabu mbele ya mwanaume muoaji, mara chache sana wanakosa watu. Hao machakaramu wanaweza kuolewa, ila mwisho wa siku wakaishia kuachwa au wasiolewe kabisa.
Wanaume wengi majority wako hivo hata wanawake wife material huwa maranyingi wanateswa na tabia chafu za wanaume wao
 
In short hakuna sifa za moja kwa moja kwa mwanamke ili kuwa "wife material"....kila mwanaume ana maono yake kuhusu wife material anaemtaka under ceteris peribus
Na wanaume wengi hawapendi wanawake watulivu na wastaarabu, maana ndio huwatesa sana na wanaume wanapenda wanawake kichwa ngumu.
Pia wanaume wengi hufikiria ukiwa mstaarabu kwake imekufa na kuoza na huna options kumbe huwa ni kujidaganya tu, wengine wameumbwa na moyo wa upendo kwa yoyote yule Sasa wao hujiona wao ndio wao.
Kwa umri huu niliofika swala la kupenda mtu nimeshavuka hyo stage mtu anaye care nitamjali, anaye ni ignore na mimi na mu ignore kwa kweli, Ile kufa kuoza hapana, maana furaha najipa mwenyewe sitegemei kwa mtu au vitu
 
Picha ni za kawaida kabisa shida ni sisi watazamaji tunakimbilia kutazama visivyotakiwa kutazamwa

Kubarikiwa msambwanda hakukufanyi usipige picha sio kisa mtu ana msambwanda basi ndio asipige

picha kisa atakutamanisha,picha atapga atapost,kazi itabaki kwako "mpenzi mtazamaji" ku deal na picha

au kudeal na hicho kichogo chini ya kiuno... Sema kusema maukweliiiii hawa wamaza zetu wa siku hizi wanatutaftia lawama na mwisho kututishia kutuachia laana.

Mimi nishasema ipo day nyie wamama mliobarikiwa mtaniachia laana nimesema na hazitonipata maana Mungu anajua nyie wenyewe ndio wachokozi.
 
Wanaume wengi majority wako hivo hata wanawake wife material huwa maranyingi wanateswa na tabia chafu za wanaume wao
Ngumu sana kumkuta binti aliyetulia anakosa mme na kama wapo wachache, wanaume kwenye ndio wanatafuta utulivu. Ila sijajua huko kwenu, ila kwa mitaa niliyokulia zile pini za mtaa na yale machakaramu wengi hawapo ndoani na wengi wao single mother.

Mwanaume tutafanya upuuzi wetu wote, tutabadilisha mademu ila kwenye kuoa mara nyingi sana tunakuwa makini na hatuangalia uzuri wa nje bali wa ndani.
 
Na wanaume wengi hawapendi wanawake watulivu na wastaarabu, maana ndio huwatesa sana na wanaume wanapenda wanawake kichwa ngumu.
Pia wanaume wengi hufikiria ukiwa mstaarabu kwake imekufa na kuoza na huna options kumbe huwa ni kujidaganya tu, wengine wameumbwa na moyo wa upendo kwa yoyote yule Sasa wao hujiona wao ndio wao.
Kwa umri huu niliofika swala la kupenda mtu nimeshavuka hyo stage mtu anaye care nitamjali, anaye ni ignore na mimi na mu ignore kwa kweli, Ile kufa kuoza hapana, maana furaha najipa mwenyewe sitegemei kwa mtu au vitu
.
IMG_20211019_215535.jpg
 
Wanaume wengi majority wako hivo hata wanawake wife material huwa maranyingi wanateswa na tabia chafu za wanaume wao
Kama vile wanaume 'husband material' ambavyo hufanywa mazoba na wake zao, it's a 50/50 two-way traffic.
 
In short hakuna sifa za moja kwa moja kwa mwanamke ili kuwa "wife material"....kila mwanaume ana maono yake kuhusu wife material anaemtaka under ceteris peribus
Hata kwa wanawake hivo hivo tuna sifa zetu tunaangalia sio kukurupuka for instance unakuwa na mtu kwa kuangalia a certain criteria na mambo mengineyo.
 
Ngumu sana kumkuta binti aliyetulia anakosa mme na kama wapo wachache, wanaume kwenye ndio wanatafuta utulivu. Ila sijajua huko kwenu, ila kwa mitaa niliyokulia zile pini za mtaa na yale machakaramu wengi hawapo ndoani na wengi wao single mother.

Mwanaume tutafanya upuuzi wetu wote, tutabadilisha mademu ila kwenye kuoa mara nyingi sana tunakuwa makini na hatuangalia uzuri wa nje bali wa ndani.
Hapa duniani sio wote wanawaza ndoa, kuoa/ kuolewa kuwa ni a must thing hizi ni criteria zetu za kibongo ambazo watu wame cremisha kuolewa, kuzaa, kitendo ambacho hata wanyama wasio na utashi hufanya.
So duniani watu hutofautiana bongo hii wanaamini asiye oa au kuolewa ni dhambi na mapungufu na kusahau kila mtu na vipaumbele vyao vya life. Na Kuna wanaoingia ndoani wameshindikana tabia na malaya vinara wa kuolewa na kuachika. So marriage sio kigezo Cha watu kuwa perfect ingekuwa perfect watu wangeheshinu viapo vyao na ingekuwa heaven on earth but unfortunately hapa bongo hyo taasisi unayoona mtu kuingia ndio ukamilifi ni kinara mwa taasisi za kinafiki na jela ya wengi
 
Back
Top Bottom