Hivi Shy-Rose Bhanji ana umri gani?

Hivi Shy-Rose Bhanji ana umri gani?

Babu.JPG
 
Mkuu nina hakika na nilichokiandika. Na hapa JF uwa sina tabia ya kuweka comment kwa kitu nisichokuwa na hakika nacho. Itoshe tu kusema kwamba namfahamu na pia ananifahamu vizuri kwa zaidi ya miaka 35. Labda nikuulize maswali mawili rahisi tu mkuu ili utakapobisha uwe na basis. 1. Zamani watu walikuwa wanaanza darasa la kwanza (shule ya msingi) wakiwa na umri gani? 2. Kwa kutumia jibu la swali la kwanza, mtu aliyemaliza darasa la saba mwaka 1982 kwa sasa atakuwa na umri gani?

Hahahah u nailed it,naona inaangukia 47 sharp. 1982 alikua na 14 ,alianza akiwa na 7 mwaka 1975 so alizaliwa mwaka 1968,therefore ana miaka (2015-1968) 47.
 
Sikubaliani na ulichoandika, alimaliza Aga khan Mzizima form IV 1983, na alikuwa class moja na brother wakati huo mimi nipo form III hapohapo Mzizima na wakati huo nilikuwa nasoma na mdogo wake anaitwa Jamila walikuwa wanakaa Upanga, huyo ana 50yrs old.

Mkuu Siimak, pengine nisilete ubishi kuhusu unachokiamini wewe. Ila mimi pia nimeandika kwa jinsi ninavyomjua. Kwa maelezo yangu niliyotoa awali ninamfahamu kwa zaidi ya miaka 35. Niliwajua wazazi wake wote wawili, kaka zake na dada zake wote. Ananifahamu vizuri na kwa kifupi ninafahamu mambo yake mengi (mazuri na mengine ni ya kawaida tu katika maisha). Ni mtu ambae tunaheshimiana. Sasa kwa vile hapa JF tunatumia ID zinazoficha majina yetu sioni logic ya kutiririka mengi ili kuthibitisha zaidi nilichoeleza awali kwani mwisho wa siku haitakuwa na maana ya mimi kutumia ID iliyopo hapa JF. After all kilichoulizwa hapa ni age yake tu nami nimejitahidi kueleza kwa jinsi ninavyoelewa.
 
Sikubaliani na ulichoandika, alimaliza Aga khan Mzizima form IV 1983, na alikuwa class moja na brother wakati huo mimi nipo form III hapohapo Mzizima na wakati huo nilikuwa nasoma na mdogo wake anaitwa Jamila walikuwa wanakaa Upanga, huyo ana 50yrs old.

kwa lugha nyingine wewe una 49!
Good!
 
Nimeanza kumjua miaka ya 1998 akitoka na Jafarai,tulikua tukimzomea anatoka na mtu mzima enzi hizo,sishangai nikisikia ana 50
 
Back
Top Bottom