pumzihaiuzwi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2015
- 3,273
- 3,083
Shyrose yupi wa jaffarie yule mbongo flava au[emoji40]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...teh hee hee..watu bwana!,huu uzi umefufuliwa!Kila nikimtathmini hasa matendo yake na kubwa zaidi kupenda kupiga picha na kutupia mitandaoni mara akiwa kamshika huyu au kapozi hivi sometimes kihasara hasara na vitu anavyoviandika achilia mbali vya kupost huwa nashindwa kumwelewa huyu yupo ktk kundi gani.
Naomba anayemjua zaidi atiririke hapa ili nizidi kumfahamu zaidi na hasa ukizingatia kuwa yeye ni public figure.
Na mwisho naomba kujua sifa za kuwa mbunge wa Afrika ya Mashariki ni zipi?
Nitawashukuruni mkinijibu members.
98 au 2008?Nimeanza kumjua miaka ya 1998 akitoka na Jafarai,tulikua tukimzomea anatoka na mtu mzima enzi hizo,sishangai nikisikia ana 50
Shy rose kazaliwa mwaka 1968, calculate update miaka yakemkuu usemalo ni kweli 1989 kma sikosei alikua frm 6 lake sec school mwz....mimi nkiwa lake primary
mbona umepaniki? Kwani wewe ndo shy rose?
Hahaha[emoji13] [emoji13]Jf kuna vizee..hata sijazaliwa watu mnadunda!
gwajima kaingiaje tena hapa?? Husomeki ujueHapana mm ni Rwankomezi....mambo ya kumnanga mtu kila bila sbabu kama Gwajima sio mpango.
shikamoo kaka...!!!mkuu usemalo ni kweli 1989 kma sikosei alikua frm 6 lake sec school mwz....mimi nkiwa lake primary
Kapigwa chini ubunge2017 ndio hii bado wengine hatujelewa, unaweza kutufumbua macho kidogo.
Sent from my HTC Desire 626GPLUS dual sim using JamiiForums mobile app
Sasa ulikuwa unatoroka kwenda Isamilo au kurudi kirumba au NyakatoHayO hayo mkuu, ila nilisikia yule mzee sio mtz ni wa kule kwa Kagame kuna kipindi Sirikali ilimpa tabu sana. Alitusumbua sana wa Lake Sec. hasa kukwamisha safari za kutoroka shule mida ya break asubuhi yaani alikua anatuchoma live kwa Mwalimu mkuu Father DE.
gwajima kaingiaje tena hapa?? Husomeki ujue
Oh sawa, Lakini tupunguze siasa kwenye majukwaa ambayo sio ya siasa,Gwajima ni mtu wa kutukama ovyo...na Kuna mtu katumia lugha ya matusi humu ndo mana nikasema hivyo.
Kweli nazeeka! Kumbe SUGU kapita mle!Sugu na Jafarhymes ndio wanaomjua zaidi tena kiundani sisi wengine tunamjua kama unavyomjua wewe
mimi mwaka 1980 ndio nastaafu kazi......na bado nina mpango wa kuoa mwakaniMhhh jamani mm kitendo cha kuwa mwalimu kuwalea watoto pale sekondari na huku mtaani vijana wengi kuniita brother basi kila nikiingia hapa jf najiona mm ndio moja ya watu wazima tuliopo. Sasa mtu kuniambia mwaka 1980 alikua cjui form three nimechoka sana.
SHIKAMOONI WAKUBWA ZANGU KM NIMEWAHI KUWAKERA NAOMBA MNISAMEHE HUU NI UTOTO TU UNAONISUMBUA.
AhahahahahahaaaaaaaaUtaacha lini umalaya swaiba? Hapo unataka information tu kwa wanaomjua ili ukipewa data kamili uanze kumfukuzia,tatizo lako unapenda mno papuchi wewe ukimgegeda huyo na kibarua chako cha umbea kutoka kampuni ya SSIT kinaota mbawa,muulize Jaffarai alipata gundu la milele hadi leo hajulikani hata alipo,mara ya mwisho alionekana London akifanya kibarua cha kuosha magari.
Ehee mkuu Jafarhymes alianza SUGU akaja kumpora...Ndio ikawa mwanzo wa beef kubwa kati yao.Kweli nazeeka! Kumbe SUGU kapita mle!
Marhaba dogoMhhh jamani mm kitendo cha kuwa mwalimu kuwalea watoto pale sekondari na huku mtaani vijana wengi kuniita brother basi kila nikiingia hapa jf najiona mm ndio moja ya watu wazima tuliopo. Sasa mtu kuniambia mwaka 1980 alikua cjui form three nimechoka sana.
SHIKAMOONI WAKUBWA ZANGU KM NIMEWAHI KUWAKERA NAOMBA MNISAMEHE HUU NI UTOTO TU UNAONISUMBUA.