Hivi siku ukikutana na video chafu ya mwanao utakuwa na hali gani?

Hivi siku ukikutana na video chafu ya mwanao utakuwa na hali gani?

Unadhani hao watoto wanafichwa information au ni maamuzi yao tu?

Hawa watoto wa 2000 kuna kipi wasicho kijua?
Huwa inaniuma sana nikiona neno "Watoto wa 2000๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜" kwani hawa watu wamefanya anasa kuliko kizazi chochote duniani ?๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
nina jamaa nimesoma nae ana mtoto wa kiume form 1 dogo kashikwa na simu kufatilia dogo kahongwa na mwarabu koko mmoja huwa anamtifua dogo mtaro

jamaa kapeleka malalamiko polisi na ushahidi, mwarabu kadakwa. ndugu wakampa m10 afute kesi kakomaaaa mwarabu kafungwa kakata rufaa, kashinda sa hivi yuko nje

yule dogo (mtoto wa mshkaji) siku nimekutana nae njiani ananiambia mambo (huku kabana pua ) dogo nilimzibua maana mimi na babake tumecheza pamoja hawezi niambia mambo

mbaya zaidi dogo sa ivi analiwa na wenye hela dingi kasha amua kuwa mpole

haya mambo yanaumiza mnooo
Daah
 
Inatakiwa watokee watu au wasomi wa kusaidia hili jambo, namna gani mzazi anaweza kumwokoa mwanae, maana kwa hii dunia hapana aisee
 
Mwanangu itambidi kwanza asitumie simu ya smart hadi atakapoolewa, atatumia laptop, na kiswaswadu tu.
Hapa nimekuelewa ila umesahau kitu kimoja laptop ndio smartphone ya sasa kilichofanyika ni transformation tu
 
Ila kweli, mtu ukiwa mkoloni, pia serikali isiingilie baadhi ya adhabu za kifamilia
Mtoto anafuata amri zako ukisema kurudi mwisho saa 12 ikizidi hata dakika 5 kachelewa kurudi kwata, huyu mtoto hawezi akaenda kujirekodi uchi hata iweje maana anajua baba akijua ataniua
 
Yani nimepita mtandaoni nimeona mjadala wa watoto wanaodaiwa walikua wanafunzi wa shule fulani picha zao cha uchi zimevuja mtandaoni. Nimewaza sana hali ya wazazi wao sijui ikoje kwa sasa, imagine mtoto hata miaka 25 hajafikisha anakupa kadhia kama hiyo.

Nawaza yakinikuta mimi nitafanye ? nitaweka wapi sura yangu? eem Mungu kinusuru kizazi changu/ na cha wengine kiujumla, malezi yamekua changamoto sana.

Mwanangu itambidi kwanza asitumie simu ya smart hadi atakapoolewa, atatumia laptop, na kiswaswadu tu.
Hawa watoto mbona kama kipaji chao sio kusoma ni kufokonyoana??
Sasa sijui waelekee wapi kati ya kusoma au kufungua danguro manake hawaeleweki
 
Yani nimepita mtandaoni nimeona mjadala wa watoto wanaodaiwa walikua wanafunzi wa shule fulani picha zao cha uchi zimevuja mtandaoni. Nimewaza sana hali ya wazazi wao sijui ikoje kwa sasa, imagine mtoto hata miaka 25 hajafikisha anakupa kadhia kama hiyo.

Nawaza yakinikuta mimi nitafanye ? nitaweka wapi sura yangu? eem Mungu kinusuru kizazi changu/ na cha wengine kiujumla, malezi yamekua changamoto sana.

Mwanangu itambidi kwanza asitumie simu ya smart hadi atakapoolewa, atatumia laptop, na kiswaswadu tu.
Hawa watoto mbona kama kipaji chao sio kusoma ni kufokonyoana??
Sasa sijui waelekee wapi kati ya kusoma au kufungua danguro manake hawaeleweki
 
Hakuna kitu utafanya , Mungu akusaidie tu afya yako iwe imara usipate shambulio la moyo ! au kiharusi ๐Ÿคฃ utaishia tu kulalamika au kupandisha hasira au kumvaa mtoto ukamgonga makofi ya kutosha ๐Ÿคฃ

Ila pia dalili za watoto kufanya matukio fulani fulani kwa mzazi ambaye yupo makini utaona dalili simaanishi kufungia watoto ndani maana watu ndo wanachojihami nacho ! Watoto wa "Dadii i'm going" wakipata nafasi wana matukio kuliko hata kina mwajuma mfagio mchafu wana ulimbukeni mbaya sana

Mzazi ukiwa na uelewa mzuri na mwanao na una jicho la uzazi na ulezi mtoto akianza kupotoka huwa tunaona au kuhisi pia ila huwa hatuchukui measures au tunapuuza kwa ajili ya ubusy au unamrushia zigo mama na lawama kibao.

Tukiwajibika haya hayatajitokeza ! Yajitokeze huko ukubwani akiwa anaendelea na maisha yake.
 
Mtoto anafuata amri zako ukisema kurudi mwisho saa 12 ikizidi hata dakika 5 kachelewa kurudi kwata, huyu mtoto hawezi akaenda kujirekodi uchi hata iweje maana anajua baba akijua ataniua
Katika familia yetu hakuna mtoto aliyechezea bakora za kutosha kama mimi, lakini sasa mzee ananikubali sana hadi nashangaa,

lazima na mimi nipite mule mule kumuenzi, kwa Vitu ambavyo mimi nilifanya na namna ambavyo mzee alinilea niliona kama ananitesa lakini faida yake naiona sasa, yule mzee amenitenbezea bakora nyingi sana,

nakumbuka sometime nimegombana na mtu lakini mimi ndio wa kuadhibiwa hata kama nimepigwa na mwenye kosa sikuwa mimi
 
Katika familia yetu hakuna mtoto aliyechezea bakora za kutosha kama mimi, lakini sasa mzee ananikubali sana hadi nashangaa,

lazima na mimi nipite mule mule kumuenzi, kwa Vitu ambavyo mimi nilifanya na namna ambavyo mzee alinilea niliona kama ananitesa lakini faida yake naiona sasa, yule mzee amenitenbezea bakora nyingi sana,

nakumbuka sometime nimegombana na mtu lakini mimi ndio wa kuadhibiwa hata kama nimepigwa na mwenye kosa sikuwa mimi
Kwa hayo malezi huwezi kufanya ujinga maana lazima unyooshwe tu na utanyooka tu utake usitake
 
Back
Top Bottom