Hivi Simba SC mbona kama hawapo serious na usajili?

Mkuu kumbuka deal line tarehe 30 mwezi huu, leo tarehe 12

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
 
Siku zote wachezaji wazuri wanagombewa. Ukiona mchezaji hagombaniwi na timu ujue huyo ni galasa
Anagombewa na team zipi? Hilo nalo ni swala la msingi sana kuzingatia.

Siku Tz mkifikia uwezo wa kumchukua mchezaji anaegombewa na Ahly, Wydad, Mamelod, Petroleos, Horoya, Pirates...nk hapo nitaelewa.

Na mchezaji wa kugombewa na hizo team kubwa ujue ana quality na hawezi kuja bongo.
 
Nitajie timu yenye mafanikio makubwa duniani na mmiliki wake ni mhindi au anatoka India
 

si ndo huo huo uwekezaji wa mchongo wamechukua miaka minne mfululizo na robo fainali mfululizo
 
Ligi haijaisha huo usajili unafanya vipi ?

Timu haina kocha usajili unafanya kwa mapendekezo ya nani ?
 
Tuliofanya kazi na Wahindi kwa miaka mingi,tunaelewa anachokifanya Mo dewji pale Simba

mwacheni muhindi wa watu, yeye ndo kawapa kombe miaka minne mfululizo na club bingwa yeye ndo anaekomaa nalo kuliko wengine, mmeambiwa mchange mpaka sasa mmefika mil 90, yeye anatoa bili 4 kila mwaka peke yake nyie kwenye mitandao mmejikusanya mmefikisha mil 90 na ni mchango wa mda mmoja, yeye anatoa kila mwaka, mna shida gan kichwan?
 
Kocha yupi bora wa kiafrika unamtaka ?
 
Mkuu kwanza unaifahamu bajeti ya timu pamoja na vyanzo vyake vya mapato au kikubwa timu isajili tu mchezaji hata nje ya uwezo wake wa bajeti.

Simba siyo Al Ahly kwamba hata dollar million itatoa kwa mchezaji.
 
kuchukua mara nne mfululizo sio mafanikio? kufika robo fainali miaka mitano mfululizo sio mafanikio? kabla ya huyo muhindi mlikua mnaishia wap?
Hata kabla ya Mo dewji kuja kuwekeza pale Simba washachukua ligi Mara tano mfululizo na hata kufika fainali ya Caf champions league

Mafanikio ya mpira ni kushinda vikombe au mataji makubwa kama lilivyo lengo la simba

Timu nyingi zinazofanya vzr duniani wamiliki wake ni waarabu kama alivyo Gharib Said Mohammed
 
🎙️JE WAJUA...

Ndani ya miaka minne Simba sc wakiwa mabingwa wa nchi wamevuna jumla ya Tshs 360m Kama Zawadi ya kuwa Mabingwa wa ligi kuu.

Ila Yanga ndani ya msimu mmoja tu wakiwa mabingwa watavuna jumla ya Tshs 600m Zawadi ya ubingwa wa ligi kuu.👌

NB;Aya makolo chambueni uwanja ni wenu Sasa.....Ila si mmeskia Trylater analalamika watu wanasafiri usiku kuchukua wachezaji ambao makolo wanawataka 😂wanamakolo tulieni tunaleta Kapama,,Odoh,,okwi..
 
kwenda zako wewe. Simba hatufanyi ishu zetu kwa kufata mkumbo wa Utopolo.
 
Wewe ni noya mkuu, boya tena boya haswa!!! Hujui kitu
Haya chiz maarifa ,yaan unavyoropoka utafikir upo kitengo Cha usajir kumbe ni kenge mmoja anayeishi kwa kuunga unga kitaani.
 
Yaan wewe ndio kiaz balaa ,kwahiyo Simba kabla haijawa na mudy haikuwah kupata ubingwa?
Uchawa kwa magabachori utawamaliza marinda yote.
 
Acha kujijaza kama vile hujui sysytem za michezo Tz, unasema hata nila Muddy Simba Sc ingeweza kuyafanya haya iliyoyafanya ndani ya hii miaka minne(Ligi+Caf)? Leo hii muddy akae pembeni ni nani anaeweza kuwalipa hao wachezaji wa kigeni mishahara hata ya mwaka mmoja?

Hapo Yanga mlitamba enzi za Manji mkawa mnajiita wa kimataifa na team tajiri Tz, alivyojitoa hamkutembeza bakuli ili kupata hela za kulipa wachezaji? Ndege mlipanda tena??

Sasahivi kaja GSM mnajisahaulisha tena, mnaona kama yanga inaweza kukiendesha yenyewe😂, itokee leo GSM kabwaga manyanga hakuna kitu hapo.

NB:Sio Simba Sc wala Yanga inayoweza kujiendesha yenyewe kibiashara bila wawekezaji matajiri.

Kwahiyo waacheni wenye hela wafanye maamuzi, nyinyi mbuzi kaeni pembeni msubiri matokeo.
 
Siku zote wachezaji wazuri wanagombewa. Ukiona mchezaji hagombaniwi na timu ujue huyo ni galasa
Anagombewa baada ya kumwona kwenye mechi mbili Alizokutana na Simba?
Au huelew maana ya kugombewa.
Yaan mtu aonekane mechi mbili ndipo umjue haswa na kuona sio galasa!!
Tukisema hapa bongo Kuna vilaza kibao utabisha ? Ukiwemo na wewe fuata upepo?

Unawajua wachezaji wanaojitangaza bila mechi mbili za kukutana na Simba?

Ukitaka kugombea wachezaji ambao sio magalasa fanya scouting bila kutegemea mechi za Simba hasa za kimataifa ,yaan unavizia mchezaji kwa mechi mbili gafla unampa utukufu wote na kumwona sio galasa.ungese huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…