Zee Korofi
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 1,604
- 1,430
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we' mzee mwenzangu wewe.Leo ndio nimejua kuwa hawa vijana hawaendi gym ili kuimarisha afya yao bali kuandaa mazingira ya kuzini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we' mzee mwenzangu wewe.Leo ndio nimejua kuwa hawa vijana hawaendi gym ili kuimarisha afya yao bali kuandaa mazingira ya kuzini
Upo kama mimiWanaume tumekufa akili kabisa hatuna ujanja. Kisa! Tunataka sana ngono. Hapa nlishtuka mapema
Mzee umenitoa chozi kwa hii comment yakoWanawake wapo wengi sana, wake bora, mama bora na walezi bora wa watoto. Acha kutaka sifa kuwa una demu mkali mjanja mwenye tako utawaona wengi tu.
Mtu mzima akilia kuna jambo mkuu.Mzee umenitoa chozi kwa hii comment yako
Hapo unafeli! Unaleta u#nge, si kila thread lazima uchangieWewe ni mwanaume au mvulana?
Una akili timamu? Halafu mbona mnakurupuka hovyo kujibu thread? Umeelewa thread?Kusanya hela mdogo wangu, hayo maneno yao wakiona hela wanaufyata mdomo vizuri kabisa. Na wana nidhamu ya kutosha.
Ukikosa hela wanakudharau waziwazi ,hawaoni hata aibu na huruma. Kusanya mkwanja inatosha.