Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆😆😆Na mafurushi yao ila bado mbuga zimeuzwa kwa waarabu..
Kwa mujibu wa katiba ipi mkuuJESHI NI MOJA TU TPDF na Command zake wengine wote ni raia wakakamavu
😂😂😂Bado huwa nasikia
WANAWAKE NI JESHI KUBWA. ndo nachoka kabisa. Tunakoenda huko... Sijui
Kuni na miti zipo polini, gogo na gesi la nini, panga shoka ni mbadala wa hivyo vikubwa na vizito bila sababu.Ni ujinga tu Sasa kubeba hayo magogo ndo ukomando
Nasubiria jibu sehemu nije nikutambieJibu haraka mh..
Askari wapigao raia.Huu ndio ukweli japo mchungu
Umewaonea sana.Hao wakipelekwa kozi ya jeshi wote wanakimbia. Walichofanya ni kuiga style ya jeshi kwenye maonesho ya sherehe za kitaifa. Ni kama polisi kuna clip moja walikuwa wanamwagiana maji halafu wanatamka neno "commando" kwa kurudia rudia kumbe ni ffu tu.
Kwa ufupi wanatamani sana mambo ya jeshi ndio hivyo wako upande mwingine tu na wanatakiwa kuzikubali kazi zao waache kijilinganisha na kazi za watu wasizozijua zinafanywaje.
😂😂😂🤣Jibu kutoka kwa nani ?komandoooooNasubiria jibu sehemu nije nikutambie
Mkuu mbona mdau mmoja kasema wanamafunzo makali sanaHao wakipelekwa kozi ya jeshi wote wanakimbia. Walichofanya ni kuiga style ya jeshi kwenye maonesho ya sherehe za kitaifa. Ni kama polisi kuna clip moja walikuwa wanamwagiana maji halafu wanatamka neno "commando" kwa kurudia rudia kumbe ni ffu tu.
Kwa ufupi wanatamani sana mambo ya jeshi ndio hivyo wako upande mwingine tu na wanatakiwa kuzikubali kazi zao waache kijilinganisha na kazi za watu wasizozijua zinafanywaje.
Mkuu tema mate chini,FFU ni jeshi lile sema wana deal na raia. FFU wanapewa mafunzi ya kijeshi 100% na wanafanya mazoezi ya utayari kila mara. We huoni hata Rais analindwa na FFU basala ya JW?Hao wakipelekwa kozi ya jeshi wote wanakimbia. Walichofanya ni kuiga style ya jeshi kwenye maonesho ya sherehe za kitaifa. Ni kama polisi kuna clip moja walikuwa wanamwagiana maji halafu wanatamka neno "commando" kwa kurudia rudia kumbe ni ffu tu.
Kwa ufupi wanatamani sana mambo ya jeshi ndio hivyo wako upande mwingine tu na wanatakiwa kuzikubali kazi zao waache kijilinganisha na kazi za watu wasizozijua zinafanywaje.
Sana.Wanafundishwa kuoambana na binadamu,wanyama hadi mimea.Mkuu mbona mdau mmoja kasema wanamafunzo makali sana
😂😂😂 Duuuh Kula kwanza kulinda baadaeHuyo hajabeba mabegi kabeba masufulia na madumu, kauli mbiu yao ni kula kwanza kulinda wanyama baadae
Hadi mimea?Sana.Wanafundishwa kuoambana na binadamu,wanyama hadi mimea.
Sio Mchezo ndio makomandoo wetu hao mwenzio alikula Kofi kwenye msiba wa Mzee Ngoyai akazima hakuamka mpaka msiba umeishaKuni na miti zipo polini, gogo na gesi la nini, panga shoka ni mbadala wa hivyo vikubwa na vizito bila sababu.
Hoja yako nini hasa?Mkuu tema mate chini,FFU ni jeshi lile sema wana deal na raia. FFU wanapewa mafunzi ya kijeshi 100% na wanafanya mazoezi ya utayari kila mara. We huoni hata Rais analindwa na FFU basala ya JW?
Hawajifunzi kwa IDF? huko huwez Kuta Komando kajazia kama mabaunsa wa clubCommando sio kubeba mabegi mengiiii
Hata huko Jeiwii hakuna makomandoo wapo wapasua mawe
Hata hao wa TIpidiefu pia wanatamani kuwa ma commando ila ndio wanaishia kuigiza kuwa ma Komando.Hao wakipelekwa kozi ya jeshi wote wanakimbia. Walichofanya ni kuiga style ya jeshi kwenye maonesho ya sherehe za kitaifa. Ni kama polisi kuna clip moja walikuwa wanamwagiana maji halafu wanatamka neno "commando" kwa kurudia rudia kumbe ni ffu tu.
Kwa ufupi wanatamani sana mambo ya jeshi ndio hivyo wako upande mwingine tu na wanatakiwa kuzikubali kazi zao waache kijilinganisha na kazi za watu wasizozijua zinafanywaje.
We subiri tu si tulikubaliana vijana hawakuhusu 😏😏😂😂😂🤣Jibu kutoka kwa nani ?komandooooo