KERO Hivi TANESCO mna shida gani yani siku hizi umeme unakatika na kuwaka kwa siku hata mara 10

KERO Hivi TANESCO mna shida gani yani siku hizi umeme unakatika na kuwaka kwa siku hata mara 10

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

def_xcode

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2023
Posts
1,896
Reaction score
5,181
Yani siku hizi huku kwetu maeneo ya Bunju, kwa siku umeme unaweza kukatika na kuwaka zaidi ya mara 10 kwa siku. Toka saa 12, umeme ushakatika na kuwaka mara 3 sasa.

Unakatika haipiti hata dakika wanawasha.

Sijui wanalenga kutuunguzia vitu. Nina desktop hadi imeanza kuwa na wenge toka juzi.
 
Mi nafanya kazi Tanesco mtoto wangu junior kuna siku nilimuonyesha switch ya kuzimia umeme, kwahiyo sahivi nyumbani kuna muda huwa analia namwambia wife amlete kazini aje azime umeme ndo ananyamaza
 
Yani siku hizi huku kwetu maeneo ya bunju, kwa siku umeme unaweza kukatika na kuwaka zaidi ya mara 10 kwa siku. Toka saa 12, umeme ushakatika na kuwaka mara 3 sasa.
Unakatika haipiti hata dakika wanawasha.
Sijui wanalenga kutuunguzia vitu. Nina desktop hadi imeanza kuwa na wenge toka juzi.
Kwa Sasa hakuna màmlaka yà kuwawajibisha hawa watumishi wa umma.
TANESCO wanafanya kàma wanatusaidia tuu huo umeme. Kila mtumishi anatafuta kula kwa urefu wa kamba yake.
Mama anaupiga mwingi.
 
Back
Top Bottom