Hivi Tanzania inamilikiwa na nani. CCM, Dola, au kila Mtanzania?

Hivi Tanzania inamilikiwa na nani. CCM, Dola, au kila Mtanzania?

CCM
Kuna wakati nawaza sana kuwa nimo kwenye nchi ambayo sijui kama mimi ni mmiliki wake ama nani ndiye anayeimiliki. Nadharia ziko nyingi lakini sijaona hata moja inayonifanya nijue nani hasa ni mmiliki wa hii nchi ninayoishi. Kila siku nikiwaza umiliki wangu kwa Tanzania nautilia shaka sana?

Ukiangalia kwa undani maana ya umiliki inahusisha pia uwezo wa kufanya jambo lolote kwa unachokimiliki. Ukisema huyu ni mke wangu lakini ikifika usiku anakwenda kulala na jamaa nyumba ya jirani, hapo lazima kutakuwa na walakini.

Ni jambo gani labda linaloonesha sisi watu wa kawaida kwamba tunaimiliki Tanzania? Kuna jambo gani linalotupa imani kwamba kweli sisi ndiyo wamiliki wa nchi yetu?

Wewe binafsi unajiona kwamba ni mmiliki halisi wa Tanzania?
 
Tanzania inamilikiwa na CCM, CCM nayo ni mali ya kikundi fulani cha watu ambao pia ndio dola.
 
Nimegoogle hapa wamesema Mo dewji ndio mmiliki wa Tz hahaha
 
Kuna wakati nawaza sana kuwa nimo kwenye nchi ambayo sijui kama mimi ni mmiliki wake ama nani ndiye anayeimiliki. Nadharia ziko nyingi lakini sijaona hata moja inayonifanya nijue nani hasa ni mmiliki wa hii nchi ninayoishi. Kila siku nikiwaza umiliki wangu kwa Tanzania nautilia shaka sana?

Ukiangalia kwa undani maana ya umiliki inahusisha pia uwezo wa kufanya jambo lolote kwa unachokimiliki. Ukisema huyu ni mke wangu lakini ikifika usiku anakwenda kulala na jamaa nyumba ya jirani, hapo lazima kutakuwa na walakini.

Ni jambo gani labda linaloonesha sisi watu wa kawaida kwamba tunaimiliki Tanzania? Kuna jambo gani linalotupa imani kwamba kweli sisi ndiyo wamiliki wa nchi yetu?

Wewe binafsi unajiona kwamba ni mmiliki halisi wa Tanzania?
Inamilikiwa na Mfalme wa Msoga!
 
Kuna wakati nawaza sana kuwa nimo kwenye nchi ambayo sijui kama mimi ni mmiliki wake ama nani ndiye anayeimiliki. Nadharia ziko nyingi lakini sijaona hata moja inayonifanya nijue nani hasa ni mmiliki wa hii nchi ninayoishi. Kila siku nikiwaza umiliki wangu kwa Tanzania nautilia shaka sana?

Ukiangalia kwa undani maana ya umiliki inahusisha pia uwezo wa kufanya jambo lolote kwa unachokimiliki. Ukisema huyu ni mke wangu lakini ikifika usiku anakwenda kulala na jamaa nyumba ya jirani, hapo lazima kutakuwa na walakini.

Ni jambo gani labda linaloonesha sisi watu wa kawaida kwamba tunaimiliki Tanzania? Kuna jambo gani linalotupa imani kwamba kweli sisi ndiyo wamiliki wa nchi yetu?

Wewe binafsi unajiona kwamba ni mmiliki halisi wa Tanzania?
Yapo mengi ya kutafakari hapa lakini nikaishia kucheka tu 😂😂 !
 
Kuna wakati nawaza sana kuwa nimo kwenye nchi ambayo sijui kama mimi ni mmiliki wake ama nani ndiye anayeimiliki. Nadharia ziko nyingi lakini sijaona hata moja inayonifanya nijue nani hasa ni mmiliki wa hii nchi ninayoishi. Kila siku nikiwaza umiliki wangu kwa Tanzania nautilia shaka sana?

Ukiangalia kwa undani maana ya umiliki inahusisha pia uwezo wa kufanya jambo lolote kwa unachokimiliki. Ukisema huyu ni mke wangu lakini ikifika usiku anakwenda kulala na jamaa nyumba ya jirani, hapo lazima kutakuwa na walakini.

Ni jambo gani labda linaloonesha sisi watu wa kawaida kwamba tunaimiliki Tanzania? Kuna jambo gani linalotupa imani kwamba kweli sisi ndiyo wamiliki wa nchi yetu?

Wewe binafsi unajiona kwamba ni mmiliki halisi wa Tanzania?
Jitahidi ujue nimashart gani walitupa walipo tupa inchi

Ndipo utagundua bado hatuko huru
Ila tuna danga nywa na wachache walio pata Uhuru kidogo japo nao bado hawako huru

Nikama nyampara gerezani anavyo mchapa viboko mfungwa na maabusu lakini mwisho wa siku nae nimke wa bwana jera😡😡😡
 
Kuna wakati nawaza sana kuwa nimo kwenye nchi ambayo sijui kama mimi ni mmiliki wake ama nani ndiye anayeimiliki. Nadharia ziko nyingi lakini sijaona hata moja inayonifanya nijue nani hasa ni mmiliki wa hii nchi ninayoishi. Kila siku nikiwaza umiliki wangu kwa Tanzania nautilia shaka sana?

Ukiangalia kwa undani maana ya umiliki inahusisha pia uwezo wa kufanya jambo lolote kwa unachokimiliki. Ukisema huyu ni mke wangu lakini ikifika usiku anakwenda kulala na jamaa nyumba ya jirani, hapo lazima kutakuwa na walakini.

Ni jambo gani labda linaloonesha sisi watu wa kawaida kwamba tunaimiliki Tanzania? Kuna jambo gani linalotupa imani kwamba kweli sisi ndiyo wamiliki wa nchi yetu?

Wewe binafsi unajiona kwamba ni mmiliki halisi wa Tanzania?
Ukiandika google "who is the owner of Tanzania" jibu linakuja hili👇🏾

Screenshot_20230326_164449_Chrome.jpg
 
Kuna wakati nawaza sana kuwa nimo kwenye nchi ambayo sijui kama mimi ni mmiliki wake ama nani ndiye anayeimiliki. Nadharia ziko nyingi lakini sijaona hata moja inayonifanya nijue nani hasa ni mmiliki wa hii nchi ninayoishi. Kila siku nikiwaza umiliki wangu kwa Tanzania nautilia shaka sana?

Ukiangalia kwa undani maana ya umiliki inahusisha pia uwezo wa kufanya jambo lolote kwa unachokimiliki. Ukisema huyu ni mke wangu lakini ikifika usiku anakwenda kulala na jamaa nyumba ya jirani, hapo lazima kutakuwa na walakini.

Ni jambo gani labda linaloonesha sisi watu wa kawaida kwamba tunaimiliki Tanzania? Kuna jambo gani linalotupa imani kwamba kweli sisi ndiyo wamiliki wa nchi yetu?

Wewe binafsi unajiona kwamba ni mmiliki halisi wa Tanzania?
Mkuu soma vitabu upate maarifa, mambo mengine ni vyema kutokujihangaisha nayo maana hata siku ukijua(kama haujui kwel) itakusaidia au itakuongezea mawazo? Jifinze "nyakati nyingine kutokujua baadhi ya mambo ni kwa ajiri ya afya yako mkuu"
 
Naona ni watu wachahe sana ndo wenye kumiliki watanzania
 
1. JK na familia yake.
2. Kinana.
3. Mzee Makamba
4. January
5. Nape
6. Familia ya GSM
 
Mkuu soma vitabu upate maarifa, mambo mengine ni vyema kutokujihangaisha nayo maana hata siku ukijua(kama haujui kwel) itakusaidia au itakuongezea mawazo? Jifinze "nyakati nyingine kutokujua baadhi ya mambo ni kwa ajiri ya afya yako mkuu"
Sasa kama hutaki kujua kwenye vitabu unafuata nini?
 
Back
Top Bottom