Hivi Tanzania inamilikiwa na nani. CCM, Dola, au kila Mtanzania?

Familia za maraisi wastaafu,ikiongozwa na Kikwete hao ndio wanaomiriki bongo kwa sasa,state ipo captured na hii familia,hakuna mradi,shughuri ya serikali itafsnyika kama inaenda kinyume na hii familia na wapmbe,marafiki zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…