Hivi Tanzania tuna submarine kweli? Tukivamiwa kupitia chini ya maji itakuwaje?

Kama wameshindwa kibanda cha mlinzi kukijengea kwenye kambi ndio wataweza kuunda submarine.........unadhani hiyo kitu kama ushuzi ukila maharage imo.........wewe
 
Hivi ilitokeaje Tanzania ifanye ikulu karibu na bahari, mliskia au kuona wapi kitu kama hicho.
Pale ndio pazuri ndio maana pale jirani kukawekwa ulinzi kamili wa bahari rada ya adhini na nchi kavu.
Naomba niishie hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…