wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
AiseeTutawasubiri Nchi kavu mpaka wafike Dodoma tutakuwa tumewaua angalau ishirini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeTutawasubiri Nchi kavu mpaka wafike Dodoma tutakuwa tumewaua angalau ishirini.
Halafu hatumtafuti kupunguza gharama tunachagua mwengine..😅Na magogoni kulivyo karibu na bahari adi raha yani watu wanakuja wanamchukua mtu wao aoooooo
Watu kama nyie mnatupotezaga sana nyinyi..😅Pole sana...
Njoo nevi hapa uone ulinzi wa bahari kwanza kabla hujauliza.
Au vitu vingine usijue sana lala ota kabisa
Huwa najiuliza wewe ni Mtanzania? Kumbe hisia zangu zilikuwa sahihi.Watanzania hatuna roho mbaya kama yako hata kama unalipwa ili ueneze propaganda fulani.mliskia au kuona wapi kitu kama hicho.
Basi hata ya mchongoo 🙄Mtu yeyote mwenye akili timamu hawez kuandika ujinga kama huu!
Submarine moja ya kijeshi sio chini ya $25 billion dollars hakuna nchi yoyote ya afrika inaweza kununua
Kwa kipi blazaWatu kama nyie mnatupotezaga sana nyinyi..[emoji28]
Labda wachonge jeneza la chuma waweke ndani ya majiBasi hata ya mchongoo 🙄
Huyu ni mkenya kila mtu anajua! Itakuwa wewe ni wa mwisho kujua hili.Huwa najiuliza wewe ni Mtanzania? Kumbe hisia zangu zilikuwa sahihi.Watanzania hatuna roho mbaya kama yako hata kama unalipwa ili ueneze propaganda fulani.
Wewe una roho mbaya sana!
Ya kwamba tunalindwa balaa kumbe wapi...🤣Kwa kipi blaza
Sio kila kitu usikie kwingine. Mambo mengine yanaanzia hapa hapa na kuishia hapa hapa.Hivi ilitokeaje Tanzania ifanye ikulu karibu na bahari, mliskia au kuona wapi kitu kama hicho.
Amini hilo kaka..Ya kwamba tunalindwa balaa kumbe wapi...[emoji1787]
Wanalinda nini sasa? Mbona sisi shamba la bibi wageni wanaingia tu kwenye nchi yetu ni mpaka wachomwe na raia ndo wanakamatwa nayo ni mara moja moja sanaAmini hilo kaka..
Nevi pale kila siku usiku na mchana watu wanashinda bahari chini kabisa kwenye kina kule na katikati na juu wanazuzura tuu..najua huamini ila ingeruhusiwa ningeluambia uke ujionee
Yeah.Labda wavamiane wao kwa wao wakigombania mgawo.Hatuwezi kuvamiwa kwakuwa sisi sio wabishi wa kutoa vyetu.. Tunagawa tu kwa raha zetu sasa watuvamie ili iweje...
Yaani hatuwezi hata kuambiwa MIKONO JUU
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu yeyote mwenye akili timamu hawez kuandika ujinga kama huu!
Submarine moja ya kijeshi sio chini ya $25 billion dollars hakuna nchi yoyote ya afrika inaweza kununua
Mmm! Kwani haiwezekani ukakopa halafu ukalipa kidogo-kidogo?Mtu yeyote mwenye akili timamu hawez kuandika ujinga kama huu!
Submarine moja ya kijeshi sio chini ya $25 billion dollars hakuna nchi yoyote ya afrika inaweza kununua
eEe. Tena useme ni ushauri kwa manufaa ya nani au nani kakutuma uhoji hayo na mlifahamiana tangu lini.Badala ya kuamka tukanunue wataanza kukutafuta mleta mada wakubane kwanini umetoa ushauri huo